Natafuta mganga wa kienyeji konki


Wewe mimi ni mwanamke sio mume,kama unatafuta mume sio kwenye uzi huu
Nashangaa umekazana na comment zako za shombo unakuwa kama mwanamke vile
Nikaushie kazi ni moja tu nahitaji jambo langu litimie sio bla bla bla

Enhe nikishakubali nimekataliwa wewe ndio umchukue au nini?[emoji3]maana unatunga mpaka uongo isijekuwa mke mwenzangu sikujui
 
Dunia imepiga hatua kubwa sana kwenye Science na teknolojia,fikra za kuroga ni fikra za Stone age hizo,toka usingizini Dunia inakuacha kwa kasi ya ajabu na mawazo yako ya kimasikini.
 
Naona dawa imeanza kukuingia,umeanza kurukaruka kama Kuku aliyekatwa kichwa kisha akaachiwa ghafla,huna utakayemroga kubali matokeo umesha wekwa kushoto,kulia lia jf hakuwezi kubadili kitu kapuku wewe.
 
Abadilishe akili na fikra zake kwanza ili ziwe sawa.

We nani bana upange nibadilike,una comment kwenye uzi wa mtu mwenye fikra tofauti na wewe unafanya nini hapa?mi nimewaita wenye fikra sawa na mimi,watu kama wewe nimeshasema piteni kulia
Hapa hakuna cha fikra wala nini mpaka jambo litimie
 
Mkuu naomba namba ya Imma. Au nije pm?
 
We nani bana upange nibadilike,una comment kwenye uzi wa mtu mwenye fikra tofauti na wewe unafanya nini hapa?mi nimewaita wenye fikra sawa na mimi,watu kama wewe nimeshasema piteni kulia
Hapa hakuna cha fikra wala nini mpaka jambo litimie
Huna utakalolitimiza acha kujipa matumaini hewa,kubali matokeo tu,mdomo mchafu ndio maana umetupwa kushoto.
 
Naona dawa imeanza kukuingia,umeanza kurukaruka kama Kuku aliyekatwa kichwa kisha akaachiwa ghafla,huna utakayemroga kubali matokeo umesha wekwa kushoto,kulia lia jf hakuwezi kubadili kitu kapuku wewe.

Hakuna dawa yoyote inaweza kuniingia kutoka kwa mtu simjui [emoji23],usijipe umuhimu wewe,upo busy na uzi wa kapuku kama sio kapuku tambaa mbele mbona upo busy kunijibu sasa
 
Huna unalopungukiwa coz huna lolote,sasa upungukiwe nini wakati wewe ni empty?

Upo busy unabishana na mimi empty🤣🤣🤣🤣🤣wonders cheiii
Sema kingine naona nimekugusa sana mpaka umekuwa mchangiaji mkuu wa mtu empty[emoji23][emoji23][emoji23]
Au unadhani jf mimi mgeni?watu kama wewe nawamudu ukijifanya chizi mimi ni zaidi yako,tutakesha hapa huna jipya yote marudio
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…