Natafuta mganga wa kienyeji konki

Mkuu naomba niko chini yako muache huyu dada. Huwezi jua amekutana na lipi...ni kama unamuongezea mzigo juu ya mzigo. Siku zote kama jambo halijakufika huwezi kuelewa kiatu alichovaa mhusika.
Mfundishe asipangie watu chakucomment humu,kila mtu ana mtazamo wake na ajifunze kutumia lugha nzuri,
Huyo kaponzwa na mdomo wake mchafu,huwezi kumsaidia mtu wa hivyo usipoteze time yako,huyo inaonekana kapitia kwenye malezi ya hovyo.
 
Mkuu naomba niko chini yako muache huyu dada. Huwezi jua amekutana na lipi...ni kama unamuongezea mzigo juu ya mzigo. Siku zote kama jambo halijakufika huwezi kuelewa kiatu alichovaa mhusika.

Hakuna mzigo zaidi anajichoresha tu,alafu kakuta namkazia kazoea kuzonga watu,kinachomuuma ni siachi kumjibu
 
Dada namba ishatolew nenda uko simiyu
 
Watu wamekuwa washenzi Sana aise
 
Si namba imetolew uko juu
Siyo za kimagumashi kweli
Kuna wakt nilikuwa na nmb za mganga ktk simu yangu Yuko sumbawanga nkasi namanyire Ni mama namfahamu kitambo tulifanya nae biashara fln so nikaja kuambiwa na yey mwenywe kuniambia kuwa yey Ni mganga nilitafuta namb nimekoza na ninafahamu Hadi kwake kule nnkasi
 
 
 

Mshana karibu napokea ujuzi
 
Dadek[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787],amua moja sio uwe nusu nusu
Kuna mmoja Yuko ukerewe kule ziwa Victoria yule nilimfahamu kwa kumpitia mdgo ake ambae tulikuwa tunaishi nae hapo kibo

Sasa kipindi fln yule bint aliibia pesa zake na rfk ake na walikuwa wanalala wote bas ikabidi bint ampigie kak ake kule ukerewe ili amjulishe jins pesa zilivyoibiwa bas jamaa akaomba apewe namba aongee na yule bint aliyesadikiwa kuiba bint kakana mazima kuwa hajaiba bas jamaa akasema had jioni pesa zipatikane vinginevyo kitakachompata mtu wasilaumiwe mdg ake bas bhba saa Tisa bint yule aliharisha kila kitu tumboni kwa mfuliliso had akakiri kuwa kkaiba na kusukia nywele pesa za watu

Nimemtafuta bint yule sijapa nmb zake anipe nmb za kak ake
 
Kwani Mungu ameshindwa? Imani yako ni haba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…