Natafuta rafiki wa kike

Sifa zooote ninazo ila hiyo ya ngono ngumu kidogo!! Napenda ngono kuliko kula!!

[emoji23][emoji23]
 
Wewe ni fungu la kukosa! Yaani hututaki waajiriwa, hutaki watu kutoka Tanga mapenzi yalikozaliwa, unataka watu weusi! Sasa si uende Sudan Kusini?
 
Yaani unatafuta tu rafiki wa kiume lakini umeweka masharti lukuki! Si unyooshe maelezo kama unatafuta dudu!!
 
Rafiki gani uta mpata kwa vigezo vingi namna hiyo malaika wenyewe so wakamilifu sembuse binadamu loh!
 
Safi sana.

Tafiti zinaonesha aina hii ya wanaume wanapatikana hollywood tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama unahitaji rafiki njo pm hizo sifa zote ninazo ila kama unahitaji mpenzi mi hapana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vigezo vyote hivo huja weka CV yako unamaanisha nini
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…