LIMBOMAMBOMA
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 10,482
- 14,007
Haahaa chezea pesa za abdulNi hivi: Mimi hata siku moja sitakataa watu wengine kutoa mawazo yao. Ila mawazo yanapotolewa kwa sababu za kibinafsi i.e. maslahi binafsi, basi nitalaani kwa nguvu zote. Najua ni nini kinachoendelea CHADEMA kwa undani ndiyo maana nimesema hivyo. CHADEMA inavugwa na fedha na makubaliano kati ya Mbowe na Samia kwa maslahi yao binafsi. Mimi nilikuwa muumini wa Mbowe muda wote,