Nasimama na Mkuu wa mkoa wa Dar, kutukumbusha kuwajibika

Nasimama na Mkuu wa mkoa wa Dar, kutukumbusha kuwajibika

Kulipa Kodi ni jukumu
Ila piga hesabu serikali inalipa mishahara kiasi Gani Kwa watumishi wanaotuhudumia?
Unakanyaga rami, miradi mingine n. K
Kuchangia serikali ilipokwama mbona tunaona sio wajibu
Yaani hospital, wauguzi na wakunga serikali imekuwekea Bure hadi kuchangia elfu 50 ya vifaa simu hadi Kwa Mkuu wa mkoa
sasa nawewe kaa chini upige hesabu ya pesa ngapi serikali inatumbua kwenye vitu vya ajabu!.. kubishana nawewe ni kama kuendelea kujitia upofu tu!.
 
Unaweza kuwa na 1M ukatae kulipia 50k mkuu?
...
Watanzania walio wengi tunaishi maisha ya kubangaiza hata mlo tunakula ili tusife sio kula kujenga mwili, tunachangia kwa kulipia kodi bidhaa tunazonunua na njia nyinginezo.
...
Kwako 50k ni ndogo na unaona ni kutowajibika. Anyway angalau hio gharama ingepunguzwa na kuwa 20k for benefit of majority
...
Kuchangia ni muhimu(wengine tusipoombwa tunatoa kama shukrani mke kasaidiwa kajifungua salama), na pia RC katumia lugha isiyokubalika
...
Maoni yangu:
-Gharama ipunguzwe isiwe 50k iwe angalau 20k
-RC awajibishwe kwa kutumia lugha isiyofaa
-Gharama zote za kujifungua na watoto chini ya miaka mitano zijumuishwe kwenye bima za CHF
-Watoe matumizi ya neno "bure" hamna cha bure labda mvua,jua,na hewa tunayovuta, badala yake waseme gharama nafuu
Asante!
Sawa uchumi wa wananchi ni ngumu ila elfu 50 sioni kama ni pesa kubwa kama mtu yupo serious na amejiandaa Kwa ajili ya kupata mtoto na kumhumia mama.
Maana kuzaa ni mipango, yaani unaipanga nitapata mtoto mwezi wa 1
 
sasa nawewe kaa chini upige hesabu ya pesa ngapi serikali inatumbua kwenye vitu vya ajabu!.. kubishana nawewe ni kama kuendelea kujitia upofu tu!.
Nchi Gani we ulifika ukakuta mtu anamtuma mke wake hospitali bila hata kuchangia chochote
 
Leo watu wanamshambulia Mkuu wa mkoa wa Dar Kwa kumjibu mama mjamzito aliyeambiwa na wauguzi kuhusu kuchangia pesa ya kumnunulia gloves 🧤 za kumsaidia kujifungua

Mimba ni miezi 9 sio suala la ghafla kama ajali,
Yaani mwanamke anavua chupi, mimba inaingia, unalea mimba miezi 9,
Hadi siku ya kujifungua unafika hospitali na uchungu hata elfu 50 huna ya kuchangia huduma
Watanganyika acheni madeko tuwajibike

Hivi kama mwanaume unajisikiaje mkeo anafikia hatua ya kujifungua na wewe upo hai hujatoa hata 100?, halafu unataka mtoto awe u bin wako

Serikali imejenga hospitals, umeajiri waganga, wauguzi na wakunga, Kuna vifaa hata unaambiwa uchangie elfu 50 unaona si haki, hadi kupiga simu Kwa mkuu wa mkoa

Hata Mimi ningekuwa mkuu wa mkoa Nina hakika ningempa jibu kama la Chalamila

Haiwezekani serikali ikufanyie kila kitu aisee

Huko kwenye elimu ndo balaa, wazazi walivyoambiwa elimu Bure, hawawajibiki Kwa lolote, anatamka asbh mtoto anamtuma shule

Mzazi hajui hata bei ya kitabu, akiombwa mchango wa masomo ya ziada, analalamika hadi Kwa Rais Samia, Sasa hizi akili za wapi?

Watanzania tujikumbushe wajibu wetu
Kwanini serikali hiyohiyo ilitangaza uwepo wa huduma hixo bure?
 
Huyu mweka mada ni zwazwa anataka tulee serikali isiyowajibika tumechoka na hilo!, we usipolipa kodi kwenye biashara yako unafungiwa ila wao hiyo hamsini ambayo huduma hiyo ni wajibu wao wanajibu watu kijinga!.
Tanzania tunalea ujinga sana!, Mtu unakuja na hoja ati ujauzito sio jambo la ghafla haya na hapo hospitali kwani hawajui kuwa ujauzito sio jambo la ghafla..? walikuwa wapi kujiandaa!. hakuna mtu atalalamikia serikali kama serikali haijajipa jukumu hilo mbona huduma tunazojua zakulipia hatupigi kelele..?

wanataka kutuona mazwazwa hawa, hapo ingekuwa ni mke wa kiongozi angehudumiwa vizuri na kila kitu kingepatikana pasipo kuombwa hata senti moja jinga sana mweka mada!.
Suala la kuzaa anapaswa agharamikie mzazi, sio serikali. Nchi hii haina uhaba wa watu kama Russia kiasi kwamba Serikali ihitajike kuwalipia gharama watu wanaozaa au kuhamasisha watu wazae kama huko Urusi.
 
Leo watu wanamshambulia Mkuu wa mkoa wa Dar Kwa kumjibu mama mjamzito aliyeambiwa na wauguzi kuhusu kuchangia pesa ya kumnunulia gloves 🧤 za kumsaidia kujifungua

Mimba ni miezi 9 sio suala la ghafla kama ajali,
Yaani mwanamke anavua chupi, mimba inaingia, unalea mimba miezi 9,
Hadi siku ya kujifungua unafika hospitali na uchungu hata elfu 50 huna ya kuchangia huduma
Watanganyika acheni madeko tuwajibike

Hivi kama mwanaume unajisikiaje mkeo anafikia hatua ya kujifungua na wewe upo hai hujatoa hata 100?, halafu unataka mtoto awe u bin wako

Serikali imejenga hospitals, umeajiri waganga, wauguzi na wakunga, Kuna vifaa hata unaambiwa uchangie elfu 50 unaona si haki, hadi kupiga simu Kwa mkuu wa mkoa

Hata Mimi ningekuwa mkuu wa mkoa Nina hakika ningempa jibu kama la Chalamila

Haiwezekani serikali ikufanyie kila kitu aisee

Huko kwenye elimu ndo balaa, wazazi walivyoambiwa elimu Bure, hawawajibiki Kwa lolote, anatamka asbh mtoto anamtuma shule

Mzazi hajui hata bei ya kitabu, akiombwa mchango wa masomo ya ziada, analalamika hadi Kwa Rais Samia, Sasa hizi akili za wapi?

Watanzania tujikumbushe wajibu wetu
Gloves za elfu 50 ni za dhahabu au silver.
 
Kuna Mtanzania asiyelipa chochote ? Tatizo watu hawajui hata mambo yanavyokwenda. Waambie waache kutoza Kodi kabisa uone kama kuna atakayelalamika, hata hilo daladala au bajaji aliyopanda huenda gharama ingekuwa nusu na mpesa aliyotumiwa angetoa zaidi kama hakuna Tozo; By the way hata Afya kuna BIMA hence Serikali inazidi kupunguza matumizi..., No wonder zinabakia za kununua Magoli...

 
Kuna bure kama bure na kuna bure ya kuchangia kiasi kidogo. Lakini sasa hospital zetu huduma hafifi sana na bado wanasiasa wanawachanganya wananchi pale wanaposema huduma za mama na mtoto ni bure
Kulipa kodi haimaanishi upate huduma za bure hospital.
 
Kwanini serikali hiyohiyo ilitangaza uwepo wa huduma hixo bure?
Serikali inakosea sana inapowaambia watu kuna huduma za bure wakati sio kweli. Hata hiyo elimu inayosemwa ya bure kuna michango chungu nzima, ni lugha ya kilaghai na propaganda tu.
 
Kuna bure kama bure na kuna bure ya kuchangia kiasi kidogo. Lakini sasa hospital zetu huduma hafifi sana na bado wanasiasa wanawachanganya wananchi pale wanaposema huduma za mama na mtoto ni bure
Yusiwe na Mind hiyo aisee
Elfu 50 ni kiwango kidogo ili mkeo ajifungue
 
Tanzania watu wanafikiri kuzaa ni sifa. Kama unashindwa kulipa elfu 50 utaweza kulea? Ndio hawa hawa wakikua wanakuja jukwaani kusupport hoja za LIKUD kuhusu kayumba kuwa na elimu bora kuliko Ems
Watoto ni Mali ya serikali iwahudumie.. ukitaka kuamini muue mwanao uone wenye mtoto Wao watakavyo kuja kukushughulikia
 
Mke tena mke😂😂😂mie ndo mke mwenyewe hio hela kubwa bana,watoto mali ya serikali
😂😅mtoto ni wako
Sema mwanao ni raia wa serikali
Wajibika Kwa mwanao, usisukume mzigo Kwa serikali
 
Mimba ni miezi 9 sio suala la ghafla kama ajali,
Na kwa hiyo wao hakakufanya projection ya mahitaji ya vifaa tuwachukulie wako chini ya viwango vya utendaji?
 
Watoto ni Mali ya serikali iwahudumie.. ukitaka kuamini muue mwanao uone wenye mtoto Wao watakavyo kuja kukushughulikia
Mbona serikali haigawai maziwa na nepi za kwa watoto?
 
Back
Top Bottom