Sawa.Ndio nishasema.
Bado ujasema.Tema nyongo mpaka wanazi wa Lisu wavurugwe.Ndio nishasema.
Leo nasoma comments tu twende kaziMwaka 2020 nilimpigia kura Lissu,sikumpigia Magufuli kwasababu aliminya sana demokrasia na alipendelea sana Geita na Wilaya ya Chato.
Nilifikiri Lissu angeweza kutuvusha,angeweza kutupatia katiba mpya.
Baada ya uchaguzi wa 2020 mwakani tutakuwa na uchaguzi wa mkuu mwingine 2025.Niweke wazi kabisa iwapo chadema watamsimamisha Lissu kura yangu itakwenda kwa mgombea mwingine wa chama cha upinzani.Kamwe sitampigia kura Lissu.
Lissu hana busara.
Lissu hana subira.
Lissu kajaa papara.
Lissu anajijali mwenyewe.
Lissu ukiondoa migogoro hajui siasa.
Sawa.Nashukuru umenielewa.
Kwanza kabisa wewe ni Mpumbavu. Mengine watakwambia wadau.Mwaka 2020 nilimpigia kura Lissu,sikumpigia Magufuli kwasababu aliminya sana demokrasia na alipendelea sana Geita na Wilaya ya Chato.
Nilifikiri Lissu angeweza kutuvusha,angeweza kutupatia katiba mpya.
Baada ya uchaguzi wa 2020 mwakani tutakuwa na uchaguzi wa mkuu mwingine 2025.Niweke wazi kabisa iwapo chadema watamsimamisha Lissu kura yangu itakwenda kwa mgombea mwingine wa chama cha upinzani.Kamwe sitampigia kura Lissu.
Lissu hana busara.
Lissu hana subira.
Lissu kajaa papara.
Lissu anajijali mwenyewe.
Lissu ukiondoa migogoro hajui siasa.
ephen_ siku hizi unaonekana humu kama kakakuona vile.Hakuna mtu mtu mweusi hasa Mtanzania wa kuitawala hii nchi halafu ikasonga mbele.
Wote sisi ni watu wa tamaa na wabinafsi mfumo m'baya tumerithi kwa baba yetu.
Kwa hiyo hata wewe ukipewa nchi hatutasonga popote?Hakuna mtu mtu mweusi hasa Mtanzania wa kuitawala hii nchi halafu ikasonga mbele.
Wote sisi ni watu wa tamaa na wabinafsi mfumo m'baya tumerithi kwa baba yetu.
Sawa kabisa hichi kitu nimekisema sana sisi tangu chini hatujajengwa kuwaangalia wengine walio wengi.Hakuna mtu mtu mweusi hasa Mtanzania wa kuitawala hii nchi halafu ikasonga mbele.
Wote sisi ni watu wa tamaa na wabinafsi mfumo m'baya tumerithi kwa baba yetu.
Lissu hapati kura yoyote kutoka kwenu kasikaziniMwaka 2020 nilimpigia kura Lissu,sikumpigia Magufuli kwasababu aliminya sana demokrasia na alipendelea sana Geita na Wilaya ya Chato.
Nilifikiri Lissu angeweza kutuvusha,angeweza kutupatia katiba mpya.
Baada ya uchaguzi wa 2020 mwakani tutakuwa na uchaguzi wa mkuu mwingine 2025.Niweke wazi kabisa iwapo chadema watamsimamisha Lissu kura yangu itakwenda kwa mgombea mwingine wa chama cha upinzani.Kamwe sitampigia kura Lissu.
Lissu hana busara.
Lissu hana subira.
Lissu kajaa papara.
Lissu anajijali mwenyewe.
Lissu ukiondoa migogoro hajui siasa.
Kuwaelewa nyumbu ni ngumu sana.Mwaka 2020 nilimpigia kura Lissu,sikumpigia Magufuli kwasababu aliminya sana demokrasia na alipendelea sana Geita na Wilaya ya Chato.
Nilifikiri Lissu angeweza kutuvusha,angeweza kutupatia katiba mpya.
Baada ya uchaguzi wa 2020 mwakani tutakuwa na uchaguzi wa mkuu mwingine 2025.Niweke wazi kabisa iwapo chadema watamsimamisha Lissu kura yangu itakwenda kwa mgombea mwingine wa chama cha upinzani.Kamwe sitampigia kura Lissu.
Lissu hana busara.
Lissu hana subira.
Lissu kajaa papara.
Lissu anajijali mwenyewe.
Lissu ukiondoa migogoro hajui siasa.
Watu wengi humu kuwaelewa ni kazi ila nita jitahidi kwa leo wengi watoa povu🤣🤣🤣Usome halafu uelewe.