Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Ushaharibu sasa, huyo usimwambieNgoja nimuite my Wii anichagulie yeye ndo anawajua nduguzake vizuri Lamomy 😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushaharibu sasa, huyo usimwambieNgoja nimuite my Wii anichagulie yeye ndo anawajua nduguzake vizuri Lamomy 😂😂
Tuombeane huu mwaka ni kuforce tuTumia nguvu ya ushawishi huyo ni wako
Tushaufyeka nusu lakini.Tuombeane huu mwaka ni kuforce tu
Kwa umri, wako, wa, kukuoa ni kuanzia 41 kwenda juu, na wengi wameishaoa, hata aliyesoma mpaka chuo, ataoa kuanzia 33+, na, hata oa anayelingana nae, atataka binti awe 10yrs younger!Habari za humu jf
Mm ni mwanamke umri 32yrs naishi Dsm natafuta mwanaume wa kunioa
Sifa zangu
Trible:Chagga
Elim Diploma
Kazi: Biashara ndogondogo
Dini:Mkristo Lutheran(KKKT)
Sina mtoto wala sijawah kuolewa, ninahofu ya Mungu, mpole, msikivu,mtulivu,rangi maji ya kunde (mweupe kwa mbali)sio mnene wala mwembamba pia sio mfupi wala mrefu(wastani)
Sifa za mwanaume
Umri kuanzia miaka 36 hadi 45 awe na hofu ya Mungu ,mkweli na mwenye upendo
Awe na shughuli yoyote ya kumuingizia kipato, akiwa na mtoto asizidi mmoja, kabila lolote , dini Mkristo ila sio Sabato zaid awe mpambanaji(mtafutaji)Karibu pm tuyajenge niko tayari kuwa mke.
Apo apana kwa kweli , ndugu mdau😁
Pressure ipo juuTushaufyeka nusu lakini.
Kunywa maji yanasaidiaPressure ipo juu
Hapa huwa mnakosea na inaonekana unatafuta mtu wa kukusaidia majukumu.Awe na shughuli yoyote ya kumuingizia kipato, akiwa na mtoto asizidi mmoja, kabila lolote , dini Mkristo ila sio Sabato zaid awe mpambanaji(mtafutaji)
Wanaume wa Dar hamna kitu.Cha kushangaza dar kuna idadi kubwa ya watu kuliko mikoa yote Tanzania.
Kwanini Atoto ?Wanaume wa Dar hamna kitu.
Si wanasemwaga hivyo huku mitandaoni.Kwanini Atoto ?
Nieleweshe hiyo Trible mchagga ni nini.Habari za humu jf
Mm ni mwanamke umri 32yrs naishi Dsm natafuta mwanaume wa kunioa
Sifa zangu
Trible:Chagga
Elim Diploma
Kazi: Biashara ndogondogo
Dini:Mkristo Lutheran(KKKT)
Sina mtoto wala sijawah kuolewa, ninahofu ya Mungu, mpole, msikivu,mtulivu,rangi maji ya kunde (mweupe kwa mbali)sio mnene wala mwembamba pia sio mfupi wala mrefu(wastani)
Sifa za mwanaume
Umri kuanzia miaka 36 hadi 45 awe na hofu ya Mungu ,mkweli na mwenye upendo
Awe na shughuli yoyote ya kumuingizia kipato, akiwa na mtoto asizidi mmoja, kabila lolote , dini Mkristo ila sio Sabato zaid awe mpambanaji(mtafutaji)Karibu pm tuyajenge niko tayari kuwa mke.
Jah blessHabari za humu jf
Mm ni mwanamke umri 32yrs naishi Dsm natafuta mwanaume wa kunioa
Sifa zangu
Trible:Chagga
Elim Diploma
Kazi: Biashara ndogondogo
Dini:Mkristo Lutheran(KKKT)
Sina mtoto wala sijawah kuolewa, ninahofu ya Mungu, mpole, msikivu,mtulivu,rangi maji ya kunde (mweupe kwa mbali)sio mnene wala mwembamba pia sio mfupi wala mrefu(wastani)
Sifa za mwanaume
Umri kuanzia miaka 36 hadi 45 awe na hofu ya Mungu ,mkweli na mwenye upendo
Awe na shughuli yoyote ya kumuingizia kipato, akiwa na mtoto asizidi mmoja, kabila lolote , dini Mkristo ila sio Sabato zaid awe mpambanaji(mtafutaji)Karibu pm tuyajenge niko tayari kuwa mke.
Ila kwa umri huu wa miaka 31+ doh!Kilakitu kina wakat wake kadri Mungu anavopanga Kuna walioolewa mapema sana lkn sahiz wameshapeana talaka