Natafuta mganga wa kienyeji konki

Natafuta mganga wa kienyeji konki

Dar utaibiwa! Nenda vijijini. Au tafuta wale wanaoletwa na wakubwa kutoka kijijini uwadake.
Ndo unipe connection mjamaa,kuhusu waganga fake nawajua kuna mmoja huyo nilienda yupo vingunguti nikamwambia mganga naomba unipige ramli.

Jamaa anaanza kuniambia oohh unasumbuliwa na mapenzi sijui unafanya biashara za mitumba aisee NILIANGUA KICHEKO KISHA NIKAONDOKA...alivyosema tofauti na nilivyoviendea
 
Wakuu mambo vp?

Nina ishu serious sana inanisumbua nahitaji mganga mwenye uwezo wa kunitatulia tatizo langu. Maana wengi nilioenda hawana suluhisho la muda mrefu ni kama wanakutibu ndani ya muda mfupi tatizo linarudi tena!

Nipo Dar akipatikana aliye Dar itapendeza zaidi.

N.B: Wale wa chumvi ya mawe, mara sijui nimwombe Mungu yote hayo nayajua lakini siyataki kwenye uzi huu. Nataka watu wenye miamba konki ya kutatua tatizo langu.
Mganga mkuu ni yesu kristo

ndie mganga wangu mkuu

""Yesu Kristo ni yeye yule, jana na leo na hata milele""
 
Back
Top Bottom