Natafuta mganga wa kienyeji konki

Natafuta mganga wa kienyeji konki

Wakuu kama title inavyojieleza, kuna rafiki yangu ambaye amepata matatizo na amehangaika makanisani miaka na miaka lakini tatizo ndio kama linaota mizizi.

Mimi ndie kama ndugu yake na msaada wake anaetegemea (Hana msaada) so najaribu kuhangaika sana ila nimeona ni bora nishirikishe wadau ili nipate mtaalamu wa uhakika mwenye uwezo wa kuondoa vifungo mbali mbali nk

Nipo Dar.. Kwa ambaye anayo namba ya mtaalamu mzuri wa uhakika kwenye mambo ya asili basi anipe mawasiliano yake.
Njoo pm ujieleze vizuri halafu nikamuuliza mtalaam ninaemjua kama analiweza tatizo lako. Akisema analiweza nitakupa mawasiliano yake.
 
Kwa anayehitaji mazindiko ya hatari dhidi ya uchawi na sumu, na wale wanaohitaji vidono yaani ile dawa ambayo inazuia mapanga kupenya mwilini aje pm, uwe tayari kusafiri kutoka uliko hadi kanda ya ziwa.

Namba ya mtalaamu nitakupa ukifika getini kwake kwa sababu watu wakipewa namba wanapiga simu kwa mtalaamu na kuanza kuleta mambo ya kikuda halafu sisi tuliotoa namba ndio tunaonekana waduanzi.

NAMBA NI BURE, VIGEZO NA MASHARTI KUZINGATIWA
 
Kwa anayehitaji mazindiko ya hatari dhidi ya uchawi na sumu, na wale wanaohitaji vidono yaani ile dawa ambayo inazuia mapanga kupenya mwilini aje pm, uwe tayari kusafiri kutoka uliko hadi kanda ya ziwa.

Namba ya mtalaamu nitakupa ukifika getini kwake kwa sababu watu wakipewa namba wanapiga simu kwa mtalaamu na kuanza kuleta mambo ya kikuda halafu sisi tuliotoa namba ndio tunaonekana waduanzi.

NAMBA NI BURE, VIGEZO NA MASHARTI KUZINGATIWA
Hii safi Sana,hivi hii kidono ni mapanga tu au na risasi?
 
Mzee hatimae ulipata connection ya mtaalamu, maana kuna kipindi uliwasaka sana hapa. Nakuja pm
Kwa anayehitaji mazindiko ya hatari dhidi ya uchawi na sumu, na wale wanaohitaji vidono yaani ile dawa ambayo inazuia mapanga kupenya mwilini aje pm, uwe tayari kusafiri kutoka uliko hadi kanda ya ziwa.

Namba ya mtalaamu nitakupa ukifika getini kwake kwa sababu watu wakipewa namba wanapiga simu kwa mtalaamu na kuanza kuleta mambo ya kikuda halafu sisi tuliotoa namba ndio tunaonekana waduanzi.

NAMBA NI BURE, VIGEZO NA MASHARTI KUZINGATIWA
 
Poleni na majukumu ya kila siku, nimekuja na ID yangu hii sina haja ya kujificha.

Moja kwa moja kwenye mada, nahitaji msaada kama kuna mtu anamjua mganga wa uhakika anifanyie kazi yangu, kuna waganga huwa nasikia wanatoa watu mabusha, wanatuma majini au kumpa mtu ugonjwa nahitaji mganga wa hivyo.

Hii Dunia ina mengi, na ikifika kipindi cha vita unaambiwa usichague silaha, nahitaji jambo langu likamilike kwasababu kuna watu wanaweza kukukosea heshima mpaka wakapitiliza. Ukimya na subira ni muhimu lakini kuna watu huwa wanaona kama umezubaa.

Nikifanikiwa kazi yangu nitakupa ya shukrani sina hiyana. Watu wa mahubiri hapa sio sehemu yake.

Nawashukuruni naamini nitapata msaada wenu.
Kishaingia kwenye dhana sio sasa wataka umloge mtu
 
Usisemee mioyo ya watu,pengine na mimi nimesharogwa sana tu,usiyoyajua yasikupe shida
Hapa jambo ni moja tu na lazima likamilike hakuna ushauri wa kurudi nyuma
Dunia ndio hii na sisi ndio walimwengu
Imeisha hiyo ....
 
Poleni na majukumu ya kila siku, nimekuja na ID yangu hii sina haja ya kujificha.

Moja kwa moja kwenye mada, nahitaji msaada kama kuna mtu anamjua mganga wa uhakika anifanyie kazi yangu, kuna waganga huwa nasikia wanatoa watu mabusha, wanatuma majini au kumpa mtu ugonjwa nahitaji mganga wa hivyo.

Hii Dunia ina mengi, na ikifika kipindi cha vita unaambiwa usichague silaha, nahitaji jambo langu likamilike kwasababu kuna watu wanaweza kukukosea heshima mpaka wakapitiliza. Ukimya na subira ni muhimu lakini kuna watu huwa wanaona kama umezubaa.

Nikifanikiwa kazi yangu nitakupa ya shukrani sina hiyana. Watu wa mahubiri hapa sio sehemu yake.

Nawashukuruni naamini nitapata msaada wenu.
Nionavyo mimi, wewe huitaji mganga wa uhakika bali mchawi aliyeshindikana ambaye akikunyoshea kidole unakauka hapo hapo.
 
Nilileta mrejesho
Kuna mwamba yupo Vingunguti alinisaidia kwa Laki na nusu tu
Kesi mahakamani nilishinda
Na mtesi wangu mpaka leo mambo yake hayaendi amevurugwa soon atarudi kijijini mjini kumesha mshinda
Kumbe unamfatilia?🤣😂ujue kama dawa imefanya kaz
 
Nilileta mrejesho
Kuna mwamba yupo Vingunguti alinisaidia kwa Laki na nusu tu
Kesi mahakamani nilishinda
Na mtesi wangu mpaka leo mambo yake hayaendi amevurugwa soon atarudi kijijini mjini kumesha mshinda
Safi sana.
 
Nilileta mrejesho
Kuna mwamba yupo Vingunguti alinisaidia kwa Laki na nusu tu
Kesi mahakamani nilishinda
Na mtesi wangu mpaka leo mambo yake hayaendi amevurugwa soon atarudi kijijini mjini kumesha mshinda
Share nasi mawasiliano yake, hii itakuwa kama shukurani yako kwake kwa kumtafutia wateja wengine.
 
Heshima kwenu wakuu!!

Kwa wale watafutaji wenzangu, hasa kwenye biashara, naomba kama unamjua mganga wa kienyeji aliebobea kwenye mambo ya biashara unisaidie.

Dawa zinazidiana nguvu, NATAKA KUONGEZEA NGUVU.

Kama utanisaida nikifanikiwa nitakupa shukrani.

Asanteni sana wakuu.


Hornet juma mpemba et al
 
Heshima kwenu wakuu!!

Kwa wale watafutaji wenzangu, hasa kwenye biashara, naomba kama unamjua mganga wa kienyeji aliebobea kwenye mambo ya biashara unisaidie.

Dawa zinazidiana nguvu, NATAKA KUONGEZEA NGUVU.

Kama utanisaida nikifanikiwa nitakupa shukrani.

Asanteni sana wakuu.


Hornet juma mpemba et al
Mganga mkuu wa biashara yako ni ulimi wako kwa wateja wako
 
Heshima kwenu wakuu!!

Kwa wale watafutaji wenzangu, hasa kwenye biashara, naomba kama unamjua mganga wa kienyeji aliebobea kwenye mambo ya biashara unisaidie.

Dawa zinazidiana nguvu, NATAKA KUONGEZEA NGUVU.

Kama utanisaida nikifanikiwa nitakupa shukrani.

Asanteni sana wakuu.


Hornet juma mpemba et al
Nenda kiloka kuna mzee ila jina lake huwezi amini silijui kabisa,huyu mzee panda gari zinazopita mikese kuja kutokea kiloka,shuka hapo tafuta bodaboda yeyote mwambie nataka yule mzee anaeishi peke yeke juu ya mlima.

Ukipanda gari shuka kituo kinaitwa dukani.

Kila la kheri
 
Back
Top Bottom