Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
NASISITIZA, ITUNGWE SHERIA KUBEBA MIMBA BILA RIDHAA YA MWANAUME LIWE KOSA LA JINAI.
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli
Mwanasheria wa Tibeli.
Andiko hili liwafae wale wapendao HAKI. Andiko hili lipitiwe na kujadiliwa na wale Wanasheria wa kusomea na wale Wanasheria wa kuzaliwa wenye MAARIFA na AKILI za juu.
Liwe kosa la jinai kumpa mwanafunzi au mtoto mdogo Mimba. Hilo ni kosa tayari na adhabu yake inafanyika.
Liwe kosa la jinai kumbaka mtu yeyote mtu mzima na hapa tunazungumzia ubakaji wa aina mbili,
1) ubakaji wa RIDHAA
2) ubakaji usio wa RIDHAA.
Ubakaji wa RIDHAA ni ule ambao unatokana na makubaliano ya ngono ambayo yamekiukwa. Ubakaji huu hufanyiwa Wanawake wanaofanya biashara ya ukahaba.
Mfano; Mwanaume kakubaliana na Mwanamke wakishafanya ngono atatoa 50,000/= lakini baada ya tendo Hilo kufanyika. Mwanaume akagoma kutoa Ile elfu 50 Kabisa au akatoa nusu ya Ile Pesa.
Hiyo ndio tunaita ubakaji wa RIDHAA. Yaani walikubaliana lakini baadaye Mwanamke akageukwa. Hivyo tendo lile linageuka kuwa ubakaji kwa Sababu baada ya tukio makubaliano hayakufuatwa na hiyo ikapelekea mwanamke kulipinga tendo la ngono lililokwisha kufanyika na kuhisi kuonewa.
Kwa sisi watibeli, Wanasheria wa Tibeli, majaji na mahakimu,na makadhi na majina yote yahusuyo utoaji wa Haki na uchambuzi wa Haki na sheria. Tunaita tendo Hilo ni ubakaji.
Mfano wa pili katika UBAKAJI WA RIDHAA.
Mwanamke kaenda kwa mganga wa kienyeji au mtu yeyote labda ni mtu ajiitaye Nabii au jina lolote lenye kiwakilishi cha Watumishi wa miungu.
Mwanamke huyo akaambiwa ili Dawa ifanye Kazi itampasa alale na Mganga wa kienyeji au mtu huyo ajiitaye Nabii au jina lolote la wawakilishi wa miungu. Ili apate Msaada.
Kwamba kuingiziwa uume mwilini mwake ndio Dawa. Akaridhia ili shida yake ipate Dawa. Tendo hilo la ngono linakuwa sio ubakaji kwa Sababu mwanamke aliridhia mwenyewe kwa Maslahi yake. Lakini ikatokea, shida yake haijatatuliwa, na kumbe alilaghaiwa. Hapo ndipo tendo lile la ngono litaitwa Ubakaji wa RIDHAA. Na ni Kosa.
Jambo linakuwa kosa kutegemeana na mambo Makuu yafuatayo;
1. Linamdhuru mtendewa hasa mwenye shida na mnyonge.
2. Haliendani Sheria za mahali husika
UBAKAJI USIO WA RIDHAA huu unafahamika katika jamii nyingi duniani. Sina haja ya kuuelezea.
Matokeo ya ubakaji ni Mengi lakini Makubwa ni Mimba zisizo tarajiwa, Magonjwa, kuathirika kisaikolojia na kimwili, kumdhalilisha mtu na kumharibia mtu hadhi yake.
Tukirudi kwenye Mada.
Kwa Watibeli, ni kosa la jinai KUBEBA MIMBA BILA RIDHAA ya MWANAUME.
Ikiwa mwanaume atafanya mapenzi/ngono na mwanaume mwanamke mwenye umri sahihi kwa RIDHAA ya mwanamke, Kwa lengo la kustarehe tuu bila lengo jingine.
Alafu ikatokea mwanamke huyo akabeba Mimba iwe kwa makusudi au bahati mbaya bila RIDHAA ya MWANAUME. Tendo Hilo litachukuliwa kama KOSA la jinai.
Kwani mwanaume atakuwa mkosewa, hakuwa na mpango wowote wa Kumpa mwanamke Ujauzito. Ni hakika taarifa ya ujauzito itamuumiza na kumkosea.
Ili mwanamke abebe mimba itampasa apewe ruhusa na Mwanaume. Sio kujibebea bebea Mimba bila ruhusa ya Mwanaume. Hii itaathiri Uwajibikaji huko mbeleni.
Hii itamaanisha, ili mwanamke abebe mimba itampasa afanye makubaliano na mwanaume. Makubaliano hayo yapo ya aina mbili;
1. Ndoa
Haya ni makubaliano ambayo ni maarufu. Mke wa ndoa hana haja ya kuomba Ruhusa kuomba Kupata ujauzito kwa Sababu Moja ya majukumu yake kama Mke ni KUBEBA MIMBA. Yaank Hilo ni Moja ya majukumu Makuu ya mwanamke kwenye Ndoa.
2. Makubaliano ya kibinafsi ya hiyari
Kwamba mwanaume anakubaliana na mwanamke ambaye sio mkewe kuwa amzalie mtoto/watoto.
Makubaliano haya lazima yawe na mashahidi. Na yawe ya maandishi.
Kwa Sheria za Kitibeli, ni jinai mwanamke kubeba Mimba ya Mwanaume mwenye Mke bila RIDHAA ya Mke.
Kama ilivyo, ni jinai kwa mwanamke aliyeolewa KUBEBA Mimba ya Mwanaume mwingine asiye mumewe bila RIDHAA ya Mume. Hiyo ni dhulma na haramu.
Makubaliano yoyote ya KUBEBA Mimba yatakuwa batili bila ya uwepo WA mashahidi ambao ni Halali.
Kwa Watibeli, KUBEBA Mimba bila RIDHAA ya MWANAUME mtoto husika hata akizaliwa hatatambulika kama mtoto wa huyo mwanaume. Mtoto atakuwa wa Mama au huyo mwanamke aliyembeba.
Ni vizuri, kabla hamjafanga ngono muweke wazi lengo la ninyi kufanya ngono. Je ni starehe au kwaajili ya kuleta kiumbe.
Kama ni biashara au ni kitu gani.
Sheria za HAKI zinapovunjwa huko mbeleni huleta madhara kwa watoto na jamii.
Bila ridhaa ya Mwanaume, baadhi ya wanawake matapeli hutumia mwanya huo kuvunja makubaliano na kuharibu familia za watu.
Ngono sio kwaajili tuu ya kuzaa Bali ngono ni starehe.
Ndio maana siku za Hatari zipo Tisa. Siku za kufanya ngono ziko kumi na Moja na siku za period zipo 5-8
Acha nipumzike sasa
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli
Mwanasheria wa Tibeli.
Andiko hili liwafae wale wapendao HAKI. Andiko hili lipitiwe na kujadiliwa na wale Wanasheria wa kusomea na wale Wanasheria wa kuzaliwa wenye MAARIFA na AKILI za juu.
Liwe kosa la jinai kumpa mwanafunzi au mtoto mdogo Mimba. Hilo ni kosa tayari na adhabu yake inafanyika.
Liwe kosa la jinai kumbaka mtu yeyote mtu mzima na hapa tunazungumzia ubakaji wa aina mbili,
1) ubakaji wa RIDHAA
2) ubakaji usio wa RIDHAA.
Ubakaji wa RIDHAA ni ule ambao unatokana na makubaliano ya ngono ambayo yamekiukwa. Ubakaji huu hufanyiwa Wanawake wanaofanya biashara ya ukahaba.
Mfano; Mwanaume kakubaliana na Mwanamke wakishafanya ngono atatoa 50,000/= lakini baada ya tendo Hilo kufanyika. Mwanaume akagoma kutoa Ile elfu 50 Kabisa au akatoa nusu ya Ile Pesa.
Hiyo ndio tunaita ubakaji wa RIDHAA. Yaani walikubaliana lakini baadaye Mwanamke akageukwa. Hivyo tendo lile linageuka kuwa ubakaji kwa Sababu baada ya tukio makubaliano hayakufuatwa na hiyo ikapelekea mwanamke kulipinga tendo la ngono lililokwisha kufanyika na kuhisi kuonewa.
Kwa sisi watibeli, Wanasheria wa Tibeli, majaji na mahakimu,na makadhi na majina yote yahusuyo utoaji wa Haki na uchambuzi wa Haki na sheria. Tunaita tendo Hilo ni ubakaji.
Mfano wa pili katika UBAKAJI WA RIDHAA.
Mwanamke kaenda kwa mganga wa kienyeji au mtu yeyote labda ni mtu ajiitaye Nabii au jina lolote lenye kiwakilishi cha Watumishi wa miungu.
Mwanamke huyo akaambiwa ili Dawa ifanye Kazi itampasa alale na Mganga wa kienyeji au mtu huyo ajiitaye Nabii au jina lolote la wawakilishi wa miungu. Ili apate Msaada.
Kwamba kuingiziwa uume mwilini mwake ndio Dawa. Akaridhia ili shida yake ipate Dawa. Tendo hilo la ngono linakuwa sio ubakaji kwa Sababu mwanamke aliridhia mwenyewe kwa Maslahi yake. Lakini ikatokea, shida yake haijatatuliwa, na kumbe alilaghaiwa. Hapo ndipo tendo lile la ngono litaitwa Ubakaji wa RIDHAA. Na ni Kosa.
Jambo linakuwa kosa kutegemeana na mambo Makuu yafuatayo;
1. Linamdhuru mtendewa hasa mwenye shida na mnyonge.
2. Haliendani Sheria za mahali husika
UBAKAJI USIO WA RIDHAA huu unafahamika katika jamii nyingi duniani. Sina haja ya kuuelezea.
Matokeo ya ubakaji ni Mengi lakini Makubwa ni Mimba zisizo tarajiwa, Magonjwa, kuathirika kisaikolojia na kimwili, kumdhalilisha mtu na kumharibia mtu hadhi yake.
Tukirudi kwenye Mada.
Kwa Watibeli, ni kosa la jinai KUBEBA MIMBA BILA RIDHAA ya MWANAUME.
Ikiwa mwanaume atafanya mapenzi/ngono na mwanaume mwanamke mwenye umri sahihi kwa RIDHAA ya mwanamke, Kwa lengo la kustarehe tuu bila lengo jingine.
Alafu ikatokea mwanamke huyo akabeba Mimba iwe kwa makusudi au bahati mbaya bila RIDHAA ya MWANAUME. Tendo Hilo litachukuliwa kama KOSA la jinai.
Kwani mwanaume atakuwa mkosewa, hakuwa na mpango wowote wa Kumpa mwanamke Ujauzito. Ni hakika taarifa ya ujauzito itamuumiza na kumkosea.
Ili mwanamke abebe mimba itampasa apewe ruhusa na Mwanaume. Sio kujibebea bebea Mimba bila ruhusa ya Mwanaume. Hii itaathiri Uwajibikaji huko mbeleni.
Hii itamaanisha, ili mwanamke abebe mimba itampasa afanye makubaliano na mwanaume. Makubaliano hayo yapo ya aina mbili;
1. Ndoa
Haya ni makubaliano ambayo ni maarufu. Mke wa ndoa hana haja ya kuomba Ruhusa kuomba Kupata ujauzito kwa Sababu Moja ya majukumu yake kama Mke ni KUBEBA MIMBA. Yaank Hilo ni Moja ya majukumu Makuu ya mwanamke kwenye Ndoa.
2. Makubaliano ya kibinafsi ya hiyari
Kwamba mwanaume anakubaliana na mwanamke ambaye sio mkewe kuwa amzalie mtoto/watoto.
Makubaliano haya lazima yawe na mashahidi. Na yawe ya maandishi.
Kwa Sheria za Kitibeli, ni jinai mwanamke kubeba Mimba ya Mwanaume mwenye Mke bila RIDHAA ya Mke.
Kama ilivyo, ni jinai kwa mwanamke aliyeolewa KUBEBA Mimba ya Mwanaume mwingine asiye mumewe bila RIDHAA ya Mume. Hiyo ni dhulma na haramu.
Makubaliano yoyote ya KUBEBA Mimba yatakuwa batili bila ya uwepo WA mashahidi ambao ni Halali.
Kwa Watibeli, KUBEBA Mimba bila RIDHAA ya MWANAUME mtoto husika hata akizaliwa hatatambulika kama mtoto wa huyo mwanaume. Mtoto atakuwa wa Mama au huyo mwanamke aliyembeba.
Ni vizuri, kabla hamjafanga ngono muweke wazi lengo la ninyi kufanya ngono. Je ni starehe au kwaajili ya kuleta kiumbe.
Kama ni biashara au ni kitu gani.
Sheria za HAKI zinapovunjwa huko mbeleni huleta madhara kwa watoto na jamii.
Bila ridhaa ya Mwanaume, baadhi ya wanawake matapeli hutumia mwanya huo kuvunja makubaliano na kuharibu familia za watu.
Ngono sio kwaajili tuu ya kuzaa Bali ngono ni starehe.
Ndio maana siku za Hatari zipo Tisa. Siku za kufanya ngono ziko kumi na Moja na siku za period zipo 5-8
Acha nipumzike sasa
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam