Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
Ulinzi utaweza mkuu kwa mwez 180 kulala bure kul bure hakuna nauli zanzibarBado nahitaji kazi wakuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulinzi utaweza mkuu kwa mwez 180 kulala bure kul bure hakuna nauli zanzibarBado nahitaji kazi wakuu
Mpe connection Kama inawezekana!, Unaweza usimsaidie mtu kikubwa ila kupitia hiki kidogo ikawa ndio njia yake ya mafanikio kupitia wewe!.Ulinzi utaweza mkuu kwa mwez 180 kulala bure kul bure hakuna nauli zanzibar
Pole yake sana...
Hasemi sasa, mana mm nimekuja huku kazi yangu ya kwanza ilikuwa hiyo ulinz nmepiga miez 4 nimepata kazi sehem nyingine hotel barman ya mzungu analipa vizur TU... Ndo namuuliza hapa utayar wake kuja kukomaa na ulinz visiwa vya utalii hukuMpe connection Kama inawezekana!, Unaweza usimsaidie mtu kikubwa ila kupitia hiki kidogo ikawa ndio njia yake ya mafanikio kupitia wewe!.
Duh.... Mpe conditions za hapo! Labda hana vyeti vya mgambo? Au hakiitajiki.Hasemi sasa, mana mm nimekuja huku kazi yangu ya kwanza ilikuwa hiyo ulinz nmepiga miez 4 nimepata kazi sehem nyingine hotel barman ya mzungu analipa vizur TU... Ndo namuuliza hapa utayar wake kuja kukomaa na ulinz visiwa vya utalii huku
Hasemi sasa, mana mm nimekuja huku kazi yangu ya kwanza ilikuwa hiyo ulinz nmepiga miez 4 nimepata kazi sehem nyingine hotel barman ya mzungu analipa vizur TU... Ndo namuuliza hapa utayar wake kuja kukomaa na ulinz visiwa vya utalii huku
Niunganishe na Mimi mkuu hali teteHasemi sasa, mana mm nimekuja huku kazi yangu ya kwanza ilikuwa hiyo ulinz nmepiga miez 4 nimepata kazi sehem nyingine hotel barman ya mzungu analipa vizur TU... Ndo namuuliza hapa utayar wake kuja kukomaa na ulinz visiwa vya utalii huku
Niunganishe na Mimi mkuu hali tete
Niunganishe na Mimi mkuu hali tete
Unaingia lin mkuuKama vipi twende Zanzibar tutajua tu nini cha kufanya.
Unaingia lin mkuu
Bro Vipi, naomba hio Connection ya Kazi Zanzibar tafadhari. Ila Sina Vyeti mkuu mi mpambanaji tu. Kufika Zanzibar naweza kuforceHasemi sasa, mana mm nimekuja huku kazi yangu ya kwanza ilikuwa hiyo ulinz nmepiga miez 4 nimepata kazi sehem nyingine hotel barman ya mzungu analipa vizur TU... Ndo namuuliza hapa utayar wake kuja kukomaa na ulinz visiwa vya utalii huku