kibobori mahoro
JF-Expert Member
- Dec 12, 2022
- 7,452
- 10,785
Ningependa sana anaetafuta bikira nawe awe haja - sex tangu azaliwe ili waanze pamoja.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo bro unamaanisha nipelekee moto kwa kila demu? Sio kwamba kuna maeneo naweza kubahatisha au muonekano hauwezi kuonyesha kama ni bikra au sio bikra?vItombi ndo huwapata bikra,kama huwez kuwa kitombi ni ngumu kuwapata
Asante kwa maoniNingependa sana anaetafuta bikira nawe awe haja - sex tangu azaliwe ili waanze pamoja.
Kwanini? Kwamba wanazaliwa bila bikira?Hiyo kitu nilikutana nayo kwa dada mmoja kitambo sana, miaka mingi imepita.
Kwa sasa labda utampata mbinguni, bikra siku hizi mmmmh! Kila la kheri
Bikra ni ishara ya kujitunza kwa mwanamkeHivi kuna siri gani ipo kati ya Waisilamu na wanawake wenye Bikira?
Picha inaanza mtume alioa binti wa miaka9 ili apate bikira.
Huko peponi kuna wanawake 72 bikira kwa kila muisilamu.
Nashindwa kuelewa 🙄🙄
Anhaa 🤔🤔Bikra ni ishara ya kujitunza kwa mwanamke
Hata sijui ndugu, ila kupata mwanamke mwenye bikra yake wa umri huo uliowekwa kwenye thread ni kwa mbinde sanaKwanini? Kwamba wanazaliwa bila bikira?
HakunagaNatafuta mwanamke Bikra wa kuoa nataka mimi ndio niwe wake pekee na sitaki MAKOMBO, nina miaka 25, kazi yangu nimeajiriwa Hospitali kubwa jijini Dar es Salaam to, Namtaka mwenye vigezo vifuatavyo :
-asiwe na kazi wala biashara yoyote
- awe Muslim
- mweupe
- 19 to 22 years
NJOO PM TUYAJENGE EWE FUTURE WIFE
- awe amelelewa kimaadili
- awe tayari kuwa na watoto watatu
- awe kabila lolote
- awe mwembamba itapendeza
Ndiyo ilivyoAnhaa 🤔🤔
KwaniniKidooogo vijijin kuna afadhal lakini humu mjini hata Ile ya huku hamna
Kwenu?Hakunaga
Nishushe hadi umri gani nitawapata?Hata sijui ndugu, ila kupata mwanamke mwenye bikra yake wa umri huo uliowekwa kwenye thread ni kwa mbinde sana
Nipo serious bro ingawa wengine wanakejeli uzi wanguKama UPO serious jaribu familia za waharabu nakuhakikishia utapata vizuri .
Pia kuna Dada naweza kukupa Tag japo yeye dini muislam
Fatilia familia za wapemba utume MTU au waarabu tuma MTU utapataNipo serious bro ingawa wengine wanakejeli uzi wangu
Niunge na huyo msichana
Kwanini azingue au hataki kuolewa? Familia za kiarabu vigumu kuoa hukoFatilia familia za wapemba utume MTU au waarabu tuma MTU utapata
Huyu ninayemjua dini imemkolea imani Kali Sana atakuzingua
Focus kutafuta binti wa miaka9 kama mtume bilashaka utaipata bikira huko.Ndiyo ilivyo