Natafuta kwa udi na uvumba dawa ya kuondoa vyakula tumboni ili kitambi kiishe haraka

Habari bila picha tunashindwa kukupa dozi sahihi kulingana na tatizo sasa. Weka picha
 
Matunda ya mlonge ni hatari utatoa uchafu mpaka ujishangae!!! Zimenye tafuna kama nane hivi,
Au tafuta karanga pori unaweza ukatoa utumbo au tumia mafuta ya mnyonyo utahara ushangae
longe
 
Ingia katika maduka ya waarabu au wahindi watakupa dawa za kutoa mafuta na kuhara ila jiandae siku iyo ushinde home
 
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]pole sana
 
Fanya "kudeti" na mimi kwa miezi miwili tu. Matukio nitakayokupiga, kama kitambi kikibaki basi ujue umelogwa!
 
baba piga jembe - kitambi hakiondoki wa gym ama kukimbia... wiki tu upo kama ruler.
 
Binadamu sijui nana katuloga kwel dawa ya kuondoa tumbo kubwa?. Kilichokufanya uwe na tumbo kubwa kinyume chake ndo kitaondoa hilo tumbo kubwa
 
Tuwasiliane kukipambazuka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…