Natabiri jaribio lolote la kubadilisha Katiba na ukomo wa Rais litaibua mazito

Natabiri jaribio lolote la kubadilisha Katiba na ukomo wa Rais litaibua mazito

Next term ni zamu ya Uislam, sasa kama huyo anayetaka kubadili katiba ataslimu hapo sawa"Alisikika MNEC mmoja pale Dodoma "
Una akili Sana. Uraisi wa Tz unaenda kwa kupokezana MKRISTO na MWISLAM.

Nyerere (mkt)
Mwinyi (mws)
Mkapa ( mkt)
Kikwete (mws)
Magufuli (mkt)
Ajaye..(mws)
 
Natabiri yakuwa jaribio lolote la kubadili katiba na kurefusha ukomo wa Rais litazuwa Moto wa kisiasa ambao haukuwahi kutokea tangu kuwepo kwa Taifa hili...
Mzungu mmoja aliwahi kuniambia viongozi wa Tanzania wanaongoza maiti.
.
Watanzania hata uwafanye nn... Hawawezi kufanya kitu chochote.
 
Mnahangaika kweli na JPM, Watanzania ndio wamemchagua kuwa rais wa awamu ya 5 na 6. Kama mapenzi ya Alhaji Mwinyi yatapendeza basi atapewa zawadi ya awamu ya 7 kama shukrani. Sasa hapo kuna shida gani? Hilo wala halihitaji kupigia kura yaani 2025 kutakuwa na uchaguzi mkuu wa kuwachagua wabunge tu na JPM atapewa shukrani kwa miaka mitano mingine. Kama umechukia jinyonge ndio imetoka hiyo!
Wapambe basi poa. Tunasubiri. Labda Mungu awe amelala ache haya yatokee. Kiufupi tunataka Taifa linaongozwa Kwa misingi ya Sheria. Kujiongezea muda nikuvuruga Amani nakituletea ukurunzinza na ukagame.
 
.
Mzungu mmoja aliwahi kuniambia viongozi wa Tanzania wanaongoza maiti.
.
Watanzania hata uwafanye nn... Hawawezi kufanya kitu chochote.
Siku zote ktk maisha muogope Sana MTU asie ongea huyo muogope Sana.
 
Hii hoja bavicha ndio mnaipenda sana. Mmeshabiwa jamaa haongezi hata selinde na yeye kasema. Mbona mna ashki kiasi hicho? Anzisheni mada nyingine mpate airtime.
Muda ni mwalimu mzuri kama utakuwa hai muda ukifika utakuja kukubali siku moja.
 
"Speculation"?
Ni 'facts' zipi zinazokufanya wewe uamini hatajiongezea muda? Ziweke hapa tuzione.

Mtu akija kwako akope halafu asilipe, keshokutwa anakuja tena kukulaghai juu ya 'favor' nyingine unaendelea kuamini kwamba mtu huyo ni 'dependable na kumtimizia matakwa yake bila kuwa na wasiwasi wowote juu yake, wewe utakuwa na sababu zako za kuamini ushawishi wake huo mpya...
Argument yako haina mashiko.

Let me indulge you for a moment, in "immanent critique".

Suppose you are right and I am wrong.

Suppose Magufuli ana mpango wa kuongeza muda wake wa urais, na mkamzuia.

Hilo litamzuia vipi yeye kumuweka kibaraka wake ambaye ataendeleza mambo yake na kufanya mabaya zaidi?

Mna focus kwenye the wrong thing, mjadala wa Magufuli kujiongezea muda unaondoa attention kwenye mijadala muhimu zaid, kama vile mabadiliko ya katiba na yote yanayoendana na hilo, hususan tume huru ya uchaguzi, kupunguza nguvu za rais, kuongeza uwazi na kuushurutisha kisheria, kuongeza elimu ya uraia kwa umma.

Ukifocus kwa Magufuli umuzuie asiongeze muda wa urais, unajuaje anayekuja baada ya Magufuli hata kuwa mbaya kuliko Magufuli?
 
Natabiri yakuwa jaribio lolote la kubadili katiba na kurefusha ukomo wa Rais litazuwa Moto wa kisiasa ambao haukuwahi kutokea tangu kuwepo kwa Taifa hili...
Itabidi wamconsult Mbowe. Maana yeye alifanikiwa kubadili katiba kimyakimya kuhusu ukomo wa mwenyekiti bila kuibua mazito yeyote
 
With all due respect, the issue here is: He is not reliable. He promised 50m to every village, he promised a fair and free election, he promised and sworn to entirely uphold the constitution; but all in vain. It is very difficult through these examples, for a sober and normal mind to believe to all what he says.
The problem is, you are discussing the president instead of the presidency.

Suppose you are right, he wants to extend his term, and you successfully stop him personally from doing this.

How does that stop him from installing a puppet president of his choice and remote control the entire game?

Focus on the fundamentals.

Which are:-

Constitutional changes, curbing presidential powers, an independent electoral commission, widespread civic education to the public, a culture of standing up for rights etc.

If you focus on Magufuli, he already has thousands of puppets he could reinvent himself through them.
 
Argument yako haina mashiko.

Let me indulge you for a moment, in "immanent critique"...
Unafanya kosa. Ni-address mimi sio sisi.

Mimi sijui hao unaowasema. Haya ni mawazo yangu na hayafungamani na mawazo ya hao ulionao akilini.

Hilo la "kumweka mtu wake mbaya zaidi" sijui umelitoa wapi, maana sijawahi kusikia akisema hivyo; na sijui hii dhana ya "kumzuia Magufuli kwa kusema kuwa "ataongeza muda', sijui 'mantiki' hiyo inatoka wapi na kwa nini iwe hivyo?

Hapa unaibua vitu ambavyo havihusiani kabisa na yeye kubakia madarakani. Sababu yako ya kuyaibua haya haijulikani ni ipi hasa badala ya ku'focus' kwa hilo unalomtetea hawezi kulifanya. Unatoka nje kabisa ya hoja inayojadiliwa hapa kwa sababu zako mwenyewe.
 
Unafanya kosa. Ni-address mimi sio sisi.
Mimi sijui hao unaowasema. Haya ni mawazo yangu na hayafungamani na mawazo ya hao ulionao akilini...
Unajichanganya.

Humuamini Magufuli, unafikiri atajiongezea muda wa urais.

Lakini, ukiulizwa, sawa, labda atajiongezea muda wa urais, mzuieni. Lakini, hata mkimzuia asijiongezee muda wa urais, hilo litamzuia vipi kumuweka mtu wake awe rais baada yake na yeye Magufuli aendeleze mamabo yake kwa remote control?

Ukiulizwa swali hili, unajibu "sijui hilo unalitoa wapi".

Yani huyu Magufuli ambaye humuamini katika kujiongezea muda, unamuamini kwamba akizuiwa kujiongezea muda hatataka kumuweka rais wake kibaraka?

Inakuwaje usimuamini Magufuli kwenye kujiongezea muda wa urais, halafu ukaamini kwamba hatajiwekea kibaraka wake baada ya kushindwa kujiongezea madaraka?

Ukiweza kumzuia Magufuli kuongeza muda wake wa urais, una mkakati gani wa kuhakikisha rais anayefuata hawezi kuwa kibaraka wa Magufuli au mbaya kuliko Magufuli?

Kwa nini una focus kwenye mtu zaidi ya ku focus kwenye mfumo?

Kwa nini mtu akikuonesha kwamba your approach is narrow in vision and myopic, unaishia kusema "hiyo inatoka wapi na kwa nini iwe hivyo?

Hatujui hata kama Magufuli atafika hiyo 2025. Anaweza kuanguka mwaka huu asiuone hata mwaka ujao. Hakuna mtu aliyekuwa guaranteed kuiona kesho.

Una mkakati gani wa kuhakikisha rais wa Tanzania, yeyote yule, si Magufuli tu, hana mianya mingi ya ku abuse nguvu za kirais?

Una mkakati gani wa kuweka mabadiliko ya kikatiba ya kuzuia rais kuwa na nguvu sana?

Una mkakati gani wa kuhakikisha tunapata bunge lenye nguvu ya kufanya checks and balances?

Una mkakati gani wa kuhakikisha matokeo ya kura za urais yanaweza kupingwa mahakamani?

Una mkakati gani wa kuhakikisha tunapata tume huru ya uchaguzi?

Una mkakati gani wa kuzuia wizi wa kura?

Una mkakati gani kulazimisha uwazi zaidi na uwajibikaji zaidi kisheria?

Una mkakati gani wa kuhakikisha wananchi wanaondoa woga, wanapata elimu ya uraia zaidi na wanadai haki zao?

Hayo ndiyo maswali ya msingi.

Uki focus kuhakikisha Magufuli haongezi muda wa urais 2025, Magufuli anaweza kujifia hata 2025 asifike. Ukampata chinjachinja mwingine anapenda damu kuliko Idi Amin.

Magufuli kuondoka hapo kutakusaidia nini?
 
Back
Top Bottom