CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
Lissu ndiye mwenyekiti ajaye Chadema.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona machawa wa Mbowe mmeshaanza kujitokeza.Mwaka 2020 nilimpigia kura Lissu,sikumpigia Magufuli kwasababu aliminya sana demokrasia na alipendelea sana Geita na Wilaya ya Chato.
Nilifikiri Lissu angeweza kutuvusha,angeweza kutupatia katiba mpya.
Baada ya uchaguzi wa 2020 mwakani tutakuwa na uchaguzi wa mkuu mwingine 2025.Niweke wazi kabisa iwapo chadema watamsimamisha Lissu kura yangu itakwenda kwa mgombea mwingine wa chama cha upinzani.Kamwe sitampigia kura Lissu.
Lissu hana busara.
Lissu hana subira.
Lissu kajaa papara.
Lissu anajijali mwenyewe.
Lissu ukiondoa migogoro hajui siasa.
Wewe tunakujua ni wa kule na hujawahi mpenda Lisu , nyie ndio wanufaika wakubwa wa MboweMwaka 2020 nilimpigia kura Lissu,sikumpigia Magufuli kwasababu aliminya sana demokrasia na alipendelea sana Geita na Wilaya ya Chato.
Nilifikiri Lissu angeweza kutuvusha,angeweza kutupatia katiba mpya.
Baada ya uchaguzi wa 2020 mwakani tutakuwa na uchaguzi wa mkuu mwingine 2025.Niweke wazi kabisa iwapo chadema watamsimamisha Lissu kura yangu itakwenda kwa mgombea mwingine wa chama cha upinzani.Kamwe sitampigia kura Lissu.
Lissu hana busara.
Lissu hana subira.
Lissu kajaa papara.
Lissu anajijali mwenyewe.
Lissu ukiondoa migogoro hajui siasa.
Pole sana,Mwaka 2020 nilimpigia kura Lissu,sikumpigia Magufuli kwasababu aliminya sana demokrasia na alipendelea sana Geita na Wilaya ya Chato.
Nilifikiri Lissu angeweza kutuvusha,angeweza kutupatia katiba mpya.
Baada ya uchaguzi wa 2020 mwakani tutakuwa na uchaguzi wa mkuu mwingine 2025.Niweke wazi kabisa iwapo chadema watamsimamisha Lissu kura yangu itakwenda kwa mgombea mwingine wa chama cha upinzani.Kamwe sitampigia kura Lissu.
Lissu hana busara.
Lissu hana subira.
Lissu kajaa papara.
Lissu anajijali mwenyewe.
Lissu ukiondoa migogoro hajui siasa.
Duh na wee tena 😄Pole sana,
ni wengi sana walipata hasara hiyo na kwakweli wanajuta kumuunga mkono mkurupukaji huyu mwenye tamaa ya vyeo na madaraka asie na maono.
Poleni sana ndugu zangu, ila tupo pamoja licha ya machungu na majuto mnayopitia.
Inasikitisha sana, inafedhehesha sana. Mungwana anatia kinyaa anatia aibu Demokrasia ndani ya chadema 🐒
kumbe nawe ni victim? pole sana gentleman, aise kumbe wengi sana mlijeruhiwa ee 🐒Duh na wee tena 😄
Ova
Mm syo victim ila kwa wanasiasa lolote linaweza tokea!kumbe nawe ni victim? pole sana gentleman, aise kumbe wengi sana mlijeruhiwa ee 🐒
Mimi mwanasiasa yyt huwa simuamini 100%kumbe nawe ni victim? pole sana gentleman, aise kumbe wengi sana mlijeruhiwa ee 🐒
Amewashika pabaya eeeeh, yaaani mapovu yote haya yanakuja baada ya kutangaza nia ya kugombea uenyekiti😀😀😀,Mwaka 2020 nilimpigia kura Lissu,sikumpigia Magufuli kwasababu aliminya sana demokrasia na alipendelea sana Geita na Wilaya ya Chato.
Nilifikiri Lissu angeweza kutuvusha,angeweza kutupatia katiba mpya.
Baada ya uchaguzi wa 2020 mwakani tutakuwa na uchaguzi wa mkuu mwingine 2025.Niweke wazi kabisa iwapo chadema watamsimamisha Lissu kura yangu itakwenda kwa mgombea mwingine wa chama cha upinzani.Kamwe sitampigia kura Lissu.
Lissu hana busara.
Lissu hana subira.
Lissu kajaa papara.
Lissu anajijali mwenyewe.
Lissu ukiondoa migogoro hajui siasa.
Mkuu hayo yote uliyosema ni haki yako, ikibidi ishawishi hata familia yako wasimpe kura Lisu, hiyo ndio demokrasia. Lakini muda wa Mbowe kuendelea kuwa mwenyekiti wa cdm umekwisha. Mbowe kakaa madarakani miaka 20, leo mwingine katangaza kugombea hiyo nafasi mnatuambia habari za ana papara?!Mwaka 2020 nilimpigia kura Lissu,sikumpigia Magufuli kwasababu aliminya sana demokrasia na alipendelea sana Geita na Wilaya ya Chato.
Nilifikiri Lissu angeweza kutuvusha,angeweza kutupatia katiba mpya.
Baada ya uchaguzi wa 2020 mwakani tutakuwa na uchaguzi wa mkuu mwingine 2025.Niweke wazi kabisa iwapo chadema watamsimamisha Lissu kura yangu itakwenda kwa mgombea mwingine wa chama cha upinzani.Kamwe sitampigia kura Lissu.
Lissu hana busara.
Lissu hana subira.
Lissu kajaa papara.
Lissu anajijali mwenyewe.
Lissu ukiondoa migogoro hajui siasa.
unafanya vizuri mno kama unamuamini Mungu pekee gentleman 🐒Mimi mwanasiasa yyt huwa simuamini 100%
Ova
Alichokifanya/ amekiamua lissukumbe nawe ni victim? pole sana gentleman, aise kumbe wengi sana mlijeruhiwa ee 🐒