Nashukuru nimemaliza hii kesi na wife - Vijana okoteni mpate kujifunza

Hukufanya vyema kutumia Biblia kudanganya! Sidhani kama umemaliza! Njia ya mwongo ni fupi sana! Nakuhakikishia utakamatwa! Badilika, acha uzinzi! mpende mkeo, mthamini, mjali, mlinde! Ungefanyiwa hivyo ungefurahi?
Mkuu...
Wapi umeona nimesema nimetumia bible kudanganya??
Au nikitenda dhambi, ndio sipaswi kusali na kutubu??
Wapi nimesema simpendi waifu??
Wapi umeona simlindi na kumjali??
By the way.......
Don't take Jf so serious, and remember we are not an angles...😊
 
Bro yaan huyo mwanamke wako bwege kweli,,yaan eti umeachwa masaa kadhaa kabsa sasa utakosaje kutunga uongo??,,,yaan hapo ingekuwa wa kwangu yaan hata kazin hakuendekek anataka maelezo
 
Umesharudia mara ngapi baada ya hapo🤸🤸🤸
 


Uelewa wa mke wako ni mdogo sana, wala usijisifie, na Kama siyo mdogo, litaibuka tena. Bado una kazi ya kufanya.
 
Na sisi tunaomiliki magari alafu bado hatujaoa unatuweka wapi?🤔
 
Msipende gari za kufamilia kufanyia ngono au kubebea malaya.
Ni sawa na kulala na mzinzi mwenzio kwenye kitanda Cha familia
Duhhhhh....🙊
Kumbe ndivyo ilivyokua...🙆‍♂️
 
Bro yaan huyo mwanamke wako bwege kweli,,yaan eti umeachwa masaa kadhaa kabsa sasa utakosaje kutunga uongo??,,,yaan hapo ingekuwa wa kwangu yaan hata kazin hakuendekek anataka maelezo
Mkuu, nilimuachia kijana sim atumie naona ndio keshaleta tafrani hapa jamvini...🤨
 
kwaio umeona umdhiaki Mungu na viapo vyako na uongo via bible ili umfuraishe uyo mke wako..

hyo ndoa uyo..watch out!!!
 
Uelewa wa mke wako ni mdogo sana, wala usijisifie, na Kama siyo mdogo, litaibuka tena. Bado una kazi ya kufanya.
Minafikiri wewe ndio unauelewa mkubwa kwa kusoma na kuelewa content ya huu uzi...😊
 
Duh wazee wenywe ndio wewe haya utakuwa ,msimamizi kwenye ndoa yangu siku naoa
 
Kondom ya nini mkuu!?....

Vaseline yatosha...
Zibua mitaro/mifereji yoyote na vaseline!

Sijui mm Nna bahati nao!? KILA nnaekutana nae....ana allergy na kondom!.....Akiingiliwa na kinga tumbo linamkata kwa chini!...

Sijui hii imekaaje Kwa wadada!
Kwangu naona bam bam kabisaa!
 
Mkuu mbona ushirombo tena[emoji16]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…