Nedlloyd
JF-Expert Member
- Mar 29, 2014
- 10,361
- 27,215
Au Sio 😁😁 ?Anapika yy mi nakua namsapoti haste haste
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au Sio 😁😁 ?Anapika yy mi nakua namsapoti haste haste
Asante kwa kushirikiGet a life.
Maneno ya msingi sana haya,bahati mbaya yanasomwa na ambao kwa wakati wao hayawasaidii tena ila kama wataenda kuyasimulia na kuyafundisha kwa watoto zao na wadogo zao itawasaidia sanaMwanaume ha trade bikra katika mahusiano,mwanaume thamani yake anaitafuta Kama huyu akasoma akaajiriwa ivyo uhakika wa mke wake kula na kulala nk upo.
Unadhani mwanamke katika mahusiano unachangia nini zaidi ya mwili wako so mwili wako inabidi uwe na thamani kweli kweli mojawapo kinachoutambulisha uthamani wake ni bikra,jiulize why me hakuumbwa na sealed ya ubikra.
Yaani mwanamke zaidi ya mwili wako huna cha kuchangia kwenye mahusiano ,mwili wako uzae na mwanaume at00mbe basi.
Mwanaume anaangalia jana yako Ila wewe unaangalia kesho ya mwanaume.
Just tell me what are you trading in relationship a part from your body, can you build even a house or pay one year rented house.
Wakati utaanza kulia wewe mpaka watu wote watajua unalipa wewe.
Thamani yako wewe ni mwili yaani mwili ambao hata hukuumia kuupata ilitakiwa uwe mwaminifu mpaka mme wako atakapoufungua
Asante kwa maoniUkipata utanistua na mimi pia naitaka hiyo bikira...... ila isiwe tu ya kutengeneza kwa shabu
You're narrated to comfort your beliefs and your mental.Jinsi mnavyomuelezea huyo muumbaji mnaonekana vituko na kumdharaulisha pia sana.
Kwamba muumbaji kwake bikira ni kitu cha muhimu kuliko maelfu ya watoto wanaokufa Gaza, Congo, Sudan na Ukraine??
😄😄😄Episode gani tena
Wasipokuelewa na hapa basi hawatokuja kuelewa lolote lileYou're narrated to comfort your beliefs and your mental.
Ishu ni kuwa ni kwa nini unadhani mwanamke aliwekewa bikra.
Mwanamke ambaye anamtoa bikra ndiye aliyeko rohoni mwake Ila wewe umemuoa kimakaratasi tu yaani unammiliki physically Ila mentally, emotionally and spiritually anayemmiliki ni Yule aliyemtoa bikra.
Hili utapingana nalo Mana umeziba masikio kimakusudi Ila Kuna sauti inakuambia kuwa ni ukweli.
Unampotoa anapata maumivu ina Mana unaandika kitu katika moyo wake Mana binadamu anaelewa through pains and emotionally not by logic.
So lazima atakuweka moyoni mpaka anakufa ama kuzeeka kwake.
Mana unampotoa na akishapona kile kidonda nakuambia mahala pale panakuwa panataka kinyama yaani Kila muda anataka Sasa akunwe hasahasa.
Ni sawa na mama anapopata maumivu anapozaa ni alama ya kuja kumiliki na kumthamini mwanae, angalia hata hela ambayo umeumia kuipata unavyoithamini.
Mwanamke anapokupa bikra unaitoa ina Mana amekupa hekalu lake ulifanye chochote unachotaka ,na huo mwili ni wako wewe, na ni lazima akumbuke na hawezi msahau jamaa wa mara ya kwanza. Ni sawa na wewe Yule wa kwanza uliyempenda ulipobalehe humsahau mpaka anakuathiri kiasi kwamba kumpenda mwanamke lazima afanane na Yule wa mara wa kwanza uliyempenda.
Yule jamaa aliyeshindwa kumuona huyu binti wa juzi hapa wa sudani aliyetolewa ng'ombe mamia,nyumba na pound 20k za uk.
Alisema kuwa we marry heart and brain.
Ndio mana hata maandiko yanasema mpende Mungu wako kwa moyo, roho na nguvu zako zote.
Yaani mwanamke anaweza akawepo kwako kimwili Ila akili ,moyo na roho Yuko pengine hapo ndipo her core being,DNA, every fiber of her core being,roots of her humanness belong.
Najua utabishana wewe Ila ukweli unaujua. Kuna mtu ni msomi akaajiliwa Kama Engineer,daktari Ila moyo wake uko kwenye biashara ndizo ndoto zake tokea udogoni mwake
Kuna mtu anabishia ukweli. Yaani haoni hata mtu ambaye mnakosana Naye ama mnaumizana Yale maumivu yakipona mnakuwa watu wa karibu mno na watu wa kushibana na bond inakuwa very strongest than ever before.Wasipokuelewa na hapa basi hawatokuja kuelewa lolote lile
Bro mimi ushuhuda ninoa kuna binti nilikua nae kwenye mahusiano from first day akaanza kunisimulia habari za alivyotolewa bikra nilishtuka sana Sema si kumwambia nikaishi nae na kumla ila kamwe siwezi kumuoa hapo ndio nikaamini ukimtoa bikra mwanamke kamwe hawezi kukusahau na wanaooa wanawake wasio bikra wanamoyo sana maana hapo hapo watoto wako wanapotokea kuna majamaa ylinyonya na kila aina ya mashine ilipitaKuna mtu anabishia ukweli. Yaani haoni hata mtu ambaye mnakosana Naye ama mnaumizana Yale maumivu yakipona mnakuwa watu wa karibu mno na watu wa kushibana na bond inakuwa very strongest than ever before.
Mie huwa nafahamiana na natengengeneza marafiki kwa kuanza huwa tunapigana beat la kufa mtu.
Yaani lazima emotions trigger itokee ya kuku bond na mtu.
Why mtu unathamini nyumba or car yako kwa sababu ya Yale maumivu ya hela ulivyohangaika.
Something must be written in your heart in order to stick or to be valued.
Hela ya bure Haina maumivu inatumika vibaya.
Mwanamke unaweza ukambaka baadaye akakupenda kinyama Ila Mwanzoni ulimbaka.
They need both emotions high and low.
Unamuona mke wa kaka mchezaji wa Brazil akaamuacha kisa anadai kuwa he's too perfect,yaani hajawahi hata kumuumiza ama kumkamata ana cheat. So Yale maumivu ya bikra unapomuumiza ndipo bond inatengenezwa na wewe.
Yaani kuoa mke asiye bikra na mdumu na ambaye ana bikra na msidumu hiyo haiondoi uhalali ,uthamani ama functionality of bikra.
Wewe mwenyewe mwanaume angalia ukikutana na mwanamke bikra unajiona kidume unajisifu ndani kwa ndani hata ukiwa unaongea na washkaji ni kuwa mke wangu mie nilimkuta bikra, na Imani unayokuwa nayo juu ya mkeo ni kubwa mno huu ni ukweli,upendo sio wa kawaida.
Kama vipi tupeane hope ambao hatujaoa bikra.
Yaani umeoa aliyekwisha tumika mkadumu na mkapendana na huyu akaoa aliye na bikra na hawakudumu.
Hii dhana haiondoi Mana ya bikra elewa.
Ni sawa na laws of probability unayosema kuwa
" An event can be extremely likely to happen and still not happen or an event can be extremely unlikely to happen and still happen""
Ukioa mke aliye bikra uwezekano ni mkubwa mno wa kudumu na wewe kwa asilimia 99% Ila pia huyo asiye bikra probability ya kuishi Kama bikra ni sawa na 30% .
Sasa hapa ni Bora kubeti palipo na probability kubwa ya kutokea matarajio yako
Kaka tutafanyaje sasa na bikira zilivoadimu hiviBro mimi ushuhuda ninoa kuna binti nilikua nae kwenye mahusiano from first day akaanza kunisimulia habari za alivyotolewa bikra nilishtuka sana Sema si kumwambia nikaishi nae na kumla ila kamwe siwezi kumuoa hapo ndio nikaamini ukimtoa bikra mwanamke kamwe hawezi kukusahau na wanaooa wanawake wasio bikra wanamoyo sana maana hapo hapo watoto wako wanapotokea kuna majamaa ylinyonya na kila aina ya mashine ilipita
Kaka unamadini sana ,upewe maua yako.Kuna mtu anabishia ukweli. Yaani haoni hata mtu ambaye mnakosana Naye ama mnaumizana Yale maumivu yakipona mnakuwa watu wa karibu mno na watu wa kushibana na bond inakuwa very strongest than ever before.
Mie huwa nafahamiana na natengengeneza marafiki kwa kuanza huwa tunapigana beat la kufa mtu.
Yaani lazima emotions trigger itokee ya kuku bond na mtu.
Why mtu unathamini nyumba or car yako kwa sababu ya Yale maumivu ya hela ulivyohangaika.
Something must be written in your heart in order to stick or to be valued.
Hela ya bure Haina maumivu inatumika vibaya.
Mwanamke unaweza ukambaka baadaye akakupenda kinyama Ila Mwanzoni ulimbaka.
They need both emotions high and low.
Unamuona mke wa kaka mchezaji wa Brazil akaamuacha kisa anadai kuwa he's too perfect,yaani hajawahi hata kumuumiza ama kumkamata ana cheat. So Yale maumivu ya bikra unapomuumiza ndipo bond inatengenezwa na wewe.
Yaani kuoa mke asiye bikra na mdumu na ambaye ana bikra na msidumu hiyo haiondoi uhalali ,uthamani ama functionality of bikra.
Wewe mwenyewe mwanaume angalia ukikutana na mwanamke bikra unajiona kidume unajisifu ndani kwa ndani hata ukiwa unaongea na washkaji ni kuwa mke wangu mie nilimkuta bikra, na Imani unayokuwa nayo juu ya mkeo ni kubwa mno huu ni ukweli,upendo sio wa kawaida.
Kama vipi tupeane hope ambao hatujaoa bikra.
Yaani umeoa aliyekwisha tumika mkadumu na mkapendana na huyu akaoa aliye na bikra na hawakudumu.
Hii dhana haiondoi Mana ya bikra elewa.
Ni sawa na laws of probability unayosema kuwa
" An event can be extremely likely to happen and still not happen or an event can be extremely unlikely to happen and still happen""
Ukioa mke aliye bikra uwezekano ni mkubwa mno wa kudumu na wewe kwa asilimia 99% Ila pia huyo asiye bikra probability ya kuishi Kama bikra ni sawa na 30% .
Sasa hapa ni Bora kubeti palipo na probability kubwa ya kutokea matarajio yako
Wadada wasio bikra kabla ya ndoa na wanaume waliiooa wanawake used hawawezi kuchangia humuKaka unamadini sana ,upewe maua yako.
Huu uzi naona wadada wamepunguza kuchangia.
Natafuta mwanamke Bikra wa kuoa nataka mimi ndio niwe wake pekee na sitaki MAKOMBO, nina miaka 25, kazi yangu nimeajiriwa Hospitali kubwa jijini Dar es Salaam to, Namtaka mwenye vigezo vifuatavyo :
-asiwe na kazi wala biashara yoyote
- awe Muslim
- mweupe
- 19 to 22 years
NJOO PM TUYAJENGE EWE FUTURE WIFE
- awe amelelewa kimaadili
- awe tayari kuwa na watoto watatu
- awe kabila lolote
- awe mwembamba itapendeza
Bikra zipo bro nenda kwenye familia zenye maadili kama ni Sheikh nenda msikitini utapata watoto wa MasheikhKaka tutafanyaje sasa na bikira zilivoadimu hivi
Hakika utasikia bikra inasaidia nnWadada wasio bikra kabla ya ndoa na wanaume waliiooa wanawake used hawawezi kuchangia humu