Natafuta mpenzi aje kuwa mke

Sina sifa hata moja Khaaa...mwaka unaishie uleee😣
Kumbe ushafika? Huna hata sifa? sasa wewe wa kazi gani? nilikuwa nawaza kwakuwa mimi hapo nakosa sifa moja basi nikuite hata wewe. Au hutaki kuolewa? Umenikeraaaaa.

Ila mleta mada kuna sehemu kanigusa ati mchumba awe smart kichwani na mwilini ahaaa wakaka wote smart wa mwili moyoni mwangu mna kachumba nawatunzia😂
 
Hanghe habhasimbe ng'wanjaga ogodozunhya[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Hahaa asante
 
Mbona we kama mdogo ake Saidi hivi?
 
Weka tangazo kwenye Barbara ya kariakoo utapata wenye sifa hizi ukikosa chukua mhaya atakuwa na sifa hizi zote na tena ziada
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…