Natafuta kazi yoyote halali, huku mtaani sio poa

Natafuta kazi yoyote halali, huku mtaani sio poa

Ulinzi utaweza mkuu kwa mwez 180 kulala bure kul bure hakuna nauli zanzibar
Mpe connection Kama inawezekana!, Unaweza usimsaidie mtu kikubwa ila kupitia hiki kidogo ikawa ndio njia yake ya mafanikio kupitia wewe!.
 
Mpe connection Kama inawezekana!, Unaweza usimsaidie mtu kikubwa ila kupitia hiki kidogo ikawa ndio njia yake ya mafanikio kupitia wewe!.
Hasemi sasa, mana mm nimekuja huku kazi yangu ya kwanza ilikuwa hiyo ulinz nmepiga miez 4 nimepata kazi sehem nyingine hotel barman ya mzungu analipa vizur TU... Ndo namuuliza hapa utayar wake kuja kukomaa na ulinz visiwa vya utalii huku
 
Hasemi sasa, mana mm nimekuja huku kazi yangu ya kwanza ilikuwa hiyo ulinz nmepiga miez 4 nimepata kazi sehem nyingine hotel barman ya mzungu analipa vizur TU... Ndo namuuliza hapa utayar wake kuja kukomaa na ulinz visiwa vya utalii huku
Duh.... Mpe conditions za hapo! Labda hana vyeti vya mgambo? Au hakiitajiki.
 
Shukrani mkuu, sio kwamba siseme. Sina simu ya kuingia hapa ninafanya tu kuazima kwa muda kisha nairejesha kwa muhusika. Kwa hiyo mkuu napaswa kuwa na nini mpaka kupewa kazi huko. Umesema wewe ulipiga miezi minne tu na kupata sehemu nyingine ama bado unakomaa na ulinzi?
Hasemi sasa, mana mm nimekuja huku kazi yangu ya kwanza ilikuwa hiyo ulinz nmepiga miez 4 nimepata kazi sehem nyingine hotel barman ya mzungu analipa vizur TU... Ndo namuuliza hapa utayar wake kuja kukomaa na ulinz visiwa vya utalii huku
 
Wakuu bado sijapata kazi, msaada wenu tafadhali. kazi yoyote ile angalau nipate chochote kitu.
 
Kama unaweza fika Songea, Kuna kazi zashamba kwasiku elfu 5 mpaka 7..kazi haziishi mpaka mavuno..unapumzika mwezi mmoja kazi zinaendelea mpaka ushindwe mwenyewe
 
Hasemi sasa, mana mm nimekuja huku kazi yangu ya kwanza ilikuwa hiyo ulinz nmepiga miez 4 nimepata kazi sehem nyingine hotel barman ya mzungu analipa vizur TU... Ndo namuuliza hapa utayar wake kuja kukomaa na ulinz visiwa vya utalii huku
Niunganishe na Mimi mkuu hali tete
 
Hasemi sasa, mana mm nimekuja huku kazi yangu ya kwanza ilikuwa hiyo ulinz nmepiga miez 4 nimepata kazi sehem nyingine hotel barman ya mzungu analipa vizur TU... Ndo namuuliza hapa utayar wake kuja kukomaa na ulinz visiwa vya utalii huku
Bro Vipi, naomba hio Connection ya Kazi Zanzibar tafadhari. Ila Sina Vyeti mkuu mi mpambanaji tu. Kufika Zanzibar naweza kuforce
 
Back
Top Bottom