Natafuta mwanamke wa kuenjoy maisha

Hahaha kwahiyo umeamua kucheza na K ya mtu?
Shida mchumba wangu yupo mbali mkuu (Mwanza); so, kuonana mara chache unakuta hata miezi mitatu inapita hatuonani. Sasa muda wote huo bila kuchakata K mkuu ni kipengele
 
nafuta mkwanja, ukiwa na hela watakuja wenyewe.....
 
eeh jamani sasa utamu ukikolea?
 
Weee mzee kunywa pombe utakuja kushukuru uyo mwanamke huto enjoy trust me mkuu
Pombe mimi wala si mpenzi sana mkuu. Huwa nakunywa mara chache sana na sio hadi kulewa. Pombe kali kama ma K Vant au Konyagi huwa naziona chungu sana mkuu, hata nikilazimisha kunywa huwa si enjoy.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…