Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
longeNimechanganyikiwa kichizi, Bwana wangu mzungu anataka niondoe mkitambi wangu ndani ya miezi miwili ili tukafunge ndoa kwao Sydney.
Naombeni jamani dawa ya kuondoa michemsho, mapupu, kyepe, miugali, na mazaga yaliyogandana tumboni. Mtoto wa ki Ara Chuga nsipitwe na bahati
Nenda maduka ya dawa za kihindi mwambie akupe HABAT MULUK..
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]pole sanaNimechanganyikiwa kichizi, Bwana wangu mzungu anataka niondoe mkitambi wangu ndani ya miezi miwili ili tukafunge ndoa kwao Sydney.
Naombeni jamani dawa ya kuondoa michemsho, mapupu, kyepe, miugali, na mazaga yaliyogandana tumboni. Mtoto wa ki Ara Chuga nsipitwe na bahati
R Chuuuuuuuuuu BabyshamblesMadem wa Arusha hawarembagi ndg yangu
Mi mwenyewe kinene[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Anataka ka shape kama kako
Hebu nikuone mkuuMi mwenyewe kinene[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ngoja kidogo hii haiwezi ondoa ulcers??Hi kitu ataharisha mpaka utumbo.
baba piga jembe - kitambi hakiondoki wa gym ama kukimbia... wiki tu upo kama ruler.Nimechanganyikiwa kichizi, Bwana wangu mzungu anataka niondoe mkitambi wangu ndani ya miezi miwili ili tukafunge ndoa kwao Sydney.
Naombeni jamani dawa ya kuondoa michemsho, mapupu, kyepe, miugali, na mazaga yaliyogandana tumboni. Mtoto wa ki Ara Chuga nsipitwe na bahati
Hiyo siyo tu ukae karibu na choo ukinywa hiko kimbegu ni bora usitoke kabisa chooniMshana Jr --hii kitu inawezekana?View attachment 2239222
Tuwasiliane kukipambazukaNimechanganyikiwa kichizi, Bwana wangu mzungu anataka niondoe mkitambi wangu ndani ya miezi miwili ili tukafunge ndoa kwao Sydney.
Naombeni jamani dawa ya kuondoa michemsho, mapupu, kyepe, miugali, na mazaga yaliyogandana tumboni. Mtoto wa ki Ara Chuga nsipitwe na bahati