Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
Gentleman,Alichokifanya/ amekiamua lissu
Ni haki yake na kwa watu wanaomkubali kwa hyo tumwache tu akapambane na mbowe
Ova
ila kusema ukweli muungwana ana tamaa na uchu wa madaraka sana dah!
yaani mtu asubuh anatangaza kugombea umakamu mwenyekiti taifa kwa unyenyekevu mkubwa, halafu jioni anatangaza kugombea uenyekiti kamili dah 🐒