Natafuta mganga wa kienyeji konki

Natafuta mganga wa kienyeji konki

Mkuu naomba niko chini yako muache huyu dada. Huwezi jua amekutana na lipi...ni kama unamuongezea mzigo juu ya mzigo. Siku zote kama jambo halijakufika huwezi kuelewa kiatu alichovaa mhusika.
Mfundishe asipangie watu chakucomment humu,kila mtu ana mtazamo wake na ajifunze kutumia lugha nzuri,
Huyo kaponzwa na mdomo wake mchafu,huwezi kumsaidia mtu wa hivyo usipoteze time yako,huyo inaonekana kapitia kwenye malezi ya hovyo.
 
Mkuu naomba niko chini yako muache huyu dada. Huwezi jua amekutana na lipi...ni kama unamuongezea mzigo juu ya mzigo. Siku zote kama jambo halijakufika huwezi kuelewa kiatu alichovaa mhusika.

Hakuna mzigo zaidi anajichoresha tu,alafu kakuta namkazia kazoea kuzonga watu,kinachomuuma ni siachi kumjibu
 
Upo busy unabishana na mimi empty🤣🤣🤣🤣🤣wonders cheiii
Sema kingine naona nimekugusa sana mpaka umekuwa mchangiaji mkuu wa mtu empty[emoji23][emoji23][emoji23]
Au unadhani jf mimi mgeni?watu kama wewe nawamudu ukijifanya chizi mimi ni zaidi yako,tutakesha hapa huna jipya yote marudio
Dada namba ishatolew nenda uko simiyu
 
Dada nakuunga mkono
Ukipata nisaidie na mimi.
Nimedhulumiwa mil 5.4 walionidhulumu wanadunda tu mjini na wanajibu kunya.

Ninaweza kuwafata front ila nahofia matokeo yake maana nina familia, haitapendeza wanangu na mke wangu kuja kuniona jela, majukumu yangu atatimiza nani.

Tafadhali ukipata usinisahau.
Watu wamekuwa washenzi Sana aise
 
 
 

Mshana karibu napokea ujuzi
 
Dadek[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787],amua moja sio uwe nusu nusu
Kuna mmoja Yuko ukerewe kule ziwa Victoria yule nilimfahamu kwa kumpitia mdgo ake ambae tulikuwa tunaishi nae hapo kibo

Sasa kipindi fln yule bint aliibia pesa zake na rfk ake na walikuwa wanalala wote bas ikabidi bint ampigie kak ake kule ukerewe ili amjulishe jins pesa zilivyoibiwa bas jamaa akaomba apewe namba aongee na yule bint aliyesadikiwa kuiba bint kakana mazima kuwa hajaiba bas jamaa akasema had jioni pesa zipatikane vinginevyo kitakachompata mtu wasilaumiwe mdg ake bas bhba saa Tisa bint yule aliharisha kila kitu tumboni kwa mfuliliso had akakiri kuwa kkaiba na kusukia nywele pesa za watu

Nimemtafuta bint yule sijapa nmb zake anipe nmb za kak ake
 
Poleni na majukumu ya kila siku
Nimekuja na ID yangu hii sina haja ya kujificha

Moja kwa moja kwenye mada,nahitaji msaada kama kuna mtu anamjua mganga wa uhakika anifanyie kazi yangu, kuna waganga huwa nasikia wanatoa watu mabusha, wanatuma majini au kumpa mtu ugonjwa nahitaji mganga wa hivyo

Hii dunia ina mengi,na ikifika kipindi cha vita unaambiwa usichague silaha,nahitaji jambo langu likamilike kwasababu kuna watu wanaweza kukukosea heshima mpaka wakapitiliza, ukimya na subira ni muhimu lakini kuna watu huwa wanaona kama umezubaa

Nikifanikiwa kazi yangu nitakupa ya shukrani sina hiyana
Watu wa mahubiri hapa sio sehemu yake.

Nawashukuruni naamini nitapata msaada wenu
Kwani Mungu ameshindwa? Imani yako ni haba
 
Back
Top Bottom