Nasisitiza, itungwe Sheria kubeba Mimba bila ridhaa ya Mwanaume liwe kosa la jinai

Nasisitiza, itungwe Sheria kubeba Mimba bila ridhaa ya Mwanaume liwe kosa la jinai

Hapo juu nilifafanua kuwa kosa linaweza kutokana na mambo yafuatayo
1. Kumuonea na kumuumiza mtendwa
2. Kulingana na Sheria zilizowekwa.

Unaweza kufungwa kwa kumpa ujauzito mwanafunzi wa Shule ya msingi au sekondari mwenye umri wa Miaka 20
hii ni kwa mujibu wa sheria zilizopo, ila kimaumbile na kimakuzi umri huo ni mkubwa na unahitaji tendo la ndoa kama mwili unavyohitaji haki ya kujamiana
 
Matokeo ya ngono ni yapi?

Matokeo ya ngono au ya Jambo lolote kwenye suala la HAKI tunaangalia intention, Shakira, kusudio.

Wakati mnafanya ngono mlikuwa mmelenga Jambo gani. Hapo ndio msingi Mkuu WA Haki unapoanzia.

HAKI haiangalii tuu matokeo Bali huangalia dhamiri
 
hii ni kwa mujibu wa sheria zilizopo, ila kimaumbile na kimakuzi umri huo ni mkubwa na unahitaji tendo la ndoa kama mwili unavyohitaji haki ya kujamiana

Yeah!
Maumbile na wakati huathiriwa wakati mwingine na desturi na Mila.
 
Matokeo ya ngono au ya Jambo lolote kwenye suala la HAKI tunaangalia intention, Shakira, kusudio.

Wakati mnafanya ngono mlikuwa mmelenga Jambo gani. Hapo ndio msingi Mkuu WA Haki unapoanzia.

HAKI haiangalii tuu matokeo Bali huangalia dhamiri
Sawa ni dhamira ila kuna impact ambayo ni negative na positive how can handel all impact u must have a solution of any impact
 
We unapomwaga manii hujui zinaenda kuota au

Kwa uelewa wako, kwa nini watu wanafanya Mapenzi?

Kwa uelewa wako na elimu yako, ukiwa umezingatia jibu lako la swali la Kwanza.
Unafikiri ni Kwa nini mwanamke anamzunguko katika mwezi na sio mwanaume ?

Nakusubiri
 
Mungu amtia Mariam Mimba bila ridha yake, ndo huyu Yesu mnae muita mwana wa Mungu kuja kuwaokoa, je Mungu angemuuliza Maria na angekataa Yesu angepatikana? Je hizi Dini zenu zinazo zungukia kwa yesu tu zingekuepo?
Na bado hapohapo akipata misukosuko kidogo anarudi kwa baba ambaye mama yake alitiwa mimba bila ridhaa.
 
Kwasababu wanaume sisi ni wabishi sana

Sio sababu hiyo.
Mwanamke ndiye mwenye Mamlaka na uwezo wa kuamua abebe mimba au asibebe. Abebe lini na Lini asibebe.
Ambebee Nani na Nani asimbebe

Wewe huna uamuzi wowote, na huwezi kuamua kwamba Leo naenda kumtia Mimba Fulani

Ila mwanamke anauwezo wa kuamua mwaka huu nitazaa, na nitamtafuta Fulani nimbebee mimba
 
Ni kosa la jinai KUBEBA Mimba bila ruhusa ya Mwanaume. Hiyo ni dhulma
Mimba ahiitaji ridhaa ya mwanamke au mwanaume kuingia ,bali ina ingia kufuatana na namna ya mlivyo fanya hicho kitendo kwa hiyari yenu wote wawili.
Kitendo cha kukubali kufanya ngono bila kinga ya kuzuia hiyo mimba inamaanisha kwamba nyote mko tiyari kupokea matokeo ya hicho kitendo.

Njia za kuzuia mimba zipo lakini ww hukuzifuata badala yake ukatumia njia ambayo unajua kabisa matokeo yake ni mimba alafu useme eti mimba imeingia bila ridhaa.
Ni sawa mwende kucheza mpira alafu ugungwe uanze kulalamika na kusema haikuwa makubaliano yetu kufungana.
 
Sio sababu hiyo.
Mwanamke ndiye mwenye Mamlaka na uwezo wa kuamua abebe mimba au asibebe. Abebe lini na Lini asibebe.
Ambebee Nani na Nani asimbebe

Wewe huna uamuzi wowote, na huwezi kuamua kwamba Leo naenda kumtia Mimba Fulani

Ila mwanamke anauwezo wa kuamua mwaka huu nitazaa, na nitamtafuta Fulani nimbebee mimba
Mkuu jisemee wewe ila kwasisi dungadunga tunajua kulenga!
 
Mimba ahiitaji ridhaa ya mwanamke au mwanaume kuingia ,bali ina ingia kufuatana na namna ya mlivyo fanya hicho kitendo kwa hiyari yenu wote wawili.
Kitendo cha kukubali kufanya ngono bila kinga ya kuzuia hiyo mimba inamaanisha kwamba nyote mko tiyari kupokea matokeo ya hicho kitendo.

Njia za kuzuia mimba zipo lakini ww hukuzifuata badala yake ukatumia njia ambayo unajua kabisa matokeo yake ni mimba alafu useme eti mimba imeingia bila ridhaa.
Ni sawa mwende kucheza mpira alafu ugungwe uanze kulalamika na kusema haikuwa makubaliano yetu kufungana.

Mwanamke ndiye mwenye Mamlaka na suala lote la Mimba

Ndio maana watu wenye Akili, miungu yenye akili, akiwepo muumba wa mbingu na nchi lazima afuate itifaki hiyohiyo.

Ikiwa Mungu atataka kumpa mwanamke mtoto hawezi kumfuata mwanaume Bali atamfuata Mwanamke husika. Na lazima apate RIDHAA ya huyo Mwanamke
 
Kuna wale wanawake ambao hutamani kuzaa na waume wa watu waliowapenda wajihi wao, hutaka kubeba mimba nao. Pia kuna wale wasiokuwa na mvuto wa kutongozwa hawatongozwi mpaka wanaanza kuzeeka nao hutamani mwanaume yeyote awasaidie kupata mimba wapate watoto, kuna walemavu wa aina mbalimbali nao hutaka kujamiana na kupata watoto, je hawa hawana haki? Approach yao ikoje ili nao wapate haki ya kujamiana bila kudhulumiwa?
 
Mkuu jisemee wewe ila kwasisi dungadunga tunajua kulenga!

Hakuna ujanja kwenye Hilo.

Nazungumzia fact.
Mwanamke yeye ndiye anaamua abebe mimba ya Nani.

Wakati huohuo unaweza kuoa mwanamke na asiamue kukubebea Mimba hata Moja na watoto wote wasiwe wako na usijue.

Suala la Mimba mwanamke ndiye center ya maamuzi sio wewe
 
Kuna wale wanawake ambao hutamani kuzaa na waume wa watu waliowapenda wajihi wao, hutaka kubeba mimba nao. Pia kuna wale wasiokuwa na mvuto wa kutongozwa hawatongozwi mpaka wanaanza kuzeeka nao hutamani mwanaume yeyote awasaidie kupata mimba wapate watoto, kuna walemavu wa aina mbalimbali nao hutaka kujamiana na kupata watoto, je hawa hawana haki? Approach yao ikoje ili nao wapate haki ya kujamiana bila kudhulumiwa?

Mungu ameumba watu kimadaraja, Makundi, jamii .
Hakuna mtu ambaye atakosa wa kufanana naye.

Ndio hapohapo tunarejea kwenye suala la HAKI,
Wewe upo daraja F ukafanya hila ukazaa na mtu wa daraja A bila RIDHAA yake hiyo ni dhulma. Kwani utakuwa umemkosea Yule.

Kuna hii,
Mwanamke anaweza akajichubua, akajichonga kwa hila ili ampate mwanaume au wanaume wa aina Fulani.
Sasa wewe umekuja zako, ulikuwa unataka kwenye maisha yako uzae na mwanamke mwenye rangi nyeupe, mwenye shape, kwa bahati mbaya ukakutana na huyu aliyefanya hila kujibadilisha.

Ukamuoa, mkazaa watoto lakini wale watoto hawafanani na vile ulivyokuwa umetarajia, kutokana na udanganyifu wa mama Yao.
Baadaye ukagundua Mkeo alijikoboa na kujibadilisha. Je utakuwa umetendewa HAKI?

Jibu la ukweli Kabisa ni kuwa, utakuwa umedhulumiwa,
Hiyo sio Haki

Haina tofauti Sana na mwanamke kubeba Mimba wakati wewe haukuwa na Nia ya Jambo hilo isipokuwa starehe tuu
 
Kumrubuni Mwanafumzi au msichana chini ya miaka 18, na akakubali kishiriki ngono. Huo ni ubakaji wa Ridhaa au bila Ridhaa?
 
Back
Top Bottom