Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mfundishe asipangie watu chakucomment humu,kila mtu ana mtazamo wake na ajifunze kutumia lugha nzuri,Mkuu naomba niko chini yako muache huyu dada. Huwezi jua amekutana na lipi...ni kama unamuongezea mzigo juu ya mzigo. Siku zote kama jambo halijakufika huwezi kuelewa kiatu alichovaa mhusika.
Mkuu naomba niko chini yako muache huyu dada. Huwezi jua amekutana na lipi...ni kama unamuongezea mzigo juu ya mzigo. Siku zote kama jambo halijakufika huwezi kuelewa kiatu alichovaa mhusika.
Basi usimjibu. Unaharibu uzi wako bila sababuHakuna mzigo zaidi anajichoresha tu,alafu kakuta namkazia kazoea kuzonga watu,kinachomuuma ni siachi kumjibu
Mkipigq simu mje apa apa na uahuhuda😄.ntaanza kuchaj hela...
Ila kwa kuwa nami nilipewa bure ntatoa bure. .msije pm
0656644244
Dada namba ishatolew nenda uko simiyuUpo busy unabishana na mimi empty🤣🤣🤣🤣🤣wonders cheiii
Sema kingine naona nimekugusa sana mpaka umekuwa mchangiaji mkuu wa mtu empty[emoji23][emoji23][emoji23]
Au unadhani jf mimi mgeni?watu kama wewe nawamudu ukijifanya chizi mimi ni zaidi yako,tutakesha hapa huna jipya yote marudio
Nani asiyejua kwa mwandulami?...nenda utube mbona clip zake zipo za kutoshaMkipigq simu mje apa apa na uahuhuda😄
Watu wamekuwa washenzi Sana aiseDada nakuunga mkono
Ukipata nisaidie na mimi.
Nimedhulumiwa mil 5.4 walionidhulumu wanadunda tu mjini na wanajibu kunya.
Ninaweza kuwafata front ila nahofia matokeo yake maana nina familia, haitapendeza wanangu na mke wangu kuja kuniona jela, majukumu yangu atatimiza nani.
Tafadhali ukipata usinisahau.
Siyo za kimagumashi kweliSi namba imetolew uko juu
Nipo hapa tayari mkuu[emoji1545]
Au muone Hizbu SharifuSiyo za kimagumashi kweli
Kuna wakt nilikuwa na nmb za mganga ktk simu yangu Yuko sumbawanga nkasi namanyire Ni mama namfahamu kitambo tulifanya nae biashara fln so nikaja kuambiwa na yey mwenywe kuniambia kuwa yey Ni mganga nilitafuta namb nimekoza na ninafahamu Hadi kwake kule nnkasi
[emoji1534][emoji1545]Hakuna kitu kwa huyu ndugu yangu
Kile kiapo cha damu hiki hapa
WRITTEN IN BLOOD I act this spell upon you From my whole heart Wishing you to never rest No eat no sleep the rest part of your life I hope your will waste away And I hope you will never spend another penny I ought to have WISHING THIS FROM MY WHOLE HEART Haya ni maneno mabaya mno! Ni spell...www.jamiiforums.com
Kuna mmoja Yuko ukerewe kule ziwa Victoria yule nilimfahamu kwa kumpitia mdgo ake ambae tulikuwa tunaishi nae hapo kiboDadek[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787],amua moja sio uwe nusu nusu
C Rosemary kwel huyu?Makiwendo usijesema sikukuonya. Nafuatilia uzi.
Kwani Mungu ameshindwa? Imani yako ni habaPoleni na majukumu ya kila siku
Nimekuja na ID yangu hii sina haja ya kujificha
Moja kwa moja kwenye mada,nahitaji msaada kama kuna mtu anamjua mganga wa uhakika anifanyie kazi yangu, kuna waganga huwa nasikia wanatoa watu mabusha, wanatuma majini au kumpa mtu ugonjwa nahitaji mganga wa hivyo
Hii dunia ina mengi,na ikifika kipindi cha vita unaambiwa usichague silaha,nahitaji jambo langu likamilike kwasababu kuna watu wanaweza kukukosea heshima mpaka wakapitiliza, ukimya na subira ni muhimu lakini kuna watu huwa wanaona kama umezubaa
Nikifanikiwa kazi yangu nitakupa ya shukrani sina hiyana
Watu wa mahubiri hapa sio sehemu yake.
Nawashukuruni naamini nitapata msaada wenu