Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,237
- 31,811
Tusiwategemee ccm kumzuia Magufuli kuongeza muda maana wenyewe kwa sasa kuishi kwao kunategemea jamaa kaamkaje.Itakuwa hivyo kama ndani ya CCM hawatakubali wenyewe wenye connection na deep state.
Shida karata ya kupoteza control ndio itakayokuwa mwanzo wa anguko.
Sasa utaweza kuwategemea mateka wamzuie mtekaji wao ?