Nashukuru Mungu mwaka 2023 nimetimiza ndoto yangu ya kuishi Masaki japo ni chumba kimoja

Kwa tuliosoma history,rise and falls za city is real jupitia posta mpya
 
Nimejifunza jambo!

Uzee ukianza kuingia TU tafta site ishi mwenyewe uepuke stress na kelele za mkeo ma watoto!

Kipindi hicho mama anataka kujitawala na wanae!wataanza kukuchezea shere bora utafute geto ule maisha bila stress!!
 
Nilisoma pale,,,, alikua anachukua watoto yatima kidogo anawaweka kwenye zile nyumba za bima halafu wanapigwa picha wakiwa pamoja na wanafunzi wanaolipia, sijui ndo anawatumia wafadhili, wale yatima sikuwahi kuwaona madarasani mda mwingi walikua tu kwenye zile nyumba bima
 
Mama kaacha mpunga mrefu sana yule,hakuna cha yatima wala nini alikuwa mjanja mno
 
Nimejifunza jambo!

Uzee ukianza kuingia TU tafta site ishi mwenyewe uepuke stress na kelele za mkeo ma watoto!

Kipindi hicho mama anataka kujitawala na wanae!wataanza kukuchezea shere bora utafute geto ule maisha bila stress!!
Yaani hata ujikombe vipi uzeeni watoto wanakuwa upande wa mama tu,hawatajali ulipambanaje lii wapate mahitaji yao kipindi wakiwa wadogo
 
Yaani kama Ingewezekana kukusanya vitongoji kama kinondoni,sinza na Tabata vikae pamoja....ingekuwa poa sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…