Fortyseven
JF-Expert Member
- Oct 30, 2020
- 1,129
- 2,142
duu kumbeUyu wana pendana na Mshana Jr ila wana tu actia humu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
duu kumbeUyu wana pendana na Mshana Jr ila wana tu actia humu
Haya kazi kwenu sasa, pele limepata mkunaji 😅😅Mdogo wangu,sisi mashangazi tunamuhitaji zaidi ya yeye kuliko yeye anavyotuhitaji sisi,Age go, famchezo atokee mchumba kama yeye😁😁😁
Ushawahi kutaka kusoma matokeo ya nectar siku ya Kwanza yakitoka?mtandao Huwa unaload tu ndio kitu kinaendelea PM ya mtarajiwa muda huuHaya kazi kwenu sasa, pele limepata mkunaji 😅😅
Najaribu kuangalia jinsi unavocoment nahisi unatoka mwambao wa Pwani... dar, Zanzibar, Tanga, Bagamoyo, Lindi na Mtwara nahisi humo kuna sehemu umetoka.Umechelewa jamvini karamu imeshaliwa.
Miaka 57 lililokosa mke mpaka linaingia mtandaoni kutafuta mke, ujuwe hakuna mume hapo, kuna kituko.
Itakua ana kisirani na mtaa anaoishi wamemchokaKwa miaka yote 55 hajaona mtu mpaka kaamua kuja mitandaoni?
😂😂😂😂😂😂😂 Mi nataka aje aone kama kuna cha kujifunza 🙌🙌🙌Coca sio ligi yake yake hii,hii ni maveteran
duh uongoMe Mzee.
Naunga mkono hojaniko tayar kukupa shangazi yang anaitwa FaizaFoxy
Ningejuaje? Utaweza mapenzi ya watu wa age go?Mkuu mbona nami nilikua nakukonsider uwe wangu sasa
Daah kweli umenichoka😃
😄😄😄😄😄😂😂😂😂Umenikumbusha Kuna dalali insta anatangaza nyumba zake Goba huko,utasikia jamani mashangazi ki master hicho Cha kufichia kibenten chako....Hivi vinawapaga Hela hivyo vitoto au wewe ndio unakipa?
Huyu ni wangu mngeniachia tusiwe na maneno mengiDuuuh basi sawa shangazi mwenza,tukashindane vigezo huko PM😁😁
Atanipenda ivo ivo yeye kwani hajui faida na hasara za mdada age go?Ndoa tunayo,tuanze kunywa green tea kutoa wrinkles na kitambi 😂🥲
...mkitoka hapo mnaingia kunywa Safari lager ya wastaafu.😂😂😂😂Joto hawezi kosa kikubwa anapumua,mi nilichompendea ukijumlisha hapo kwenye sikukuu pia 55 ndio age ya kustaafu....so NSSF ikisoma nitamsindikiza Tanzania postal Bank ya wastaafu kuzishughulikia
Cha muhimu mume shost joto awe nalo au lisiwepo we ishi naye ndo ushakuwa mrsAbeeeee shangazi mwenzangu.
Huyu ni saizi yetu kabisa....afu Mungu hamtupi mja wake, kaja wakati mzuri sana.
Wiki hii Pasaka, keshokuwa Iddi.
Sema miaka 55,ana joto kweli huyu?
Weka ukweli.duh uongo
Umri wako, financial status..I really want to experience it. Tafadhali tii kiu yangu
25, bado najitafuta. Pls hivyo visiwe vigezo vya kuconsiderUmri wako, financial status..