Natafuta mwanaume wa kunioa 2024

Natafuta mwanaume wa kunioa 2024

Habari za humu jf
Mm ni mwanamke umri 32yrs naishi Dsm natafuta mwanaume wa kunioa
Sifa zangu
Trible:Chagga
Elim Diploma
Kazi: Biashara ndogondogo
Dini:Mkristo Lutheran(KKKT)

Sina mtoto wala sijawah kuolewa, ninahofu ya Mungu, mpole, msikivu,mtulivu,rangi maji ya kunde (mweupe kwa mbali)sio mnene wala mwembamba pia sio mfupi wala mrefu(wastani)

Sifa za mwanaume
Umri kuanzia miaka 36 hadi 45 awe na hofu ya Mungu ,mkweli na mwenye upendo
Awe na shughuli yoyote ya kumuingizia kipato, akiwa na mtoto asizidi mmoja, kabila lolote , dini Mkristo ila sio Sabato zaid awe mpambanaji(mtafutaji)Karibu pm tuyajenge niko tayari kuwa mke.
Kwa umri, wako, wa, kukuoa ni kuanzia 41 kwenda juu, na wengi wameishaoa, hata aliyesoma mpaka chuo, ataoa kuanzia 33+, na, hata oa anayelingana nae, atataka binti awe 10yrs younger!
Sasa, dear itabidi hata sie wenye watoto Saba kila mmoja na mama take inabidi utupe "consideration"
 
Awe na shughuli yoyote ya kumuingizia kipato, akiwa na mtoto asizidi mmoja, kabila lolote , dini Mkristo ila sio Sabato zaid awe mpambanaji(mtafutaji)
Hapa huwa mnakosea na inaonekana unatafuta mtu wa kukusaidia majukumu.
Maisha siyo rahisi kama unavyofikiria na ukumbuke pesa inapatikana kwa kufanya Kazi
Hayupo mwanaume ambaye ataishi bila kufanya kazi na kwa vigezo hivyo, utapata wa hit and run.
Hata mimi, siwezi kuja pm wala kukuoa kwasababu unanifundisha majukumu yangu na ukumbuke suala la ridhiki hajipangii mtu. Kuna kesho, km upo na mimi kwasababu nina shughuli yoyote na ni mpambanaji. Kuna kuugua au mambo kwenda mrama, si utanikimbia?
Wewe tafuta mwanaume bila kuweka vigezo, na anza kuchuja kimya kimya mpk umpate anayekidhi vigezo vyako
 
Kuna wadogo zako wachaga wanatusumbua huku kisa vijana wahehe... Tunawabembeleza tuwaoe...wanasema Wana watu wao... Unawashaulije
 
Habari za humu jf
Mm ni mwanamke umri 32yrs naishi Dsm natafuta mwanaume wa kunioa
Sifa zangu
Trible:Chagga
Elim Diploma
Kazi: Biashara ndogondogo
Dini:Mkristo Lutheran(KKKT)

Sina mtoto wala sijawah kuolewa, ninahofu ya Mungu, mpole, msikivu,mtulivu,rangi maji ya kunde (mweupe kwa mbali)sio mnene wala mwembamba pia sio mfupi wala mrefu(wastani)

Sifa za mwanaume
Umri kuanzia miaka 36 hadi 45 awe na hofu ya Mungu ,mkweli na mwenye upendo
Awe na shughuli yoyote ya kumuingizia kipato, akiwa na mtoto asizidi mmoja, kabila lolote , dini Mkristo ila sio Sabato zaid awe mpambanaji(mtafutaji)Karibu pm tuyajenge niko tayari kuwa mke.
Nieleweshe hiyo Trible mchagga ni nini.
Pili hii awe mpambanaji mtafutaji, biashara zina msimu akikwama ndoa inayeyuka, ndiyo hivyo.
 
Habari za humu jf
Mm ni mwanamke umri 32yrs naishi Dsm natafuta mwanaume wa kunioa
Sifa zangu
Trible:Chagga
Elim Diploma
Kazi: Biashara ndogondogo
Dini:Mkristo Lutheran(KKKT)

Sina mtoto wala sijawah kuolewa, ninahofu ya Mungu, mpole, msikivu,mtulivu,rangi maji ya kunde (mweupe kwa mbali)sio mnene wala mwembamba pia sio mfupi wala mrefu(wastani)

Sifa za mwanaume
Umri kuanzia miaka 36 hadi 45 awe na hofu ya Mungu ,mkweli na mwenye upendo
Awe na shughuli yoyote ya kumuingizia kipato, akiwa na mtoto asizidi mmoja, kabila lolote , dini Mkristo ila sio Sabato zaid awe mpambanaji(mtafutaji)Karibu pm tuyajenge niko tayari kuwa mke.
Jah bless
 
Kilakitu kina wakat wake kadri Mungu anavopanga Kuna walioolewa mapema sana lkn sahiz wameshapeana talaka
Ila kwa umri huu wa miaka 31+ doh!
Aiseee hapa upambane,katika mpira ndio twaita dakika za lala salama.
 
Back
Top Bottom