Sasa kijana HUONI unatembelea Brand ya KAMPUNI ya watu HIO au elimu tatizo?Niko Dar es salaam ila popote kama kuna inshu za kazi Nita force nauli niende.. kama una connection ya kazi naomba tafadhali
Niunganishe hii mkuu, 0621004002Kuna kazi ya sales kuleta wateja katika mfumko wa bima x, kila mteja ukimuunga unakula 10k na unapewa pia nauli. Kama uko tayari nikuunganishe na muhusika.
Hiyo jero ungebetMkuu simu nayo tumia sidhani kama wewe unaweza itumia, sina simu kubwa. Ata hii ninayo tumia sasa nimeazima tu hapa kwa jamaa. Nimefanya kununua vocha ya 500, ndio maana toka nimeweka bandiko langu jana nimekuja kuwajibu leo.
Acha upotoshaji dada Kuna watu humu wanaweza msaidiaNikuambie kitu kazi zipo ila sio za huku nilikutana na mtu mmoja wallah mshirikina
Wachache sana wengi waongoAcha upotoshaji dada Kuna watu humu wanaweza msaidia
Ulirogwa?Wachache sana wengi waongo
Umejaribu kazi za halali na hujatoboa mpaka now jaribu dili chafu ukishindwa kutoboa tafuta mti ujitundikeHabari zenu wakuu
Wakuu naombemi kazi yoyote ya halali huku mtaani sio poa. Huku kitaa nimepambana sana huku na kule lakn bado kugumu ila hatukati tamaa. Naombeni kwa yeyote mwenye kazi aniunganishe tafadhali, ata za viwandani sawa tu muhimu kupata chochote kitu.
Mwenye connection za saidi fundi itapendeza pia, maana za huku mtaani nimepiga ila changamoto unapiga leo kisha unakaa sana mpaka uje upate tena kazi. Sio mzuri kwenye kuandika ila angalau lengo langu limeeleweka, wakuu msaada wenu tafadhali.
Pole sana Kwa madhira uliyo kutana nayo. Dada kama una mtu sahihi unafahamu añq connection yoyote ya kazi msaada tafadhaliNikuambie kitu kazi zipo ila sio za huku nilikutana na mtu mmoja wallah mshirikina
Itabidi niweze mkuu, naomba muongozo.Utawez kazi ya ulinzi mkuu Zanzibar?
Elimu tatizo ndugu yangu, sikujua.Sasa kijana HUONI unatembelea Brand ya KAMPUNI ya watu HIO au elimu tatizo?
Haya badiri ID au watafute wakupe kazi unawafanyia kazi kubwa ya Digital marketing bila kujua unachokifanya wakati hawajakuajiri, elimu ina umuhimuElimu tatizo ndugu yangu, sikujua.
Shukrani mkuu, kama una connection yoyote unipatie tafadhali.Kila la kheri mkuu
Kulinda visiwani huku vya kitalii ZanzibarItabidi niweze mkuu, naomba muongozo.
Mkuu nipe connection PMKuna deal ya kukimbia na mzigo wa kilo 100 gizani ila umeweka vigezo vya kazi unayoitaka hii haitakufaa
Madili ya aina hii ni Mtwara Kule. Watu wanaokimbia na viroba vya korosho. Wanayashusha kipindi gari linatembeaMkuu nipe connection PM