Natafuta mganga wa kienyeji konki

Nitakutumia hiyo namba ila tafadhari huyo unayetaka kumwekea Limbwata asiwe Mwanangu tu, manake first born wangu yupo hapo Mjini na Mimi Baba yake bado namtegemea kwa mia mbili mbili anazonitumiaga πŸ€ͺπŸƒπŸƒ
Nina hakika naemtupia anahusiana na wewe
Lkn relax tule mema ya nchi ba mkwe sitakuangusha
 
Nina hakika naemtupia anahusiana na wewe
Lkn relax tule mema ya nchi ba mkwe sitakuangusha
Ukisha mu-win najua atakuwa anafata maelekezo yako tu, kwahiyo nihakikishie utakuwa unaniweka kila mwezi laki 3 kwenye akaunti yangu πŸ€ͺ
 
Kwanza pole kwa matatizo, nenda Kimara Temboni, ulizia Ngomeni, nenda kamuone Kuhani Musa, utapatiwa vifaa vya kiroho matatizo yako yote yatakwisha!.
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…