Nashukuru nimemaliza hii kesi na wife - Vijana okoteni mpate kujifunza

Siku akinikamata shemeji yako nakuangushia jumba bovu.

Ukiona Tu Simu yangu imeigia halafu bila salaam naana, kaka SASA ndio umefanya nini kwenye gari yangu, jua kabisa ni msala huo nakutupia Kaka, nawe pokea goma zima kifuani tembea Malo kwenye chaki.
 
Hii imekaa vizuri...tena bila salam unamfokea, we falq umeamua uvunje ndoa yqngu? Kwanini umeqcha zaga lako kwa gari?
Tabia gani hiii??😂😂😂
 
Kesi imeisha kirahisi sana hiyo, kuwa makini mkuu.
 
Uongo unawafaa wenye magari.

Tujitahidi kurudi nyumbani kabla ya wake zetu.

Mwanamke akikupenda anavumilia hata kama anajua unamdanganya.

Kila mtu awe na gari lake kuepusha mizozo
..... Contradictions
 
Hii imekaa vizuri...tena bila salam unamfokea, we falq umeamua uvunje ndoa yqngu? Kwanini umeqcha zaga lako kwa gari?
Tabia gani hiii??😂😂😂
Nae upande wa pili, Una hamaki, Kaka, Una naana nimeacha uchafu kwenye gari, niwie radhi ndugu yangu, nisamehe saana Kaka, bahati mbaya ndugu yangu.

SASA hapo nawe unamchana nakuamini ndugu yangu, nakuazima gari kumbe umeenda kufanyia ufuska, Kwa kitu hiki sikusamehi Mzee, ikiwezekana haya mkeo namwambia..(basi wanawake walivyo wa ajabu,hapo atakataa nisimwambie make wa jamaa, kisa eti nisivunje ndoa Yao.)🤣🤣
 
Una fujo sana mzee mwenzangu
Kwakweli nimekasirika sana, sim nilimuachia kijana ndio nimekuta amechafua hali ya hewa kabisa hapa jamvini...☹️
 
Ushimen ni falla anaelewa haraka anaweza kukuokoa, unajua ukiwa na rafiki waruwaru atakufaa wakati sahihi🤣🤣
 
Hukufanya vyema kutumia Biblia kudanganya! Sidhani kama umemaliza! Njia ya mwongo ni fupi sana! Nakuhakikishia utakamatwa! Badilika, acha uzinzi! mpende mkeo, mthamini, mjali, mlinde! Ungefanyiwa hivyo ungefurahi?
 
Msipende gari za kufamilia kufanyia ngono au kubebea malaya.
Ni sawa na kulala na mzinzi mwenzio kwenye kitanda Cha familia
 
Watu na maujuzi yenu...🤣
Heshma yako mtaalam...😜
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…