Natafuta Mume aliye serious anayetaka mke. Nina miaka 36

mshamba_hachekwi na Mwachiluwi au niwape li shangazi la kwenda hiliπŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ€’
Mies sina 45 so nikome mie mmbichi umeniona uliza huko kitaa uambiwe unique ni bado mmbichi najitunza aisee sio wewe unasubiri upasuaji wa upandikizaji wa uume huko hospitali ya jakaya kikwete umetoa milioni 6
 
Anamtaka malaika, yaani kwa miaka yote hiyo 36 aliyokuwepo hapa duniani hajampata ndo aje ampate hapa jf kwa kina rikiboi.
Atapata tu usimkatishe tamaa je mbona mie nimempata mujerumani full kujiachia
 
Usivunjike moyo. Kama dhamira na nia ya hitaji lako lipo la ukweli. Baci amini ufalme wa mungu. Utafanyikisha. Haupo Pekeako utaombewa....
 
Atapata tu usimkatishe tamaa je mbona mie nimempata mujerumani full kujiachia
Sio rahisi kihivyo, afunge na kusali.

Hilo la kua na mtoto ni pancha tayari, cha kujiuliza ni je yeye yuko na sifa hizo au anataka kumtesa tu mwenzie?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…