Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Nina mgodi wangu aka chimbo la madini yaani ni mchimbaji tanzaniteUnanini mererani??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nina mgodi wangu aka chimbo la madini yaani ni mchimbaji tanzaniteUnanini mererani??
Umaskini uutake wewe tuUnanini mererani??
Mkuu ungewek ata adress yako , cc wamkoan tucje kukuita kweny saidia fundi wakat upo mbaliHabari zenu wakuu
Wakuu naombemi kazi yoyote ya halali huku mtaani sio poa. Huku kitaa nimepambana sana huku na kule lakn bado kugumu ila hatukati tamaa. Naombeni kwa yeyote mwenye kazi aniunganishe tafadhali, ata za viwandani sawa tu muhimu kupata chochote kitu.
Mwenye connection za saidi fundi itapendeza pia, maana za huku mtaani nimepiga ila changamoto unapiga leo kisha unakaa sana mpaka uje upate tena kazi. Sio mzuri kwenye kuandika ila angalau lengo langu limeeleweka, wakuu msaada wenu tafadhali.
Funguka basi jamani nikuelewe??Umaskini uutake wewe tu
Natoka sana Mzee yaan sana tu. Kama una connection yoyote naomba tafadhaliUsijifungie magetoni jichanganye mazee
Niko Dar es salaam ila popote kama kuna inshu za kazi Nita force nauli niende.. kama una connection ya kazi naomba tafadhaliUpo mkoa gani
Inakuwa vipi mkuu hebu nipe muongozo vizuri ili niingie huko.Kijana unaweza kuingia shimoni aka kwenye andaki la madini na tochi kama upo mererani ningekupa Dili maana nina maapolo wachache sana kama upo mererani nakusogezea kazi hiyo.
Mkuu popote pale nafika tu inshu sio kuwa mbali nahitaji kazi kaka. Kama una connection yoyote ya kazi naomba tafadhali ata hizo saidia fundi sawa tuMkuu ungewek ata adress yako , cc wamkoan tucje kukuita kweny saidia fundi wakat upo mbali
Siwezi kukuhakikishia ila kuna sehemu nitajaribu kama nafasi bado zipo ila ni ujenzi kuna block nane na hadi sa hv zipo level ya 8 zinatakuwa kufika level 19Niko Dar es salaam ila popote kama kuna inshu za kazi Nita force nauli niende.. kama una connection ya kazi naomba tafadhali
Kuingia chini ya shimo la madini yaani kama upo arusha njoo mererani kujua zaidi ni pm yangu ipo waziInakuwa vipi mkuu hebu nipe muongozo vizuri ili niingie huko.
Mkuu simu nayo tumia sidhani kama wewe unaweza itumia, sina simu kubwa. Ata hii ninayo tumia sasa nimeazima tu hapa kwa jamaa. Nimefanya kununua vocha ya 500, ndio maana toka nimeweka bandiko langu jana nimekuja kuwajibu leo.Uza simu upate mtaji wa kuuza matunda , kwa siku hukosi elfu 20 kama faida.
Ni kweli dada wengi wanazingua tu, Mungu atusaidie sote tukutane na watu sahihi maishani.Utapata tu mahali najua hilo huwezi kosa humu ila kuna watu wanaojiona wanaweza kusaidia ila miyeyusho tu . Wala sio wa kweli mzee wakujisifu upo?? Unaongea kama unatetema Ushimen msaidie kijana
Kwahyo ukipata mtaji unaweza tembeza matunda mtaani?Mkuu simu nayo tumia sidhani kama wewe unaweza itumia, sina simu kubwa. Ata hii ninayo tumia sasa nimeazima tu hapa kwa jamaa. Nimefanya kununua vocha ya 500, ndio maana toka nimeweka bandiko langu jana nimekuja kuwajibu leo.
Mkuu una connection? Yaani nikifika tu nianze kazi maana ata nauli inabidi niazime.Njoo fodoma mkuu ujenzi umeshika hatamu huku
Sawa nduguSiwezi kukuhakikishia ila kuna sehemu nitajaribu kama nafasi bado zipo ila ni ujenzi kuna block nane na hadi sa hv zipo level ya 8 zinatakuwa kufika level 19
Kabisa mkuu inawezekanaKwahyo ukipata mtaji unaweza tembeza matunda mtaani?
Nikuambie kitu kazi zipo ila sio za huku nilikutana na mtu mmoja wallah mshirikinaNi kweli dada wengi wanazingua tu, Mungu atusaidie sote tukutane na watu sahihi maishani.