Dei Gratia Rex
JF-Expert Member
- Sep 13, 2024
- 423
- 696
Wewe Una Homoni za Kike Mwanaume Mwenye Mawazo Kama Yako Hastahili Kubaki Na Uwanaume Wake Maana Mawazo Hayo Yanakuwa Upande Ule Wa Pili Yaani Nimekasilika Sana Nakuombea Dua usifanikishe Jambo Hili .Nina 25 years, nimeajiriwa ni mrefu, mweupe kiasi nahitaji mwenyewe sifa zifuatazo:
19 to 32 years
Mweupe na beautiful
Mrefu kiasi
Sio mnene wala mwembamba sana
Mwenye dimpoz
Awe tayari kushiriki tendo
Mwenye kujua kulea mtoto
Nitamtunza kila kitu kuanzia ujauzito mpaka mtoto akifikisha 3 years nitatoa hela shillingi milioni tano cash
Sihitaji ndoa wala mahusiano
Kama una vigezo njoo pm au mshirikishe rafiki yako/dada yako
Sema na yako UNAYOMENGI YA KUSEMA NA KUFOKEAIt's your choice hiyo haizuii watu kutoa maoni
Ni lifestyle Yako pia haizuii watu kusema hiki ni kizuri hiki kibaya muhimu umeamua kuweka wazi watu tutasema tu
Muulize mtoa mada awe spefici dimples zipi? Maana kuna dimples za mashavu na dimples za hips/takoDimpoz zimenikosesha kazi ๐ฅฒ๐
Kwa Hiyo Unataka Kusema Nini? Kwamba Sote Tuwe Kama Wewe ?Je Kazi Hiyo Unaiweza?Yaani Kama Unapigwa Miti Basi Sote Tukufuate Wewe? Enjoy Maisha Yako Kivyako vyako.Nyie wotee niliowa ""Quote"" punguzeni hasira na maisha ya mtu.
Mimi binafsi raisi wa kataa ndoa nilipata mtoto wa kwanza nikiwa na miaka 25
Na nimepata watoto wa mwisho (mapacha) nikiwa na miaka 34
Na sasa ni baba wa watoto wa 4 sina sina habari ya ndoa na sitaki ndoa.
Iko hivi ....
Kila mtu ma staili yake ya maisha na usilete dharau na matusi kwa life style ya mtu kisa hajafata life style yako
#YNWA
#YANGA_BINGWA
Shog(a) mkund(u) MATUSI YA NINI??Yaani Kama Unapigwa Miti Basi Sote Tukufuate Wewe?
Hivi kwanini manesi mnawachomega saaana ma CO??Ili ionekane kuna uzembe umefanyika lazima upeleke malalamiko kwa aliyekuwa msimamizi wa zamu wa ile siku, ukimkosa tafuta uongozi wa hiyo hospitali, ukiwakosa nenda wilayani mtafute mganga mfawidhi wa wilaya na ukiwakosa endelea kupandisha hadi mkoani ukiwakosa peleka shtaka polisi au mahakamani.
Mbna hasira jamn๐Sema na yako UNAYOMENGI YA KUSEMA NA KUFOKEA
Jifokee na Jiseme.
Maisha yangu ni YANGU.
#YNWA
#YANGA_BINGWA
Si unakuwa na pipi mafua mdomoni tu, hizo zinakupa hizo dimpoz๐๐Dimpoz zimenikosesha kazi ๐ฅฒ๐
๐๐ฝโโ๏ธ๐๐ฝโโ๏ธ๐๐ฝโโ๏ธUna 25 years unatafuta mwanamke wa kuzaa nae ila awe "mweupe na beautiful"
Wewe ni nyege zinakusumbua.
Kaa chini utulie.
Kumbe kitu kidogo hivoSi unakuwa na pipi mafua mdomoni tu, hizo zinakupa hizo dimpoz๐๐
Sijaelewa IHivi kwanini manesi mnawachomega saaana ma CO??
Swali ameliona atakuja kujibuMuulize mtoa mada awe spefici dimples zipi? Maana kuna dimples za mashavu na dimples za hips/tako
Kula pipi mama ukadungwe mimba na mwanafunzi๐๐๐๐โโ๏ธ๐โโ๏ธKumbe kitu kidogo hivo
Mimi au nani? Wanafunzi gani?Kula pipi mama ukadungwe mimba na mwanafunzi๐๐๐๐โโ๏ธ๐โโ๏ธ
Mjinga wewe unataka mwanamke wa kuzaa nae afu utaje sifa km hizo ? mshamba mkubwa wewe unataka kuzaa mtoto mwny akili na mtu muhimu baadae au unataka kuongeza takwimu za watanzania?Nina 25 years, nimeajiriwa ni mrefu, mweupe kiasi nahitaji mwenyewe sifa zifuatazo:
19 to 32 years
Mweupe na beautiful
Mrefu kiasi
Sio mnene wala mwembamba sana
Mwenye dimpoz
Awe tayari kushiriki tendo
Mwenye kujua kulea mtoto
Nitamtunza kila kitu kuanzia ujauzito mpaka mtoto akifikisha 3 years nitatoa hela shillingi milioni tano cash
Sihitaji ndoa wala mahusiano
Kama una vigezo njoo pm au mshirikishe rafiki yako/dada yako
Mjinga mwenyewe kenge wewe kama unajijua wewe ni pisi mbovu kaa kwa kutulia watakua warembo wenye sifa zilizotajwaMjinga wewe unataka mwanamke wa kuzaa nae afu utaje sifa km hizo ? mshamba mkubwa wewe unataka kuzaa mtoto mwny akili na mtu muhimu baadae au unataka kuongeza takwimu za watanzania?
Shukran blooKila lakheri