Natafuta mwanamke Bikra wa kuoa

Natafuta mwanamke Bikra wa kuoa

Kwahiyo bro unamaanisha nipelekee moto kwa kila demu? Sio kwamba kuna maeneo naweza kubahatisha au muonekano hauwezi kuonyesha kama ni bikra au sio bikra?
Huwez kubahatisha mara moja tu,wewe tomba tu wale unaohis ni bikira mpaka utampata
 
Kwanini azingue au hataki kuolewa? Familia za kiarabu vigumu kuoa huko
Ukituma MTU unapata hasa watu wenye muonekano wa kistaharabu .

Unachofanya unaangalia familia yoyote then unaulizia Kwa watu ukiona hawasomi wapo wapo tu unatuma MTU anaenda kukutolea taarifa.

Kuhusu ninayemjua sio mwarabu ni mbantu Ila dini imemchanganya Sana ili uende nae sawa unabidi use swala tano .
 
Mwanaume ha trade bikra katika mahusiano,mwanaume thamani yake anaitafuta Kama huyu akasoma akaajiriwa ivyo uhakika wa mke wake kula na kulala nk upo.
Unadhani mwanamke katika mahusiano unachangia nini zaidi ya mwili wako so mwili wako inabidi uwe na thamani kweli kweli mojawapo kinachoutambulisha uthamani wake ni bikra,jiulize why me hakuumbwa na sealed ya ubikra.

Yaani mwanamke zaidi ya mwili wako huna cha kuchangia kwenye mahusiano ,mwili wako uzae na mwanaume at00mbe basi.
Mwanaume anaangalia jana yako Ila wewe unaangalia kesho ya mwanaume.

Just tell me what are you trading in relationship a part from your body, can you build even a house or pay one year rented house.
Wakati utaanza kulia wewe mpaka watu wote watajua unalipa wewe.

Thamani yako wewe ni mwili yaani mwili ambao hata hukuumia kuupata ilitakiwa uwe mwaminifu mpaka mme wako atakapoufungua
ushauri wako mkuu
 
Ndio bro, ila nashangaa wengine wanakuja kwa hasira na matusi, naamini kila mmoja anachagua akipendacho mimi nimapenda niwe na mke niliemkuta akiwa bikra na mwingine atakuambia anapenda aoe mwanamke aliewahi kutoa mimba or mzoefu wa show,,, ni kila mmoja na maamuzi yake ni kama mwanamke tu anapochagua mwanaume mwenye hela, handsome, etc
wewe mwenyew huna bikra alafu unakuja kutafuta mwenye bikra God. damn
 
Hit me dm tuyajenge mana wewe utanipa mawazo mazuri na maisha. Nakumbuka Niko chuo Kuna Malaya nilikuwa namla Sasa ananishauri nisiwe na demu chuoni baada ya kuwa mkubwa ndio nikajua kwa akili Ile niliona Kama alitaka niwe mteja wake tu.
Kumbe alinipendA nitulize akili nisome nisiwaze demu wangu jamani. Nashukuru mno
Mm nimezeeka sana aisee mvi kama zote
 
Back
Top Bottom