😂 😂 😂miaka 33 asiwe na familia??? pagumu hapo
legeza kamba
Hii fursa sitaki inipite. 🤤🤤🤤Mimi ni mwanamke mwenye umri wa miaka 33. natafuta rafiki wa kiume wa umri wa kuanzia miaka 33 na kuendelea tukiridhiana twaweza kuwa wapenzi au kuweza kupata mtoto/watoto pamoja.
Asiwe na familia nikimaanisha mke, awe mcha Mungu, mchapakazi na awe na shughuli halali ya kumuingizia kipato. aliye tayari basi tuwasiliane
0756805540Mimi ni mwanamke mwenye umri wa miaka 33. natafuta rafiki wa kiume wa umri wa kuanzia miaka 33 na kuendelea tukiridhiana twaweza kuwa wapenzi au kuweza kupata mtoto/watoto pamoja.
Asiwe na familia nikimaanisha mke, awe mcha Mungu, mchapakazi na awe na shughuli halali ya kumuingizia kipato. aliye tayari basi tuwasiliane
Hahah umenikumbusha hii pic mkuuKwa maana huo unataka kusema wew umedoda?
IshakuptaHii fursa sitaki inipite. [emoji1786][emoji1786][emoji1786]
😢😢😢Ishakupta
Hii fursa sitaki inipite. [emoji1786][emoji1786][emoji1786]