Nasisitiza, itungwe Sheria kubeba Mimba bila ridhaa ya Mwanaume liwe kosa la jinai

Mjadala umeishia hapa
 
Kumrubuni Mwanafumzi au msichana chini ya miaka 18, na akakubali kishiriki ngono. Huo ni ubakaji wa Ridhaa au bila Ridhaa?

Huo ni ubakaji bila RIDHAA
Ondoa kumrubuni.
Weka, msichana mdogo wa Miaka 16 wa kidato cha pili amekufuata umpe vitu. Ukampa, akapata Mimba. Je ni ubakaji wa RIDHAA au bila RIDHAA?

Neno kurubuni, kulaghai, kudanganywa linarejelea matumizi Mabaya kwa mtendewa,
Kurubuniwa au kulaghaiwa au kudanganywa haiwezi kuwa RIDHAA ya Mtu.
 
Kaka Nilikuwa nakuona una busara lakini akili huna, wewe ndo unawekeamo kwa hoyari, una mwaga ndani, hayo matendo yako mawili ni “invitation to treat - kwenye basic business law “ unamlaumu Vipi mwanamke?
 
Kaka Nilikuwa nakuona una busara lakini akili huna, wewe ndo unawekeamo kwa hoyari, una mwaga ndani, hayo matendo yako mawili ni “invitation to treat - kwenye basic business law “ unamlaumu Vipi mwanamke?

Hakuna anayelaumiwa hapa.
Hapa ni Sheria za HAKI.

Ni Sawa uniulize, Binti wa Miaka 15 ambaye anatumia hiyari yake kukufuata wewe umpe mjegeje ukampa, iweje wewe uonekane unamakosa?

IPO hivi, kila Sheria zina MUKTADHA wake.
Watu wanafanya ngono kwa sababu mbalimbali, na Mojawapo ya hizo Sababu ni starehe.

Starehe ya mwanaume kwenye ngono ni kumwaga, tena kumwagia ndani. Hiyo ipo naturally.
Kumzuia mwanaume asimwagie ndani Kisa kuna ujauzito wakati aliyeuumba mwili wa mwanamke kaweza tarehe za ovulation na sio kila siku ni za Hatari ni kutokuwa na maarifa ya haya mambo. Na hivyo sio ajabu watu kutozingatia MUKTADHA wa Jambo lenyewe.

Wewe kwa unavyojua, unafikiri ni Kwa nini sio Muda wowote mwanamke anaweza kupata Mimba isipokuwa kuna Muda maalumu?
 
mtibeli zingatia haya
(1)wanawake wengi hawajui Wala kumfahamu elimu ya uzazi (anapigwa Leo kavu YAI linakomaa kesho mbegu inakaa masaa 24 inatafuta pakuingia--- vikikutana hiyo imo)

(2) Pia ongezea hapo ngono bila kondom kwa wasio wanandoa -itungwe adhabu Kali wakipeana mimba

isiwe kwa mdakaji tu mimba iwe kwa wote
 
Mungu amtia Mariam Mimba bila ridha yake, ndo huyu Yesu mnae muita mwana wa Mungu kuja kuwaokoa, je Mungu angemuuliza Maria na angekataa Yesu angepatikana? Je hizi Dini zenu zinazo zungukia kwa yesu tu zingekuepo?

Luka 1:26-38
26 Miezi sita baada ya Elizabeti kupata mimba, Mungu alim tuma malaika Gabrieli aende katika mji wa Nazareti, ulioko Gali laya, 27 kwa msichana bikira aliyeitwa Mariamu. Yeye alikuwa ameposwa na mtu mmoja aliyeitwa Yusufu, wa ukoo wa Mfalme Daudi.
28 Malaika Gabrieli alimtokea Mariamu, akamwambia: “Sal aamu, ewe binti uliyebarikiwa, Bwana yu pamoja nawe!”
29 Mariamu alifadhaishwa sana na maneno haya, akajiuliza moyoni, maana ya salamu hizi ni nini. 30 Ndipo malaika akamwam bia, “Usiogope, Mariamu, Mungu amependezwa nawe. 31 Sikiliza, utapata mimba, nawe utazaa mtoto wa kiume; na utamwita jina lake Yesu. 32 Mtoto huyo atakuwa mkuu na ataitwa Mwana wa Aliye Juu. Na Bwana Mungu atampa kiti cha enzi cha Mfalme Daudi, baba yake. 33 Atatawala juu ya nyumba ya Yakobo daima; na ufalme wake hau takuwa na mwisho!”
34 Mariamu akamwuliza malaika, “Lakini, nitapataje mimba, na mimi ni bikira?” 35 Malaika akamjibu, “Roho Mtakatifu ata kujilia na nguvu za Mungu zitakufunika kama kivuli, na kwa hiyo mtoto atakayezaliwa atakuwa mtakatifu na ataitwa Mwana wa Mungu. 36 Tena, miezi sita iliyopita binamu yako Elizabeti, aliyeitwa tasa, amepata mimba ingawa ni mzee sana. 37 Kwa maana kwa Mungu hakuna lisilo wezekana.”
38 Mariamu akasema, “Mimi ni mtumishi wa Bwana. Na iwe kwangu kama ulivyosema.’ ’ Kisha malaika akaondoka.

 
Point,hapa mkuu leo nimekuelewa sana

Mfano kuna binti mmoja nilimuita mahali nilikuwa na job ya muda tu,huyu binti alikuwa na tatzo la uzaz,kabla ya kuja nilimwambia anakuja tule bata tu na sio kuoana lakin alivyokuja kaja na dawa za kupata mimba nilivyomuuliza ananiambia ni dawa za tumbo,mwez mmoja tu akanasa mimba,huu ni utapeli
 
Kuna jamaa pia tunasali nae, amempiga biti mkewe baada ya kubeba mimba isiyotarajiwa. Kamwambia kabisa hiyo ni yako hainihusu.
Wanawake ni vichwa vigumu huwa hawaelew,mimi mke wangu nilimwambia kwasasa tupumzike walau hata miaka 3 nikaongezea nakumwambia kuwa ukipata mimba haraka utateseka sana lakin hakuogopa hata hayo maneno,nikawa na withdrawal namwaga nje lakin akawa analalamika mim kufanya hvyo lakin siku moja akaning'ang'ania na ngoma ikatunga siku hyo hyo
 
Hili jambo Trump akiliona atakubaliana na cc moja kwa moja
 
Njia za kuzuia mimba zipo kwanini ukwepe kuzitumia?
Ni sawa ukatae kulala kwenye chandarua alafu ukiumwa malaria useme eti imeingia kwenye mwili wangu bila idhini.
 
Watibeli ndo wakina nani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…