Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣Nimemrithi mchumba akoKhee [emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
Aende Same huko milimaniDar utaibiwa! Nenda vijijini. Au tafuta wale wanaoletwa na wakubwa kutoka kijijini uwadake.
AiseeAendE Same huko milimani
Uzuri nikienda najua huyu mwenyewe au kanjanja NINAWAJUAUtaibiwa hapa...
Ndo unipe connection mjamaa,kuhusu waganga fake nawajua kuna mmoja huyo nilienda yupo vingunguti nikamwambia mganga naomba unipige ramli.Dar utaibiwa! Nenda vijijini. Au tafuta wale wanaoletwa na wakubwa kutoka kijijini uwadake.
Sio Waganga wote waliopo dsm ni matapeli, Mwaka 2014 nilipopata tatizo kubwa kabisa lililohatarisha ustawi wangu binafsi na familia yangu, aliyenitibu alikuwa Mganga wa hapo hapo DSM, bahati mbaya sina mawasiliano yake kwasasa.Acha ubahili waganga wanatafutwa mbali,dar wamejaa masela wenye njaa kama wewe
Sijambo jirani, shikamooJirani hujambo
Mganga mkuu ni yesu kristoWakuu mambo vp?
Nina ishu serious sana inanisumbua nahitaji mganga mwenye uwezo wa kunitatulia tatizo langu. Maana wengi nilioenda hawana suluhisho la muda mrefu ni kama wanakutibu ndani ya muda mfupi tatizo linarudi tena!
Nipo Dar akipatikana aliye Dar itapendeza zaidi.
N.B: Wale wa chumvi ya mawe, mara sijui nimwombe Mungu yote hayo nayajua lakini siyataki kwenye uzi huu. Nataka watu wenye miamba konki ya kutatua tatizo langu.
Msimtapeli tu mtoa mada, maana waganga wa Dar wa mchongoTumefika
Kwa waganga mnaendaga kufanyaje 😳😳Sio Waganga wote waliopo dsm ni matapeli, Mwaka 2014 nilipopata tatizo kubwa kabisa lililohatarisha ustawi wangu binafsi na familia yangu, aliyenitibu alikuwa Mganga wa hapo hapo DSM, bahati mbaya sina mawasiliano yake kwasasa.
😂😂 watu wa Dar wezi wezi tuMsimtapeli tu mtoa mada, maana waganga wa Dar wa mchongo
Mtoe location sasa awafateNimekuja
Na me nina shida ya hela, mganga utanisaidiajeNimefika aseme shida yake
Hivi jamii forums haina uwezo wa mtoa uzi ablock koment asizozitaka kwenye uzi wake...maana kuna raia vichwa ngumu kwel[emoji35]Mganga mkuu ni yesu kristo
ndie mganga wangu mkuu
""Yesu Kristo ni yeye yule, jana na leo na hata milele""
lete mjane wa bob junior(simba) na fedha taslimu tsh 100K, NITAKUSAIDIA x 3Na me nina shida ya hela, mganga utanisaidiaje
Nadhani kwangu ISHADUNDA maana nimeoga sana michumvi kiasi kwamba nimepauka hadi nikilamba mikono yangu ni chumvi tupu!Chumvi ya mawe mkuu