Natafuta Mwanamke wa kuzaa nae tu!

Tatizo Mali zikiongezeka na migogoro inaongezeka. Hio ukubali ukatae ndiyo ipo hivyo yan.

Usimshangae mtu anayekataa ndoa.

Kuna mtu anajiona kabisa baadaye atakuwa nani. Ila akiwaambia marafiki zake wanamcheka na kuona anatania.
 
Wewe Una Homoni za Kike Mwanaume Mwenye Mawazo Kama Yako Hastahili Kubaki Na Uwanaume Wake Maana Mawazo Hayo Yanakuwa Upande Ule Wa Pili Yaani Nimekasilika Sana Nakuombea Dua usifanikishe Jambo Hili .
 
It's your choice hiyo haizuii watu kutoa maoni
Ni lifestyle Yako pia haizuii watu kusema hiki ni kizuri hiki kibaya muhimu umeamua kuweka wazi watu tutasema tu
Sema na yako UNAYOMENGI YA KUSEMA NA KUFOKEA
Jifokee na Jiseme.

Maisha yangu ni YANGU.

#YNWA
#YANGA_BINGWA
 
Kwa Hiyo Unataka Kusema Nini? Kwamba Sote Tuwe Kama Wewe ?Je Kazi Hiyo Unaiweza?Yaani Kama Unapigwa Miti Basi Sote Tukufuate Wewe? Enjoy Maisha Yako Kivyako vyako.
 
Hivi kwanini manesi mnawachomega saaana ma CO??
 
Mjinga wewe unataka mwanamke wa kuzaa nae afu utaje sifa km hizo ? mshamba mkubwa wewe unataka kuzaa mtoto mwny akili na mtu muhimu baadae au unataka kuongeza takwimu za watanzania?
 
Mjinga wewe unataka mwanamke wa kuzaa nae afu utaje sifa km hizo ? mshamba mkubwa wewe unataka kuzaa mtoto mwny akili na mtu muhimu baadae au unataka kuongeza takwimu za watanzania?
Mjinga mwenyewe kenge wewe kama unajijua wewe ni pisi mbovu kaa kwa kutulia watakua warembo wenye sifa zilizotajwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ