mimiamadiwenani
JF-Expert Member
- Mar 9, 2022
- 5,718
- 7,784
PumbaPia ni rahisi sana kusamehewa kama unamiliki gari.
Ukiwa huna gari hata uwe na pointi 100 we ni msaliti tu na haufai kupewa nafasi ya pili.
Kama una maisha ya kumfanya mkeo awe na option ya kuamua kutumia aina gani ya gari itayomfaa kwa mtoko wa siku hiyo, basi hauhitaji kuwa makini kwenye vitu ambavyo mkeo akiona atajua umem cheat.
Ukisahau ndomu kwenye dashboard ya gari ni simple sana wife kukuelewa kuwa ni bahati mbaya kuliko ukisahau ndom kwenye kiti cha baiskeli.
Naona unajaribu kujipakulia minyama kijanja.
Ni kweli atakuua kwa hasira kutokana na ujinga na u simp wako... changamka acha ulofaNdio maana hata mimi nawaza kuongeza wake wa3 nikishatoboa mambo yakikaa vizuri.
uksishatoboa mke hawezi kuumia na uke wenza wakati umemuwekea nyumba kali na gari yenye kiyoyozi.
Shida unapiga uke wenza alafu mke kula anapapasia gengeni,ataua kwa hasira [emoji1][emoji1]
Dah aiseePesa ni ngumu kaka wake za watu hawana gharama tunaponea humo
Halafu mume wake anakunja nne na kujitapa kwa wenzake ana mke mvumilifu na anayemsikilizaPesa ni ngumu kaka wake za watu hawana gharama tunaponea humo
Inasikitisha sanaHalafu mume wake anakunja nne na kujitapa kwa wenzake ana mke mvumilifu na anayemsikiliza
Naogopa kuuza mafile yote Cute Wife 🤣🤣 Ila jua wanawake wanafinya kimya kimya....bila kelele, unafinywa na kusimulia huwezi....usione wajane wengi mtaani, wanaume wanaaga mashindano mapema mtanange hamuuwezi.Wengine ukitufumania tunakufukuza. Huo muda wa revenge utaufanya ukiwa nje ya mchezo. Yaani ukiwa umepewa Kadi nyekundu.
Hapo ndio utajua kuwa sumu haionjwi na kuna Wanaume ni zaidi ya mashetani.
Naogopa kuuza mafile yote Cute Wife 🤣🤣 Ila jua wanawake wanafinya kimya kimya....bila kelele, unafinywa na kusimulia huwezi....usione wajane wengi mtaani, wanaume wanaaga mashindano mapema mtanange hamuuwezi.
Ushauri, heshimu mkeo.
Na wagane tunaowaona vipi? Una la kusema? Binafsi nawaona wagane wengi mno hasa kwa hapa Dar...! Ni kwamba wake zao wanafinywa kimya kimya na kuaga mashindano au?Naogopa kuuza mafile yote Cute Wife [emoji1787][emoji1787] Ila jua wanawake wanafinya kimya kimya....bila kelele, unafinywa na kusimulia huwezi....usione wajane wengi mtaani, wanaume wanaaga mashindano mapema mtanange hamuuwezi.
Ushauri, heshimu mkeo.
Kwa kauli yake, amethibitisha kuwa kitu kikubwa zaidi anachojivunia mke akiudhiwa na mumewe pakubwa, ni kumuua aidha kwa sumu na kimya kimya, akitumia nafasi ya kuwa msiri wa mumewe kwenye kumpikia, kumfulia na kadhalika.Sisi ndio tunaowafinya, hiyo sio Siri.
Msingekuwa mnalialia na DNA....wanawake maneno kidogo, vitendo vingi🤣🤣🤣Sisi ndio tunaowafinya, hiyo sio Siri.
Umeelewa vibaya, Mimi nawakumbusha kuishi na wake zenu Kwa akili, upendo na heshima....msiwadharau wake zenu, hakuna mwanamke mpumbavu....basi tu hufunika kombe mwanaharamu apite, watoto wakue.....Ila usimdharau mwanamke.Kwa kauli yake, amethibitisha kuwa kitu kikubwa zaidi anachojivunia mke akiudhiwa na mumewe pakubwa, ni kumuua aidha kwa sumu na kimya kimya, akitumia nafasi ya kuwa msiri wa mumewe kwenye kumpikia, kumfulia na kadhalika.
Mentality yake hii imelenga kuwafanya wanaume wajue kuwa hawapo salama kwa wake zao, hivyo WANYENYEKEE. Hii ni aina nyingine ya UTUMWA.
Kwamba mwanaume awe mtumwa ndani ya nyumba yake, kwa mkewe.
"Nincompoopness"
Msingekuwa mnalialia na DNA....wanawake maneno kidogo, vitendo vingi🤣🤣🤣
Karudie utafiti🤣🤣🤣Na wagane tunaowaona vipi? Una la kusema? Binafsi nawaona wagane wengi mno hasa kwa hapa Dar...! Ni kwamba wake zao wanafinywa kimya kimya na kuaga mashindano au?
Siwezi kujitetea hivyo mwanamke ni mtoto sijitesi hataki asepeKatika harakati za mambo mbalimbali, juzi nilijisahau ikasalia kipande moja ya kondom kwenye droo ya gari.
Bahati mbaya zaidi wife alikua atumie the same car kwenda job the next morning.
Sasa asubuhi alipoingia kwenye chuma akaikuta hiyo kipande moja, ikabidi arudi ndani chap huku akiwa ameishikilia mkononi na akiwa mwenye hasira and seriously akataka kujua kwanini nimemfanyia vile na dharau ya ainagani nimeonyesha kwake.... Lahaulla...🙊
Ikabidi kwanza nimshushe presha na hakua amekubali wala nimkumbatie... Dahhh..☺
Akili ikaanza kuzunguka kwa haraka ikifanya kazi ya ziada chap nikamwambia kipenzi changu aende job na akirudi jioni tutalizungumza kwasababu sazile nilikua namuona akiwa mwingi wa hasira.
Huku nikijitetea kwamba siwezi kufanya hivyo (wakati moyoni sina jibu) nikamwambia kwa msisitizo kwamba awe na amani na akirudi nitamueleza ukweli maana yeye ni mke wangu mpenzi na siwezi kumsaliti kamwe (hapo ikabidi niape kwanza😂).
Jioni alipo rudi kwanza alinikuta nimeshikilia bible najisomea, nikaiweka pembeni (nami nikawa nimesha pata jibu kwa kutumia mbinu za kimedani) kisha nikaanza kwa kumuelezea huku nikimkumbusha namna job kwangu tunavyo sisitizwa mambo ya kujikinga na magojwa ya kuambukiza pamoja na kucontrol magonjwa mengine hasa malaria.
Then nika ongea kwa msisitizo zaidi kwamba hiyo siku tulipewa/tuligaiwa kila mmoja kipande kimoja ya kondoms ili tukiwa kwenye training/refresher kila mmoja atafanya demonstration ili mwalimu/trainer aone kama wanafunzi wake wameelewa...😜
Baada ya kumwambia hayo huku nikisisitiza upendo na heshma kwake, akatabasam kidogo kisha nikamuimba msamaha kwa kosa la kujisahau na kuiweka kwenye gari badala ya kuitupa jalalani...🙂
Kesi imeisha na tupo njema kabisa maisha yanaendelea kama kawaida...😂
Haya vijana chukueni point hapo...😊
Nimeielewa hii sanaMind you hakuna mchepuko wa kuziba pengo la familia,