Natafuta boyfriend atakayekuwa mume wangu baadae!

Natafuta boyfriend atakayekuwa mume wangu baadae!

vizuri sana ila nakushauri tafuta mume hawa wachumba wakujaribisha hawana maana watakuchezea halafu huwaoni jaribu kujiandaa kama mke zaidi kuliko kujinadi kama girl friend wangu
 
ahaaa ngoja kwaresma iishe tufunge zetu ndoa bwana.kipindi hiki hawaruhusu mashangilio yoyote! tuachane na ukapera bwana na mizengwe ya love connect
Aaaah, bana we...mbwe mbwe nyiingi, masharti kibao, ukitia timu hawajibu!
 
ahaaa ngoja kwaresma iishe tufunge zetu ndoa bwana.kipindi hiki hawaruhusu mashangilio yoyote! tuachane na ukapera bwana na mizengwe ya love connect

Na wewe ushaanza masharti...sasa hivi utaniambia hutaki wasiofunga!
 
Mi nataka demu mpenda pesa,asinipende mimi apende verosa,demu mpenda vidogo hanifai,coz haletichangamoto maishani,napenda demu nikirudi home mikono mitupu akunje uso,sio hata nikichacha yeye anafuraha tuu!Kwahiyo kama wewe sio demu wa tamaa mimi hunifai!!

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Habari,

Nadhani nipo katika jukwaa sahihi la mahusiano. Mimi naitwa xx, mzaliwa wa Pangani Tanga kwa mama Mdigo na baba Msambaa. Umri wangu ni miaka 26. Nimemaliza first degree (BA-Econimics) mwaka jana, UDSM. Nimewahi kuwa na uhusiano na mkaka fulani kuanzia mwaka wa kwanza hadi mwaka jana tulipomaliza chuo tukaja kuachana kwani niligundua ana wasichana wengine na mwishowe alinitamkia kuwa anayetaka kumuoa ni yy, na wala sio mimi.

Kimaumbile, ni mrefu wa wastani, rangi maji ya kunde (nadhani naeleweka). Si mnene sana lakini nina makalio makubwa ya wastani. Kwa sasa nimeajiriwa hapa Dar es Salaam katika NGO fulani maeneo ya Mikocheni na makazi ni maeneo ya kurasini.

Ningependa mwanaume wa aina yeyote kimaumbile lakini awe ni mwajiriwa/au aliyejiajiri....kabila ni yeyote ila awe ni mkristo.....na kama atakuwa muislam basi awe tayari kubadili dini. Sifa ya ziada, ni mwenye uwezo wa kuutendea haki mwili wangu katika mambo fulani.

Mahusiano yetu ya boyfriend na girlfriend yanaweza chukua miezi 10 hadi mwaka kabla hatujawa wachumba rasmi kwani naamini tutakuwa tumeshafahamiana.

Whoever's ready we can start having PMs exchanging
Sasa hapo Dada huoni kama ulishaolewa tayari?!, miaka miaka mitatu unamtumikia mkaka na kisha anakubwaga baada ya kuona huna sifa stahiki, ndio ukajiregister jf kwa kujua kuna wakware huku sio?!
 
Usijali mrembo mimi nina sifa zote unazohitaji! na ole wako utupilie mbali maombi yangu. apearance ni mrefu maji ya kunde then kwa sasa nina kifua kipana kwa kuwa ni mhudhuriaji mzuri wa Gym. mrefu degree holder. umenivutia ulivosema kuwa una wowowooo!manake ndo ugonjwa wangu. nakuhusu kukutendea haki pale kati usikonde utafurahi na roho yako. napia ni nkristo. huyo mfuga ndevu aliyekutenda achana naye hajui kupenda.
 
ni pm kwenye 0755369241, nikuagizie wapi unaweza kuniona coz sifa nnazotaka unazo
 
ila awe ni mkristo.....na kama atakuwa muislam basi awe tayari kubadili dini.
Kwa lipi? I mean, don't get me wrong, hakuna dini nzuri zaidi ya Ukristo, lakini una nini cha zaidi sana wewe mpaka utake mwenzako ndio abadili dini yake?

I mean, umetoka kupigwa chini, umejaribu mwenyewe mwenyewe kuji expose naturally imeshindikana, husimamishwi njiani wala kanisani, hulipi, halafu unatuwekea masharti magumu magumu ya kijamii hapa kwamba tubadili dini zetu tukufate wewe, kwa kipi haswa, hayo makalio?
 
Habari,

Nadhani nipo katika jukwaa sahihi la mahusiano. Mimi naitwa xx, mzaliwa wa Pangani Tanga kwa mama Mdigo na baba Msambaa. Umri wangu ni miaka 26. Nimemaliza first degree (BA-Econimics) mwaka jana, UDSM. Nimewahi kuwa na uhusiano na mkaka fulani kuanzia mwaka wa kwanza hadi mwaka jana tulipomaliza chuo tukaja kuachana kwani niligundua ana wasichana wengine na mwishowe alinitamkia kuwa anayetaka kumuoa ni yy, na wala sio mimi.

Kimaumbile, ni mrefu wa wastani, rangi maji ya kunde (nadhani naeleweka). Si mnene sana lakini nina makalio makubwa ya wastani. Kwa sasa nimeajiriwa hapa Dar es Salaam katika NGO fulani maeneo ya Mikocheni na makazi ni maeneo ya kurasini.

Ningependa mwanaume wa aina yeyote kimaumbile lakini awe ni mwajiriwa/au aliyejiajiri....kabila ni yeyote ila awe ni mkristo.....na kama atakuwa muislam basi awe tayari kubadili dini. Sifa ya ziada, ni mwenye uwezo wa kuutendea haki mwili wangu katika mambo fulani.

Mahusiano yetu ya boyfriend na girlfriend yanaweza chukua miezi 10 hadi mwaka kabla hatujawa wachumba rasmi kwani naamini tutakuwa tumeshafahamiana.

Whoever's ready we can start having PMs exchanging

Hebu tueleze sura yako ilivyo, angalau kwa kujifananisha hata kwa mbali na mdada mmoja maarufu ili tupate rough idea unafananaje. Si unajua ni rahisi kumtambua mtu kwa sura kuliko makalio?

Ni PM picha yako basi mamaa, nimefurahishwa na mchanganjiko wako.
Msambaa ni mchapakazi
Mdigo ni fundi wa yale mambo ya 6'x6'.
 
basi niweke pending, ikitolewa ntakuja!!!!!!!!!

I like this....hahahahah! Evelyn mi nataka kukuoa na bikra yako..na sitaitoa kamwe!!!

nimefurahishwa na mchanganjiko wako.
Msambaa ni mchapakazi
Mdigo ni fundi wa yale mambo ya 6'x6'.

Hivyoeeee....:A S 39:

Kumbe baba aliponikataza hawa watu alijua watanchanganya!!! lazima nkafanye research...masters pap!
 
Last edited by a moderator:
Binti yangu kama uko serious kama ulivyo sema basi kwanza agana na Mungu baba, kwa njia ya maombi kama ulivyo sema kuwa unahitaji Mkristo, basi pitia njia ya maombi!!! Kwa sifa zingine kweli wewe ni sawa, mama Ndigo Baba Msambaa kama kweli una sifa za undani basi hakuna shaka ni vyema!!! Tulia kwenye maombi shirikisha Mchungaji wako usiwe na haraka, usijitoe bure ili kufurahisha watu, utafanaikiwa ila chunga usijiharibu, maana shetani anajua lengo lako atakuletea majaribio, kushinda lazima umshirikishe Bwn Yesu!! Ubarikiwe!!!

Bwana asifiwe sana.
Wote semeni 'Eimeeen'.
 
Back
Top Bottom