Natafuta Mwanamke wa kuzaa nae tu!

Bro upo sahihi sana Mimi ki hadi sasa nina mtoto mmoja ambae nilimpata nikiwa form 2 kipindi hicho nasoma na kwa sasa nimeamua kupata mtoto mwingine na nimetaja sifa hizo ili mtoto awe mzuri kama mwenzake wa kwanza,,, kifupi kila mtu na machaguo yake
 
Wewe unatafuta matatizo ambayo utayajutia baadae utakapoona unaanza ku loose focus ya life!
Uzae nae kisha kila mtu ale hamsini zake ukituma matumizi tu sio kwa wanawake wa kibongo! hakuna rangi utaacha kuona.
Haya mademu yene matako makubwa akili kichwani hamna, jamaa mmoja nlimkataza asizae na lile janamke akazaa nalo saivi linasumbua ile mbayaaa kabisa, ulichosema mkuu ni sure kabisa yan hakuna rangi ataacha kuona, wanawake wakibongo bwana hawajuagi wanataka nini, they be trippin all the time...
 
Huna binamu watoto wa mjomba au shangazi.
Je huna madada wa ukoo ambao watoto wao wanakuita mjomba.
Lakin pia iyo huduma muhimbili hspr inapatikana ktk moja ya matawi yake sjui ndo mlongazila hsptr
Kwanini binamu au ndugu? Nipe siri
 
Ndio maana nikataka mtoto tu sitaki mahusiano ya mda mrefu
 
Hivi hii imekaaje mimi binafsi siamini katika kutafuta mwanamke mtandaoni ili nizae nae au nimuoe hapana mtaani wamejaa na unamchunguza utakuja kuzaa na majini umu kuna wanawake wana nyonya damu za wanaume ipo siku kuna jamaa atafunguka kilicho mkuta mpaka sasa anatafuta ufumbuzi ajapata bado
 
Kila la kheri
 
Me namjua mmoja ana dimples, mzuri, Tall, ana shule upstairs, ila ana gubu na mood swing ile mbaya and she would want commitment, she is not a one night stand girl.
 
Ukipata wengi, na mie niunganishie
 
Ndio maana nikataka mtoto tu sitaki mahusiano ya mda mrefu
Hahahaha daaah ukishazaa na mtu unakua genuinely related to her/him whether you like it or not, at times you will be quarreling like husband and wife, si unajua tena the co-parenting thing does not go as planned sometimes
 
PHD!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…