Natafuta mtu mwenye geto kali Mwanza awe ananiazima

Natafuta mtu mwenye geto kali Mwanza awe ananiazima

ni hasara tupu
Mkuu file lako hili hapa!!

Mtu anaeficha profile na vitu anavyo post mitandaoni ana matatzo ya akili
1.Hana confidence
2.ana paranoia ( anahisi kila mtu anamchunguza)
3.Anatabia zisizokubalika kijamii

Conclusion: Mkuu we ndo una matatizo makubwa ni vile tu hujijui kama mgonjwa wa mental illness
 

Attachments

  • 6D1F29B0-5F9E-41FC-93DB-1C1E4C0B243B.jpeg
    6D1F29B0-5F9E-41FC-93DB-1C1E4C0B243B.jpeg
    119.5 KB · Views: 2
Mimi ni kijana mwaminifu kabisa sio mwizi ila natafuta mtu wa kua ananiazima geto hata kwa masaa kwa ajili ya shughuli zangu ndogo ndogo!

Nitakua nampooza ya maji!!


NB: Wenye ushauri wa uende lodge/hotel siwataki
Kwann usiende hotels/motel/nyumba za wageni ongea na mhudumu wazo lako hawezi acha kukupatia km utamlipa sioni hata umuhimu wakushauriwa kwa kitu km hiki
 
Back
Top Bottom