Natafuta mwanamke Bikra wa kuoa

Natafuta mwanamke Bikra wa kuoa

Nini umuhimu wa bikira kwako mwanaume unayetaka kuoa?
Just Even google mzee , so Muumbaji alikuwa hana akili kukuwekea iyo bikra kweli.
So Mungu inabidi arudie kuumba upya wasiwekewe bikra.
Mke mzinzi pekee ndiye apewe talaka na mke mchawi asiachwe aishi.
Hawa watu wakigeuka kutoka kwenye ubinadamu utaisoma namba Bora kukutana na jambazi ama dokta wa kiume kuliko wa kike
 
Just Even google mzee , so Muumbaji alikuwa hana akili kukuwekea iyo bikra kweli.
So Mungu inabidi arudie kuumba upya wasiwekewe bikra.
Mke mzinzi pekee ndiye apewe talaka na mke mchawi asiachwe aishi.
Hawa watu wakigeuka kutoka kwenye ubinadamu utaisoma namba Bora kukutana na jambazi ama dokta wa kiume kuliko wa kike
Inashangaza sana limwanaume kuuliza umuhimu wa bikra kwa mwanamke haya ndio yale maji tu yameoa used yanalazimisha used ionekane ni ufahari kumbe ni ishara ya kutokujitunza kwa mwanamke, mwanamke used kamwe huwezi kujua alilala na wanaume wangapi tena unakuta walimkaza vilivyo mpaka huyo simp anaemuoa anaonekana hana nguvu za kiume na ndio sababu unakuta wanawake wanaochepuka asilimia kubwa ni hawa walioolewa wakiwa used kwakua wamezoea mashine za kila aina, na mwanamke used anauchafu wa kila aina na hii inapelekea hata watoto wanazaliwa kuwa akili mbovu
 
Hata mimi nilieka ahadi mwanamke Bikra tu ndie nitakae muoa mbali na hivyo nitakuchezea nikuache ukaolewe na wanaume wasiojielewa
 
Inashangaza sana limwanaume kuuliza umuhimu wa bikra kwa mwanamke haya ndio yale maji tu yameoa used yanalazimisha used ionekane ni ufahari kumbe ni ishara ya kutokujitunza kwa mwanamke, mwanamke used kamwe huwezi kujua alilala na wanaume wangapi tena unakuta walimkaza vilivyo mpaka huyo simp anaemuoa anaonekana hana nguvu za kiume na ndio sababu unakuta wanawake wanaochepuka asilimia kubwa ni hawa walioolewa wakiwa used kwakua wamezoea mashine za kila aina, na mwanamke used anauchafu wa kila aina na hii inapelekea hata watoto wanazaliwa kuwa akili mbovu
Adi kiroho ni mchafu na ilhali na yeye anajichagulia mwanaume anayejiweza kiuchumi Ila yeye Sasa awe safi ili anunuliwe anaanza kamuulize nani yako Kama ni bikra ni important
 
Just Even google mzee , so Muumbaji alikuwa hana akili kukuwekea iyo bikra kweli.
So Mungu inabidi arudie kuumba upya wasiwekewe bikra.
Mke mzinzi pekee ndiye apewe talaka na mke mchawi asiachwe aishi.
Hawa watu wakigeuka kutoka kwenye ubinadamu utaisoma namba Bora kukutana na jambazi ama dokta wa kiume kuliko wa kike
Unaweza kuthibitisha uwepo wa muumbaji wa bikira??
 
Ubongo wako hutaki kukubali ukweli so unatafuta justifications of your beliefs, understanding, mindset, attitude or perception ili mie nionekane halina mashiko
Bro achana nae huyo nishamsoma atakua ni mwanamke sio bikra au alioa mwanamke mtumba
 
Adi kiroho ni mchafu na ilhali na yeye anajichagulia mwanaume anayejiweza kiuchumi Ila yeye Sasa awe safi ili anunuliwe anaanza kamuulize nani yako Kama ni bikra ni important
Ni haki ya mwanamke kumchagua mwanaume mwenye hela na vile vile ni haki ya mwanaume kuchagua mwanamke Bikra, ila ajabu wanawake wakisikia hili wanakasirika
 
Ubongo wako hutaki kukubali ukweli so unatafuta justifications of your beliefs, understanding, mindset, attitude or perception ili mie nionekane halina mashiko
Jinsi mnavyomuelezea huyo muumbaji mnaonekana vituko na kumdharaulisha pia sana.
Kwamba muumbaji kwake bikira ni kitu cha muhimu kuliko maelfu ya watoto wanaokufa Gaza, Congo, Sudan na Ukraine??
 
Inashangaza sana limwanaume kuuliza umuhimu wa bikra kwa mwanamke haya ndio yale maji tu yameoa used yanalazimisha used ionekane ni ufahari kumbe ni ishara ya kutokujitunza kwa mwanamke, mwanamke used kamwe huwezi kujua alilala na wanaume wangapi tena unakuta walimkaza vilivyo mpaka huyo simp anaemuoa anaonekana hana nguvu za kiume na ndio sababu unakuta wanawake wanaochepuka asilimia kubwa ni hawa walioolewa wakiwa used kwakua wamezoea mashine za kila aina, na mwanamke used anauchafu wa kila aina na hii inapelekea hata watoto wanazaliwa kuwa akili mbovu
Get a life.
 
Back
Top Bottom