Natafuta rafiki wa kike

Natafuta rafiki wa kike

Kama kichwa cha habari kisemavyo natafuta Rafiki wa kike awe Mkristu akiwa ameokoka itakuwa njema zaidi.Umri kati ya 25- 28 mi nipo na 26 tuwe tunasaidiana katika kumtafuta Mungu na Maisha kuijumla mazingira nayoishi ni ngumu kumpata na kwa upande wa kanisani nako wengi watu wazima.

Naomba kufukuwa kaburi lako
 
kuquote kipande kidogo kwenye post?
natumia PC, kwa simu ( firefox browser inakubali just tried it now)
na highlight maneno (sentensi) ya ku quote, then prompt inakuja ikinitaka ni a. quote au b. reply
 
Natafuta Rafiki mwanamke,wa makamo au mjane..kuanzia miaka 38 nakuendelea..dingi yoyote,rangi yoyote,umbo awe na umbo kubwa Kiasi.umri wangu ni miaka 38..for serious come pm..tutajuwana zaidi.
 
Umri huu umenikosesha rafiki
Mtu wa jamaika huyo, anataka mama wa kumtunza.
Si unajua marasta wa arusha walivyo wapenda kutunzwa. Hapo keshapiga misokoto yake kadhaa na yupo sehemu katega wamama wa kizungu anaona hanasi, basi anajilipua hapa jf!
 
Mtu wa jamaika huyo, anataka mama wa kumtunza.
Si unajua marasta wa arusha walivyo wapenda kutunzwa. Hapo keshapiga misokoto yake kadhaa na yupo sehemu katega wamama wa kizungu anaona hanasi, basi anajilipua hapa jf!
Hahahahahahahaha kumbee
 
Back
Top Bottom