Nasimama na Mkuu wa mkoa wa Dar, kutukumbusha kuwajibika

Nasimama na Mkuu wa mkoa wa Dar, kutukumbusha kuwajibika

Kulipa kodi haimaanishi upate huduma za bure hospital.
Kwahio Nurse ndio anakusanya michango ya Gloves ?, Kwanini aishie kwenye gloves pekee na asiseme kabisa aje na msaidizi wa wa kumsaidia kubeba vidonge au atoke navyo nyumbani, na Je hayo ndio makusanyo official au ni ya pembeni ? Sababu hospitali karibia zote sasa hivi bado kuna watu wanalipia vitanda na mambo mengine mengi tu.

Sasa kama hi ni official kutoka kwa Utawala kwamba kila mtu kivyake basi na kwenye kukatana matozo waache wakafungue biashara za nyanya part time na wao wajilipe mishahara.

Extract from NHS UK (Yaani hata kama ukiwa sio Entitled kwanza utatibiwa alafu mambo mengine baadae)

Am I entitled to free NHS maternity care?

NHS maternity care is provided free of charge to women who are;
  • considered to be ‘ordinarily resident’ in the UK, or
  • exempt from charges (including people who have paid the health surcharge).
If you do not fall into any of these groups you may be asked to pay for your care, but you cannot be refused care if you cannot pay at the time you receive care. It is very important for your health and your baby’s health that you attend for maternity care even if you are unable to pay. Maternity care includes all antenatal, birth and post-natal care.

If you are uncertain about your immigration status, you should seek specialist immigration advice – see organisations listed at the end of this information sheet.
 
Na kwa hiyo wao hakakufanya projection ya mahitaji ya vifaa tuwachukulie wako chini ya viwango vya utendaji?
Vifaa vipo changia gharama pale walipopungukiwa
Wamejenga hospital, madaktari, wauguzi na wakunga wapo
We kuchangia elfu 50 ili mkeo ajifungue, unalia kama punda aliyepoteza ndama
 
Kwahio Nurse ndio anakusanya michango ya Gloves ?, Kwanini aishie kwenye gloves pekee na asiseme kabisa aje na msaidizi wa wa kumsaidia kubeba vidonge au atoke navyo nyumbani, na Je haakusanyo official au ni ya pembeni ? Sababu hospitali karibia zote sasa hivi bado kuna watu wanalipia vitanda na mambo mengine mengi tu.

Sasa kama hi ni official kutoka kwa Utawala kwamba kila mtu kivyake basi na kwenye kukatana matozo waache wakafungue biashara za nyanya part time na wao wajilipe mishahara.

Extract from NHS UK (Yaani hata kama ukiwa sio Entitled kwanza utatibiwa alafu mambo mengine baadae)
Duuuh ujuaji
 
Leo watu wanamshambulia Mkuu wa mkoa wa Dar Kwa kumjibu mama mjamzito aliyeambiwa na wauguzi kuhusu kuchangia pesa ya kumnunulia gloves 🧤 za kumsaidia kujifungua

Mimba ni miezi 9 sio suala la ghafla kama ajali,
Yaani mwanamke anavua chupi, mimba inaingia, unalea mimba miezi 9,
Hadi siku ya kujifungua unafika hospitali na uchungu hata elfu 50 huna ya kuchangia huduma
Watanganyika acheni madeko tuwajibike

Hivi kama mwanaume unajisikiaje mkeo anafikia hatua ya kujifungua na wewe upo hai hujatoa hata 100?, halafu unataka mtoto awe u bin wako

Serikali imejenga hospitals, umeajiri waganga, wauguzi na wakunga, Kuna vifaa hata unaambiwa uchangie elfu 50 unaona si haki, hadi kupiga simu Kwa mkuu wa mkoa

Hata Mimi ningekuwa mkuu wa mkoa Nina hakika ningempa jibu kama la Chalamila

Haiwezekani serikali ikufanyie kila kitu aisee

Huko kwenye elimu ndo balaa, wazazi walivyoambiwa elimu Bure, hawawajibiki Kwa lolote, anatamka asbh mtoto anamtuma shule

Mzazi hajui hata bei ya kitabu, akiombwa mchango wa masomo ya ziada, analalamika hadi Kwa Rais Samia, Sasa hizi akili za wapi?

Watanzania tujikumbushe wajibu wetu
Umeandika ujinga sana.
Huduma za kujifungua, watoto chini ya miaka 5 na wazee zaidi ya miaka 60 ilipaswa kuwa bure kwa hospitali zote za umma.
Wanaotaka kugharamia si huwa wanaenda private?
 
Walitamka huduma hizo ni free
Watimize ahadi
Huduma ni Bure
Sasa unataka udai serikali ikupe nepi, pampasi, mavazi, na maziwa ya mtoto. Bure
Jiongeze mkuu
 
Umeandika ujinga sana.
Huduma za kujifungua, watoto chini ya miaka 5 na wazee zaidi ya miaka 60 ilipaswa kuwa bure kwa hospitali zote za umma.
Wanaotaka kugharamia si huwa wanaenda private?
Huduma ni Bure mkuu
Kuchangia gloves hakuondoi Nia njema ya serikali
Tusitake maneno matamu
 
Sio kweli mkuu
Hata kama, kuchangia gharama za kujifungua haipaswi kuwa jambo la kupigia kelele
Sasa tutawezaje kupinga rushwa za rasimali zetu, ikiwa hata mtu unashindwa kuchangia elfu 50 ili mkeo ajifungue
...Unapolipa Kodi na Tozokibao, Hela wanapeleka Wapi ??...
 
Vifaa vipo changia gharama pale walipopungukiwa
Wamejenga hospital, madaktari, wauguzi na wakunga wapo
We kuchangia elfu 50 ili mkeo ajifungue, unalia kama punda aliyepoteza ndama
Aliyejenga hospital ni nani ?
 
Ukilipa Kodi ndo usiwe na bima ya afya,
Tuwape wanawake mimba, uwasukumie serikali?
...Serikali inaposema inapunguza Vifo vya Kina mama na Watoto, inahusika vipi, lakini kwenye glovu haihusiki ???
 
...Unapolipa Kodi na Tozokibao, Hela wanapeleka Wapi ??...
Ukilipa tozo ndo usinunue nepi, usinunue gloves, usinunue kitabu cha mwanao shule, usilipe pesa ya tuition ya mwanao
Hebu kuwa serious acha dezo
 
Serikali ni watu
Sawa nilitaka nijue hilo mana kwenye comment zako inaonesha huyo serikali ni mtu tu mfano wa bakhera anachukua pesa zake kwenye kibubu halafu anajijengea hosptal..
 
Sawa nilitaka nijue hilo mana kwenye comment zako inaonesha huyo serikali ni mtu tu mfano wa bakhera anachukua pesa zake kwenye kibubu halafu anajijengea hosptal..
Hapana hospital tumejenga sisi
Lakini haituzuii kuwajibika kama waume na baba wa watoto
 
Hapana hospital tumejenga sisi
Lakini haituzuii kuwajibika kama waume na baba wa watoto
Una mtoto ushawahi kulea mimba ?..ghalama za kulea mimba na mtu mwenye mimba ni kubwa mara dufu zaidi ya hiyo 50000, sasa ikitokea mtu akasuasua kwenye hiyo 50000 kaa naye umpe muda akuelezee kipi kinachomsibu usimkejeri eti kiasi kidogo wakati katumia gharama kubwa zaidi ya hizo
 
Leo watu wanamshambulia Mkuu wa mkoa wa Dar Kwa kumjibu mama mjamzito aliyeambiwa na wauguzi kuhusu kuchangia pesa ya kumnunulia gloves 🧤 za kumsaidia kujifungua

Mimba ni miezi 9 sio suala la ghafla kama ajali,
Yaani mwanamke anavua chupi, mimba inaingia, unalea mimba miezi 9,
Hadi siku ya kujifungua unafika hospitali na uchungu hata elfu 50 huna ya kuchangia huduma
Watanganyika acheni madeko tuwajibike

Hivi kama mwanaume unajisikiaje mkeo anafikia hatua ya kujifungua na wewe upo hai hujatoa hata 100?, halafu unataka mtoto awe u bin wako

Serikali imejenga hospitals, umeajiri waganga, wauguzi na wakunga, Kuna vifaa hata unaambiwa uchangie elfu 50 unaona si haki, hadi kupiga simu Kwa mkuu wa mkoa

Hata Mimi ningekuwa mkuu wa mkoa Nina hakika ningempa jibu kama la Chalamila

Haiwezekani serikali ikufanyie kila kitu aisee

Huko kwenye elimu ndo balaa, wazazi walivyoambiwa elimu Bure, hawawajibiki Kwa lolote, anatamka asbh mtoto anamtuma shule

Mzazi hajui hata bei ya kitabu, akiombwa mchango wa masomo ya ziada, analalamika hadi Kwa Rais Samia, Sasa hizi akili za wapi?

Watanzania tujikumbushe wajibu wetu
Unaenda kinyume na sera ya afya, hao wanafadhili na UZAZI salama, kupunguza vifo vya mama na mtoto, pesa hizo zinaenda wapi?
 
Una mtoto ushawahi kulea mimba ?..ghalama za kulea mimba na mtu mwenye mimba ni kubwa mara dufu zaidi ya hiyo 50000, sasa ikitokea mtu akasuasua kwenye hiyo 50000 kaa naye umpe muda akuelezee kipi kinachomsibu usimkejeri eti kiasi kidogo wakati katumia gharama kubwa zaidi ya hizo
Nakuelewa sana mkuu
Huo utu upo
Me nazungumzia watu kuona kama afya ya uzazi ni Bure na kuwaachia serikali
 
Back
Top Bottom