Morning_star
JF-Expert Member
- Apr 21, 2018
- 6,042
- 17,320
Huyu sio baharia maana katuangusha kizembe!Mbona alikurahisishia kazi.Kwa nini hukuendelea na road-map yako.Si ungemtaka awe mkeo hapohapo kwa huyo dada?Umeniangusha sana kimedani mkuu.Siamini uzembe ulianzaje!
Nimelia sana.Huyu sio baharia maana katuangusha kizembe!
Msimamo mfanyakazi apewe heshima yake ili afanye kazi kwa uhuru kama yupo ofisini, kama mwanaume ni mtu wa tamaa cheza nje ukirudi nyumbani familia itawaleUnataka msichana mdogo mwenye bikra au?
Mumeo akimnyandua beki tatu kwa kuwa Chuchu saa sita utafurahi?
Ulipata binti mdogo wa kazi mkuu?Msimamo mfanyakazi apewe heshima yake ili afanye kazi kwa uhuru kama yupo ofisini, kama mwanaume ni mtu wa tamaa cheza nje ukirudi nyumbani familia itawale
Mpunguzie kazi kwa kununua Washing Machine yenye kufua na kukausha nguo.Natafuta binti mdogo wa kazi za nyumbani (housegirl)
Sehemu ya kazi
-Dar es Salaam
Majukumu yake
-Kufanya usafi wa nyumba ya wastani
-Kufua nguo za watu wawili tu
-Kupika chakula cha watu wawili
Mapendekezo
-Napendekeza awe Mkristo ili aishi ndani ya familia pasipo kukinzana katika imani ya dini
Mawasiliano
-Nitumie ujumbe Inbox ✉️
Kwanini hiyo kazi ya kutafuta housegirl usingemwachia mkeoNatafuta binti mdogo wa kazi za nyumbani (housegirl)
Sehemu ya kazi
-Dar es Salaam
Majukumu yake
-Kufanya usafi wa nyumba ya wastani
-Kufua nguo za watu wawili tu
-Kupika chakula cha watu wawili
Mapendekezo
-Napendekeza awe Mkristo ili aishi ndani ya familia pasipo kukinzana katika imani ya dini
Mawasiliano
-Nitumie ujumbe Inbox ✉️
Unaonyesha upumbavu wako!Simaanishi sina mashine, hizo nguo hazijiweki zenyewe kwenye mashine
Sikumuhesabia yeye inamaana ningefanya hivyo angedhani watu watatu pamoja na yeye watakuwa wanneKumbuka na yeye Ni MTU hivyo ukisema atafua nguo za watu wawili inamaana wewe na huyo housegel.
Utavumilia kulala nyumba moja bila shetani kukupitia.?
Nashukuru kwa wewe kujitambua kwamba NI MPUMBAVU!Nashkuru sasa mimi ni mpumbavu asante sana
Thread 'Mtoto wa Miaka 10 ameajiriwa kazi za nyumbani Kimara Stop Over, ananyanyaswa sana, Waziri Gwajima msaada wako unahitajika' DOKEZO - Mtoto wa Miaka 10 ameajiriwa kazi za nyumbani Kimara Stop Over, ananyanyaswa sana, Waziri Gwajima msaada wako unahitajikaAsante sana mkuu wewe ni mwerevu
umpatie check namba na salary scale ni tgs ya ngapiNatafuta binti mdogo wa kazi za nyumbani (housegirl)
Sehemu ya kazi
-Dar es Salaam
Majukumu yake
-Kufanya usafi wa nyumba ya wastani
-Kufua nguo za watu wawili tu
-Kupika chakula cha watu wawili
Mapendekezo
-Napendekeza awe Mkristo ili aishi ndani ya familia pasipo kukinzana katika imani ya dini
Mawasiliano
-Nitumie ujumbe Inbox ✉️
Sawa mkuu, ila ukisema mtoto, wengi watarejea umri uliopo chini ya sheriaHakuna utata wowote hofu imekutanda
🤣🤣🤣🤣🤣Me nikajua unaongea umuoee kumbe na wew unataka kumlaa tu umuache??? Mbona unaweza kumlaa akiwa huko alikoenda acha uzuzuuumkuu kama ulikuwepo,sababu kitu ameenda kusema kwa mama wa yule binti ni kuwa ntakuwa namtaka yule binti nimchezee,kaenda kupanda hiyo mbegu kichwani mwa mama wa yule binti. Sasa wasiwasi wangu mkubwa,huyo mfanyakazi mwenzangu "kaoa" mwanaume jobless,alafu ni mwanamke havutii kimuonekano na muda mwingi anashida kazini,Nyumbani atakuwa anamuacha huyo binti wa kazi na mumewe,naona kabisa jamaa anaenda kumla yule mtoto. Sasa ni heri angeliwa na mimi hata nikimpa mimba nalea bila shida kuliko bomu waliloenda kulipanga huko. Ni suala la muda tu....
Huyo mwanamke alikuwa na wivu wa kijinga kakukosesha mke kabisa yani.Niliwahi kupewa house girl ana miaka 18 mzuri kweli kweli,tena mama mtu ndio alitaka kunikabidhi. Yule ilikuwa suala la muda tu nimgeuze kuwa mke. Kabla hata hajaanza kazi kwangu kuna mfanyakazi mwenzangu wa kike akaenda kunipiga fitina kwa mama mtu akamchukua yeye yule binti. Yule mfanyakazi mwenzangu mpaka leo hajajua namna gani namchukia tu,namchekea usoni lakini moyoni silipendi,jitu lilishashindwa maisha yake linakuja kuvuruga opportunity za wengine.
Hapana mdogo kwa mana kwamba hakuna kazi nyingi wala ngumu za kuhitaji mtu mzima na hata kama ni mdogo hakuna changamoto zozote zitakazomkumba atakuwa sehemu salama sanaSawa mkuu, ila ukisema mtoto, wengi watarejea umri uliopo chini ya sheria