Natafuta rafiki wa kike

Natafuta rafiki wa kike

Mimi ni mwanamke mwenye umri wa miaka 33. natafuta rafiki wa kiume wa umri wa kuanzia miaka 33 na kuendelea tukiridhiana twaweza kuwa wapenzi au kuweza kupata mtoto/watoto pamoja.
Asiwe na familia nikimaanisha mke, awe mcha Mungu, mchapakazi na awe na shughuli halali ya kumuingizia kipato. aliye tayari basi tuwasiliane
Hii fursa sitaki inipite. 🤤🤤🤤
 
Mimi ni mwanamke mwenye umri wa miaka 33. natafuta rafiki wa kiume wa umri wa kuanzia miaka 33 na kuendelea tukiridhiana twaweza kuwa wapenzi au kuweza kupata mtoto/watoto pamoja.
Asiwe na familia nikimaanisha mke, awe mcha Mungu, mchapakazi na awe na shughuli halali ya kumuingizia kipato. aliye tayari basi tuwasiliane
0756805540
 
Kwa maana huo unataka kusema wew umedoda?
Hahah umenikumbusha hii pic mkuu
FB_IMG_1564725483584.jpeg
 
ID mupya, ila mtu yuleyule ktk jukwaa letu pendwa,

[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Lazima awe na kipato, kwani urafiki na kipato vinahusiana vipi?
 
Back
Top Bottom