Niutabiri ambao nilazima niuseme yakuwa baada ya masaa machache Ayatollah Khamenei kuliutubia Taifa nakuapa kuifuta Israel. Nikama alitangaza kiama kwa Taifa lake na yeye mwenyewe.
Natabiri huwenda saa chache zijazo mkasikia tukio lakushangaza sana duniani.
Israel amemtwaa mchezesha ngoma na hii nikwasababu amefanya makosa yale yale walio yafanya wafalme na majemedari wengine wakivita kuamini wanaweza kuitowesha israel ktk uso wa dunia.
Israel sio Taifa ila ni Mungu na wanadam. Yaani hata dunia nzima tuungane pigana na Israel nataka nikuhakikishie hapatakuwepo mshindi ila Israel watashinda.
Naomba JamiiForums msifute thread yangu kama mlivyofuta ile ya Mkuu wa HEZBOLLAH leader Hassan Nasrallah.
Mkuu wa Iran Ayatollah Khamenei ametangaza jambo litampoteza kwenye uso wa dunia maana ilisha andikwa anaye ilaani Israel nikama amejilaani mwenyewe sasa Mungu wakati wote anangalia neno kulitimiza hii itatosha zaidi. Stay tune stay silent 🤫
Update
Wakati dunia ikishangilia makubaliano ya amani kati ya Hezbollah na Israel watu hawajuwi kuna msiba mkubwa unakuja baada ya mkuu wa Taifa moja kuwa ktk hali ya koma baada ya kuona kama kazi yote alifanya nakuapa 2030 hapatakuwa na taifa la Israeli kazi hiyo imefutwa pesa nyingi imetumika na kila akili wametumia vyote vimeharibiwa hakuna kilichosalia. Adui amenyoosha mkono na kwa siri mtoto wakiongozi huyo kwa siri wameomba amani na Israeli japo israel hawajamaliza kazi mpaka wasikie mzee roho amekata watakuja mbele ya vyombo nakusema Mungu amewajibu maana inasemekana Mzee huyo ndie alie panga na kuhakikisha Waisrael wanauwawa japo hakujuwa kama jambo lile lingeleta maumivu makali kwa taifa na watu wakaribu wote. Wakati hayo yanaendelea Mrusi nayeye anafikia mwisho just keep cool and silence mossad and cia on very tough job. Jaman tusomeshe haya ni matunda ya investment ktk elimu.
Natabiri huwenda saa chache zijazo mkasikia tukio lakushangaza sana duniani.
Israel amemtwaa mchezesha ngoma na hii nikwasababu amefanya makosa yale yale walio yafanya wafalme na majemedari wengine wakivita kuamini wanaweza kuitowesha israel ktk uso wa dunia.
Israel sio Taifa ila ni Mungu na wanadam. Yaani hata dunia nzima tuungane pigana na Israel nataka nikuhakikishie hapatakuwepo mshindi ila Israel watashinda.
Naomba JamiiForums msifute thread yangu kama mlivyofuta ile ya Mkuu wa HEZBOLLAH leader Hassan Nasrallah.
Mkuu wa Iran Ayatollah Khamenei ametangaza jambo litampoteza kwenye uso wa dunia maana ilisha andikwa anaye ilaani Israel nikama amejilaani mwenyewe sasa Mungu wakati wote anangalia neno kulitimiza hii itatosha zaidi. Stay tune stay silent 🤫
Update
Wakati dunia ikishangilia makubaliano ya amani kati ya Hezbollah na Israel watu hawajuwi kuna msiba mkubwa unakuja baada ya mkuu wa Taifa moja kuwa ktk hali ya koma baada ya kuona kama kazi yote alifanya nakuapa 2030 hapatakuwa na taifa la Israeli kazi hiyo imefutwa pesa nyingi imetumika na kila akili wametumia vyote vimeharibiwa hakuna kilichosalia. Adui amenyoosha mkono na kwa siri mtoto wakiongozi huyo kwa siri wameomba amani na Israeli japo israel hawajamaliza kazi mpaka wasikie mzee roho amekata watakuja mbele ya vyombo nakusema Mungu amewajibu maana inasemekana Mzee huyo ndie alie panga na kuhakikisha Waisrael wanauwawa japo hakujuwa kama jambo lile lingeleta maumivu makali kwa taifa na watu wakaribu wote. Wakati hayo yanaendelea Mrusi nayeye anafikia mwisho just keep cool and silence mossad and cia on very tough job. Jaman tusomeshe haya ni matunda ya investment ktk elimu.