Natafuta mwanamke Bikra wa kuoa

Natafuta mwanamke Bikra wa kuoa

Huyu inaonekana Kama hanayo iyo bikra. Je na yeye ameuliza Kama ni muhimu kuolewa kwa harusi,atolewe mahari, pia Kama ni muhimu huyo mwanaume awe ana kazi nzuri,amesoma,ana biashara zake ,yaani anajielewa kuwalisha familia yake na kuwapa mahala pazuri pa kulala.
Yaani bana mkuki umemgeukia anaanza kujitoa. Yeye anadhani hana kazi ya kufanya ,yaani mwanamke mwili wako inabidi uwe msafi, wanaume sie twaweza wanawake hata alfu kumi Ila wewe huwezi oa wanaume hata mmoja na ukamlisha Maisha yako yote.
Hakuna mahala kuwa mke alioa.wake wawili.

Yaani nasisitiza Kama unayo bikra na uliitunza iyo ni ishara ya wewe kuwa mwaminifu kwa mbingu na nchi na Muumbaji wako mpaka wazazi wako unawapa sifa kuwa ulilelewa na ulitunzwa na ulijua thamani ya uuke wake.
Mwanamke asiachwe ama asipewe talaka pasi na yeye kufanya zinaa.
Binafsi siwezi acha mke kisa ya mambo mengine yoyote Yale hata anitukane Ila Sasa azini tu nje.
Mbona haijaandikwa me apewe talaka kwa kuzini. Hapa mtakomaa na vielimu vyenu eti haki sawa na wakati nature ni nature you can't change it.
Jaribu kurusha jiwe juu liende juu mazima lisirudi chini
Lengo la uzi ni kumpata mwanamke mwenye hizo sifa, kama unajijua huna sifa hizo ungekaa kimya
 
Hapo pagumu
Ataekwambia anayo hayupo.
Na ata akikwambia anayo mpk upige ndo utajua.
Tafuta mwenye Tabia njema na hofu ya Mungu, kuna waliobikiriwa wakawa vicheche pia
Hiyo ama hii unayomshauri ni wewe ,wee Kama bikra ipo nenda achana na hayo ya kicheche hayo ni ya baadaye ya kuwa amepata bikra. Mke kutoka nje ni mwanaume mwenyewe
 
Hakuna anaetak lishangazi huko kwenu 😄😄
Hit me dm tuyajenge mana wewe utanipa mawazo mazuri na maisha. Nakumbuka Niko chuo Kuna Malaya nilikuwa namla Sasa ananishauri nisiwe na demu chuoni baada ya kuwa mkubwa ndio nikajua kwa akili Ile niliona Kama alitaka niwe mteja wake tu.
Kumbe alinipendA nitulize akili nisome nisiwaze demu wangu jamani. Nashukuru mno
 
Ukitaka kupata bikra kuwa ktomb wa vile vibinti vigumu vigumu mpaka mwsho wa siku utampata bikra

Bikra hatafutwi kwa bandiko
 
Natafuta mwanamke Bikra wa kuoa nataka mimi ndio niwe wake pekee na sitaki MAKOMBO, nina miaka 25, kazi yangu nimeajiriwa Hospitali kubwa jijini Dar es Salaam to, Namtaka mwenye vigezo vifuatavyo :

  • awe Muslim
  • mweupe
  • 19 to 22 years
-asiwe na kazi wala biashara yoyote
  • awe amelelewa kimaadili
  • awe tayari kuwa na watoto watatu
  • awe kabila lolote
  • awe mwembamba itapendeza
NJOO PM TUYAJENGE EWE FUTURE WIFE
Kwa hiyo age sijui kama wanatumia jf!
 
Nielezee vizuri wapi pa kuwapata
Huwez kuwapata kwa kuwatafuta,kwa vile upo hospital tena kubwa hapo kuna wadada wengi sana wanafika hapo

Wewe cha kufanya ni kuwa kitomb tu yaan malaya,kwa vile unapenda wembamba tena waislam hakikisha kila dem unaekutana nae mwenye sifa hzo tena mpole hakiksha unamtongoza mpaka umpate nakuhakikisha kwenye madem 20 hutakosa bikra
 
Huwez kuwapata kwa kuwatafuta,kwa vile upo hospital tena kubwa hapo kuna wadada wengi sana wanafika hapo

Wewe cha kufanya ni kuwa kitomb tu yaan malaya,kwa vile unapenda wembamba tena waislam hakikisha kila dem unaekutana nae mwenye sifa hzo tena mpole hakiksha unamtongoza mpaka umpate nakuhakikisha kwenye madem 20 hutakosa bikra
Bro pale ni ofisini na sisi waajiriwa tunasheria kali sana alafu sitaki kuwa kitombi kiasi hicho ndio nikaona humu naweza kumpata au kuna mtu ana ndugu au rafiki yake mweny hizo sifa
 
Back
Top Bottom