Darlin
JF-Expert Member
- Aug 9, 2020
- 4,796
- 10,646
[emoji23][emoji23][emoji23] naombeni namba
Kuna mtu nataka kumtupia kijini cheupe
Akikupatia na mimi naomba hapo
Kuna kijana wa mtu ameanza kukosa adabu[emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23] naombeni namba
Kuna mtu nataka kumtupia kijini cheupe
Lete connection kwanza mkuu nikifanikiwa ndo natoa SHUKRANILete afu3 nikupeleke Same kwa mganga wa kweli
Kuna mchepuko mmoja nataka nimfanyie, nimeangalia mahali nimeona ana nyota kali sana ya Hela.Na huyo binti awe ni binti yako ulomzaa
Sio utegee mabinti usiojua uchungu wao 😇
Nina hakika naemtupia anahusiana na weweNitakutumia hiyo namba ila tafadhari huyo unayetaka kumwekea Limbwata asiwe Mwanangu tu, manake first born wangu yupo hapo Mjini na Mimi Baba yake bado namtegemea kwa mia mbili mbili anazonitumiaga 🤪🏃🏃
🤣🤣Wanaenda kuruka kamba
Una maswali ya ngumi wewe[emoji23][emoji23]
mnene au mwembamba?Kuna mchepuko mmoja nataka nimfanyie, nimeangalia mahali nimeona ana nyota kali sana ya Hela.
Hapa napambana kumvuta aje aje 🤪🏃🏃
Hela sina lakini, sema kingineBasi fanya nlivyokuelekeza
Binti nimejiridhisha, nimemwangalia mara tatu zote inaonesha ana nyota ya hela.Unahakika hako kabint kana nyota isiwe ya giza giza shauriyako😄
Ukisha mu-win najua atakuwa anafata maelekezo yako tu, kwahiyo nihakikishie utakuwa unaniweka kila mwezi laki 3 kwenye akaunti yangu 🤪Nina hakika naemtupia anahusiana na wewe
Lkn relax tule mema ya nchi ba mkwe sitakuangusha
Laki3 cha mtoto ba mkweUkisha mu-win najua atakuwa anafata maelekezo yako tu, kwahiyo nihakikishie utakuwa unaniweka kila mwezi laki 3 kwenye akaunti yangu 🤪
Yule hamnazo 😂😂 milard ayo anachoka sanaZumaridi atakusaidia keshaenda hadi mbinguni na kuzimu pia
Ukimuweka hukomtafutie na kakijana ka kiume kuongeza nguvu😂😂😂Binti nimejiridhisha, nimemwangalia mara tatu zote inaonesha ana nyota ya hela.
Najua nikimweka kwenye hardware yangu lazima niwe tajiri 🤪
Umekalia uchawi ndio maana huolewi. Mwanamke una roho mbaya sana weweAende Same huko milimani
Ana mwili wa wastani, sio mwembamba sana wala Mnene 🤪mnene au mwembamba?
Nataka nikuongezee maujuzi
Umsilibe kweli kweli 😂😂😂😂
😂😂😂 bestiiiiiiUmekalia uchawi ndio maana huolewi. Mwanamke una roho mbaya sana wewe
Basi msije tena pm sina koneksheni kama hela hamna 🤣Hela sina lakini, sema kingine
Kwanza pole kwa matatizo, nenda Kimara Temboni, ulizia Ngomeni, nenda kamuone Kuhani Musa, utapatiwa vifaa vya kiroho matatizo yako yote yatakwisha!.Wakuu mambo vp?
Nina ishu serious sana inanisumbua nahitaji mganga mwenye uwezo wa kunitatulia tatizo langu. Maana wengi nilioenda hawana suluhisho la muda mrefu ni kama wanakutibu ndani ya muda mfupi tatizo linarudi tena!
Nipo Dar akipatikana aliye Dar itapendeza zaidi.
N.B: Wale wa chumvi ya mawe, mara sijui nimwombe Mungu yote hayo nayajua lakini siyataki kwenye uzi huu. Nataka watu wenye miamba konki ya kutatua tatizo langu.
Niko seriousMkuu mbona unaleta masihara kwenye uzi wangu[emoji23][emoji23]
Hahaha..............huko nitakapomuweka haitaji mtu mwingine, kazi yake ni kuniletea hela tu 😀Ukimuweka hukomtafutie na kakijana ka kiume kuongeza nguvu😂😂😂