Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Hakuna uchawi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😅😅😅😅😅😅 Ili upige Hela au ..Nahitaji mganga wa ukweli nimtoe mtu kafara
Kabisa😅😅😅😅😅😅 Ili upige Hela au ..
KUTOKA KATIKA KITABU CHA MAFUNDISHO YA SIRI
✍️Kuelewa elimu hii inahitaji utulivu WA Hali ya juu huku ukiegemea kwenye nguvu Yako ya kiroho ,hivyo usisome kama unasoma hadithi ya sungura na fisi Bali usome kwa kuhisi nguvu kuu ya maono na ufahamu .
✍️Ndugu msomaji ,kwanza lazima utambue mwili wako ni bustani ya Edeni. Ile ambayo imetajwa kwenye Quran ,Hadith na bibilia .👇👇
✝️📖Mto wa kunyeshea bustani ulitiririka toka Edeni, kuanzia hapa ukagawanyika kuwa mito minne. Mto wa kwanza uliitwa Pishoni, nao huzunguka nchi yote ya Havila ambako kuna dhahabu. (Dhahabu ya nchi hiyo ni nzuri, bedola na vito shohamu pia hupatikana huko.) Jina la mto wa pili ni Gihoni, ambao huzunguka nchi yote ya Kushi. Jina la mto wa tatu ni Tigrisi, unaopita mashariki ya Ashuru. Mto wa nne ni Frati. BWANA Mungu akamchukua huyo mtu, akamweka kwenye Bustani ya Edeni ailime na kuitunza
✍️Kabla sijaendelea tuthibitishe Hili kwenye maandiko ya waislam👇👇
📖🕋Katika ukurasa wa 115 wa kitabu Al-Mahasin, Muhammad ibn Qays anamnakili Imam Abu Ja’fer al-Baqir a.s. akisema kuwa, “Siku moja Shaytani alimwona Mtume Nuh a.s.akisali, basi Shaytani alimwonea wivu Mtume Nuh a.s. na hakuweza kujizuia, akasema. “Ewe Nuh! Allah swt aliyetukuka, Mkuu, amejenga mwenyewe Bustani ya Eden, akapanda miti na kutiririsha mito ndani mwake.
✍️👽💀Kichwa ni “Mahali palipoinuliwa” au Mbinguni.
✍️ CSF (CerebroSpinal Fluid)maji maji ya uti wa mgongo ni mto Gihon (Nile) moja ya mito minne katika bustani ya Edeni iliyotajwa kwenye📚 kitabu cha mwanzo Sura ya 2.
✍️Mito hii Inazunguka nchi ya Ethiopia 🇪🇹 ambayo ni Etheric Optical au Optic Thalamus ambayo ni nuru ya Ulimwengu. Inapatikana kupitia Mti wa Uzima aka Vegus (Negus/King) Neva. Tazama picha👇👇iliuelewe kuhusu Vegus kwenye ubongo.
✍️Mito 4 iko kwenye ATOMy ya Binadamu (Adamu/Mtu). Ni vichwa 4 vinavyotengana na Mto Mmoja wa Uhai ambao ni MATE/Chumvi/WOKOVU.
✍️ Euphrates ni mkondo wa Damu. Inamaanisha "Nzuri Kuvuka" na inarejelea kizuizi cha moyo.
✍️Pison ni njia ya mkojo. UR maana yake ni Dhahabu. Ilipitia nchi ya Havila (huenda India) ambayo maandiko yanataja kuwa na dhahabu.
✍️Mto Hiddikel ambao ni Tigris ni njia ya utumbo
✍️Na Gihon/Nile ni CSF CerebroSpinal Fluid) au maji maji ya uti wa mgongo yanayotiririka juu ya mkondo (Up the Spine/Micro Cosmic Orbit). Pia inaitwa Chrism ambayo ni Mafuta ya Upako ambapo ndipo tunapata neno Kristo.
✍️Tezi yetu ya Pineal inaoshwa kila mara au Kupakwa Mafuta kwa CerebroSpinal Fluid au maji maji ya uti wa mgongo
✍️Gihoni inamaanisha "kupasuka". Shahawa (pamoja na mafuta mengine yaliyotengwa kutoka kwenye tezi mbalimbali) inachukuliwa kuwa ugani wa Chrism.
✍️ Mojawapo ya sababu zilizofichika za mazoezi ya useja (Brahmacharya) katika seminari (shahawa) inahusiana na uboreshaji wa maji ya manii kwa njia ya uhamishaji na kuinua Kristo.
✍️Kumtuma Musa kwenye Mto Nile... Samaki/mbegu inayotiririka juu ya mkondo hadi kufikia nchi ya maziwa (feminine lunar magnetic serotonin/melatonin) na asali( masculine solar electric dmt).
✍️Akili ya Is-Ra-El ambayo imefunguliwa katika Pineal/Penial iliyogunduliwa katika Mwanzo 32:30 📖Na Yakobo ambaye alimwona Mungu uso kwa uso na akaishi.
✍️Alikuwa mjukuu wa Sar Abram (Cerebrum) Wabrahmin ambaye alikuja kuwa Baba na Mama wa Mbio Mpya.
✍️Jicho Lako Liwe Moja (MAAT+ hew 6.22).📖matayo au methew
✍️Tumia mfumo wa RESPIRITry kuungana na Chanzo Nguvu na L.O.V.E (Law Of Vibrational Energy)... Mwanadamu haishi kwa mkate pekee bali kwa Neno/mtetemo/Prana/nguvu ya maisha inayotoka katika kinywa cha Mungu (Medulla Oblangata kwenye msingi wa Fuvu la Kichwa/Golgotha.)
✍️ Neno KULA limefichwa katika maneno BREAth (pumzi) na MAUTI. Haya ndio majina halisi ya miti 2 🌳 🌳 iliyoko bustanini.
✍️ Kutoa shahawa mwikini huondoa nguvu ya maisha na kuleta kifo (mti wa ujuzi wa mema na mabaya ambao ni uwili wa kuzaliwa na kifo), ambapo kutumia pumzi huinua Chrism juu ya mgongo (Mti wa Uzima) na kuleta damu / nafsi juu.
✍️ kichwa/Mbingu ambapo Khrist anakaa kwenye Kiti cha Enzi katikati ya Ubongo akiwa amezungukwa na mishipa 12 ya fuvu (wanafunzi) ambao ni "waamuzi" Wake.
✍️Hii ndiyo Nira/Yoga ya Nuru ambayo ilifundishwa na Bwana Yesu na Wana wengine wengi wa Aliye Juu walioamshwa.
✍️Akili hii iliyokuwa ndani ya Yashua na iwe ndani yenu pia. Alituachia Ishara ya Yona.
✍️Yona maana yake ni Njiwa ambayo ni ishara ya Taji Chakra/Roho Mtakatifu.
✍️ Yona amefichwa ndani ya tumbo la samaki/mbegu na ni lazima ainuliwa ili Aweze kunena Neno la Wokovu kwa “Mataifa” na kuwaokoa kwa Njia Moja ya Upako wa Ndani/Kioo/Ukristo.
✍️Unafikiri ni kwa nini yeye (Yona) aliwalazimisha watu wa Ninawi wafunge na kutafakari kwa siku tatu? Alikuwa akifundisha mchakato ule ule ambao Mungu alimpitisha tu. Jangwa lile lile la kutafakari Kristo alikuwamo kwa siku 40.
✍️Kama vile Musa alivyomwinua yule nyoka katika jangwa la kutafakari vivyo hivyo Uzao wa Mwanadamu lazima pia uinuliwe.
✍️Soma kitabu cha ufunuo wa RA- na uelewe kwamba Alama ya Baba iko katika Paji la Uso.😉
✍️Ujumbe uliofichwa katika Jina Ra+ sTafari ni "Alama/Ishara/Muhuri Kichwani Inastahili Kuheshimika"
🗣️Mwalimu WAKATI Niko Malaysia alisema:👇👇
📖 "Mgongo na Ubongo ni madhabahu za Mungu"
Wewe Ulie Kua unaniomba kitabu Cha tarasim na macode ya biashara Leo wasema ivyo😂😂😂😂😂😂😂😂 apo kwanza nicheke tena mameeeee😂😂😂😂 kweli binadamu mko na shida sanaHuna unachokijua. Unapiga tu porojo
Adui Yako n ana NGUVU mno ndo mana alikua nakuwekea vizingiti tokea upo safari ad Kwa mtaalam Ili usipate usaidizi ulio mzuriHabar za humu, namimi naombeni wajuzi mnifafanunulie yalonikumba nikiwa kwenye tiba, Asanteni.
Iko hiv niliwahi kuenda tiba Kwa babu ya kufanyiwa pinduzi na kurudisha machawi na hasad. Cha kwanza nikiwa njiani karibia kufika kijijini kwa babu, haice niliopanda ilipata pancha kwenye rafrodi, tukafaulishwa kwenye gari jingine na tukafika wote salama. Nikafikia kwa babu nikapokelewa kwa nyumba ya mke mdogo. Siku ya kwanza shuhuli ikafanyika sawa, ila kilichofatia ni babu na mke wake mdogo ghafla walianza ugomvi ndani kwao, yaani waligombana ajabu, Mii mteja sijui Cha kufanya. Siku ya pili tukiwa shuhuli yetu njia panda porini usiku, ghafla bundi katokea na alibaki kutufatilia Kwakila hatua tuloifanya. Tukamaliza lakini ukumbuke kule Kwa dokta ugomvi Bado hauishi, na siingelienda Kwa mke mkubwa, sababu mapokezi yangu ya kwanza ilikuwa Kwa mke mdogo. Naomba wataalamu mlio hap au aliyewahi tokewa na jambo kama hili, ivi itakuwa na maana gani? Nawaza apa sipati jibu😔 Na ni hatua gani napaswa kuichukuwa?
Kwaio unapendekeza nirudie hio Tiba?Adui Yako n ana NGUVU mno ndo mana alikua nakuwekea vizingiti tokea upo safari ad Kwa mtaalam Ili usipate usaidizi ulio mzuri
NaamKwaio unapendekeza nirudie hio Tiba?
Na upande wa babu atakuwa yupo sahihi kitiba? Sababu pia yeye alipoona hayo matukio kanambia nimelogwa na machawi ya waruka usiku pamoja na wa vitabu. Kwaio kasema tutarudia tiba hio ila kivingine Kwa mbinu nyengine akisaidiwa na wataalamu wenziwe. Afu kumbuka sehemu zingine nimewahi fata tibu hilo tukio halijawahi nitokea, tiba za kawaida na nafuu nilipata Kwa muda mfupi, alfu basi...ila huku Kwa huyu babu tiba ilikuwa tofauti sana, alinihudumia vitu sikuwahi fanyiwa sehemu nyingine zote tangia nianze kujihangaikia.Naam
Uyo mzee alikua msàada mkubwa sana kwako ila wabaya wako n wananguvu mno ndo mana wakaanza kuharib na kutishia maisha (amani) ad Kwa uyo mtaalaam apo kupata tiba kabambe unatakiwa upate mtaalaam mwenye NGUVU zaidi ya uyo Alie akusaidiaNa upande wa babu atakuwa yupo sahihi kitiba? Sababu pia yeye alipoona hayo matukio kanambia nimelogwa na machawi ya waruka usiku pamoja na wa vitabu. Kwaio kasema tutarudia tiba hio ila kivingine Kwa mbinu nyengine akisaidiwa na wataalamu wenziwe. Afu kumbuka sehemu zingine nimewahi fata tibu hilo tukio halijawahi nitokea, tiba za kawaida na nafuu nilipata Kwa muda mfupi, alfu basi...ila huku Kwa huyu babu tiba ilikuwa tofauti sana, alinihudumia vitu sikuwahi fanyiwa sehemu nyingine zote tangia nianze kujihangaikia.
Hmmmh, apo kumpata mwengine kibarua kipo, pengine kama alivosema turudie tiba kivingine na atawaita wataalamu wenziwe wasaidiane. Huenda tukatoboa au waonaje? Nazani ukinifatalia utaona nimeomba usaidizi siku nyingi hapa ila daah sikuwahi fanikiwa sehemu nyingi nilizoelekezwa ila nafuu nilipata Kwa muda mfupi tu. Kwa huyu babu ni bahati tu kumpata na yuko tayari kunisaidia na kunipeleka kwenye kaya yao mizimuni, pengine tuwaskilize wajuzi wengine maoni yao 🤔Uyo mzee alikua msàada mkubwa sana kwako ila wabaya wako n wananguvu mno ndo mana wakaanza kuharib na kutishia maisha (amani) ad Kwa uyo mtaalaam apo kupata tiba kabambe unatakiwa upate mtaalaam mwenye NGUVU zaidi ya uyo Alie akusaidia
Mkuu nipatie namba ya huyo mtaalamu sahihi naona mambo yamestuck tu daahAcheni akili mgando hayo masharti yako pande zote,kwa Mungu Nako Kuna Masharti tena makubwa tu! Muhimu ni Yale masharti ambayo yanakupa matokeo chanya kw upande wako.
Babu zetu hawakujua Kuna Yesu na Allah walikuwa na Miungu Yao na walifuata masharti na kufanikiwa!
Pia kama hayajakukuta ya Dunia utapuuza waganga ila kwangu nawaita WATAALAMU WA JADI, kiukweli naamini harakati zao na tangia nimekuanao karibu mambo yangu yanasonga sana tu.
Kwa ufupi ukiwa na Elimu nzuri ya darasani na kufika Elimu ya Juu alafu ukapata MTAALAMU sahihi na mzuri utafurahia matunda ya Elimu Yako na hutozulula na bashasha KAMWE riziki utazipata nyingi sana.
Nasisitiza kupata MTAALAMU SAHIHI.
Sawa sawa,Mimi ndo nimeona iv kalibun tu Uzi wako ningekusaidia mda sana na ungefanikiwa,sababu umeshaanza sehem ingine endelea napo uone nako itakuaje mkuu usikate tamaaHmmmh, apo kumpata mwengine kibarua kipo, pengine kama alivosema turudie tiba kivingine na atawaita wataalamu wenziwe wasaidiane. Huenda tukatoboa au waonaje? Nazani ukinifatalia utaona nimeomba usaidizi siku nyingi hapa ila daah sikuwahi fanikiwa sehemu nyingi nilizoelekezwa ila nafuu nilipata Kwa muda mfupi tu. Kwa huyu babu ni bahati tu kumpata na yuko tayari kunisaidia na kunipeleka kwenye kaya yao mizimuni, pengine tuwaskilize wajuzi wengine maoni yao 🤔